Acha yapasuane ili 2025 tuyazike kirahisi baada ya 60 ya kuinyonya na kuidumaza TanzaniaHahahahah wanapasuana wenyewe kwa wenyewe
Itakula kwa dereva chaapAcha yapasuane ili 2025 tuyazike kirahisi baada ya 60 ya kuinyonya na kuidumaza Tanzania
Siku CCM wakiondoka madarakani nawahurumia sana viongozi waloingia mamikataba mabovu sijui watabaki salama
Utasubiri Sana,Kama mgombea wenu ndo yule wa risasi kumi kiunoni bado Sana!!mi nataka yagawane kabisa mbao ili 2025 tuyazike izaliwe tanzania mpya
Hapana, angempiga chini Bitecco, Ni fisadi kuu kwenye ile wizaraAkianza na wa nishati ntamuona kweli yupo seriaz! Mgosingwa out
Wala kuuza kampuni siyo dhambi. Kampuni inaweza kuuzwa hata kama bado inatengeneza faida. Duniani kote makampuni huuzwa na kununuliwa. Kama kampuni yako inauzika ina maana ina potentials za kufanya biashara na ndiyo maana inavutia wawekezaji..... Tangaza leo unauza Shirika la Masoko Kariakoo uone ni wawekezaji wangapi makini watajitokeza. Halafu Tangaza unauza Vodacom uone aina ya wawekezaji watakaoonesha nia. Kuuzika kwa kampuni is a sign of confidenceMwandosya alitaka kuuza ATCL na TTCL!
Halima James Mdee aingie kwenye Baraza la mawaziri!
yakigawana mbao yatakaosa nguv hivo tume huru itakua kama kusuma mleviBila tume huru ni ndoto za mchana, CCM kipindi cha uchaguzi huwa wanaungana balaa
Halima ni CCM?Mwandosya alitaka kuuza ATCL na TTCL!
Halima James Mdee aingie kwenye Baraza la mawaziri!
Tunposema CCM Chama maiti, maanake yake ndio hii, muwe mnatulewa, hata kama akili zenu hazina akili.Mwandosya alitaka kuuza ATCL na TTCL!
Halima James Mdee aingie kwenye Baraza la mawaziri!