Mke wangu vitendo ulivyomfanyia Mama yangu sitosahau kamwe

Hii story nimeisoma kama story zingine tu kama za somebody iddi makengo sijui iddi matengo.
Iddi makengo anadanganya wanawake sana nawaonea huruma wanaomfwata ushauri wake anatunga stori watu wanaamin kwa sisi high intelligent people na charismatic kama gentamycin tunaelewa wats going on
 
Mi nasikitika kutokuwepo kwa baba mkwe baba mzazi wa mkeo
 
Saafi sana kwa mkeo amefundwa akufundika,, sema hapo inabidi siku mama Yake akija usiwe mchoyo.
 
Hongera mama na wife wako wote si wachoyo,
Mana angekua mama mwingine hata asingekupa huo mrejesho na ndo kwanza angesema mkeo anamnyanyasa,
 
Hongera mama na wife wako wote si wachoyo,
Mana angekua mama mwingine hata asingekupa huo mrejesho na ndo kwanza angesema mkeo anamnyanyasa,
Mama yangu alikuwa mwazi na mimi niliridhika kuwa mama amekuwa mtu wa furaha kipindi chote
 
Ni katika wale wa " kataa ndoa" wanaozaa nje na kutelekeza watoto
Hivi unajua katika makuzi na malezi tunasema fainali uzeeni baba akizeeka hathaminiwi tena, mama chap anakimbilia kwa wanawe na kuanza kumkandia msure ambae katika ujana wake alihakikisha watoto wanasoma na kupata mahitaji muhimu
 
Hivi unajua katika makuzi na malezi tunasema fainali uzeeni baba akizeeka hathaminiwi tena, mama chap anakimbilia kwa wanawe na kuanza kumkandia msure ambae katika ujana wake alihakikisha watoto wanasoma na kupata mahitaji muhimu
Ni kweli mkuu lakini sio kwa hawa " wakataa Ndoa"
 
Iddi makengo anadanganya wanawake sana nawaonea huruma wanaomfwata ushauri wake anatunga stori watu wanaamin kwa sisi high intelligent people na charismatic kama gentamycin tunaelewa wats going on
Acheni kujidanganya.
 
Hongera kwa kuwa na mke mwema na mama mwenye kurejesha fadhila
 
Nakiri kusema Kwa furaha hio ya mama utabarikiwa maradufu
Nilipoona tittle ya thread nikajua ni mambo ya kutisha atakua amefanya kumbe jambo la heri
Huyu ni mwandishi mzuri, kichwa Cha habari kinavutia kujua yaliyomo ndani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…