Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Nonsense🐒🐒🐒
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mfumo wetu wa teuzi na muundo wa hizo wizara utakuwa ndiyo chanzo kikuu cha hizo 'nonsense'.Swali fikirishi ili je kwakununua bidhaa nje ambazo viwanda vyetu vinazalisha ,kunawezesha, viwanda hivyo kuweza kuzalisha na kukua? ' Political decisions must be competitively harmonized'Salaam Wakuu,
Tunashukuru rais Samia kwa kuanza kuwaona Mawaziri wanaotoa Matamko nonsense. Namuunga Mkono kwa kuliona hilo.
Hii inamanisha kwamba, Mawaziri Nonsense Bye bye.
Mkeka safari hii utakuwa wa moto. Mawaziri wameshindwa kumsaidia rais, wanatoa Matamko bila kumshirikisha rais.
Mkeka ujao ndo mwisho wa dharau kwa rais.
Nani unapendekeza atoke na kwa sababu gani?
Nani aingie kwa sababu gani?
Nampendekeza ateuliwe Mark James Mwandosya apewe Wizara ya maji. Kabobea.
Serikali kutomtumia Mark James Mwandosya, ni kupoteza nguvu kazi ya taifa. Vijana bado wanatakiwa kujifunza kwake.
Nonsense wote watoke Serikali
View attachment 2026760
Mama katamka 'NONSENSE' kwa msisitizo na kumaanisha kabisa. Mama hajui kama kuna principle ya Most Favored Nation (MFN) katika biashara ya kimataifa ukiwa mwanachama wa Shirika la Biashara Duniani (WTO). Tutegemee kuona nchi za SADC (Mauritius, Eswatini, n.k) wakitaka kupatiwa huo upendeleo aliopewa Uganda kwa kutumia MFN principle.Salaam Wakuu,
Tunashukuru rais Samia kwa kuanza kuwaona Mawaziri wanaotoa Matamko nonsense. Namuunga Mkono kwa kuliona hilo.
Hii inamanisha kwamba, Mawaziri Nonsense Bye bye.
Mkeka safari hii utakuwa wa moto. Mawaziri wameshindwa kumsaidia rais, wanatoa Matamko bila kumshirikisha rais.
Mkeka ujao ndo mwisho wa dharau kwa rais.
Nani unapendekeza atoke na kwa sababu gani?
Nani aingie kwa sababu gani?
Nampendekeza ateuliwe Mark James Mwandosya apewe Wizara ya maji. Kabobea.
Serikali kutomtumia Mark James Mwandosya, ni kupoteza nguvu kazi ya taifa. Vijana bado wanatakiwa kujifunza kwake.
Nonsense wote watoke Serikali
View attachment 2026760
Hawa wote uliowataja hapa hawafai au unawaonea wivu? Tumtieni moyo Rais kwenye kazi zaidi na na si kwenye kubadilisha badilisha mawaziri; Rais kubadilisha badiklisha mawaziri siyo afya sana kwa sisi tunaoongozwa. Hata kama kuna adui yako ndani ya Barza la Mawaziri, vumilia na muombee tu Mama aende naye mpaka 2025, halafu baada ya hapo yeye mwenyewe atakuwa amemuona na atamuondoa kwenye awamu ijayo. Mama namuombea aendelee kutunza Baraza Stable atakalovuka nalo hadi mwishoni mwa 2025. Alionao ni binadamu mapungufu hayakosekani. Kwa mfano, leo unamtoa A unaniweka mimi, halafu kesho unakuja tena kugundua kuwa mimi nina mapungufu zaidi kuliko hata A uliyemtoa, how do you proceed after knowing this?. Tumuhamasisheni Mama awabane tu li wafanye kazi kama inavyotakiwa. Mama si kwamba anao uwezo wa kuwaondoa tu bali pia anao uwezo wa kuwashikisha adabu wakafanya kazi kama anavyotaka yeye na bila kuwaondoaAmtoe
*bibi Teko
*Janaury febuary
*aweweso
*Yule bibi wa Afya
samia kama hutojali njoo Umtumbue DC wa ilala na DC wa morogoro hawajui kazi...
ila Yule chocolate mwinyigelo DC wa wilaya ya Tmk wanaume , hafai pia kuna uzi ntautoa nkiwa free juu ya shutuma moja hv
Wafukuzwe sukuma gang wote. NonsenseSalaam Wakuu,
Tunashukuru rais Samia kwa kuanza kuwaona Mawaziri wanaotoa Matamko nonsense. Namuunga Mkono kwa kuliona hilo.
Hii inamanisha kwamba, Mawaziri Nonsense Bye bye.
Mkeka safari hii utakuwa wa moto. Mawaziri wameshindwa kumsaidia rais, wanatoa Matamko bila kumshirikisha rais.
Mkeka ujao ndo mwisho wa dharau kwa rais.
Nani unapendekeza atoke na kwa sababu gani?
Nani aingie kwa sababu gani?
Nampendekeza ateuliwe Mark James Mwandosya apewe Wizara ya maji. Kabobea.
Serikali kutomtumia Mark James Mwandosya, ni kupoteza nguvu kazi ya taifa. Vijana bado wanatakiwa kujifunza kwake.
Nonsense wote watoke Serikali
View attachment 2026760
Kama alivyolewa Jiwe miaka mitano. Kipindi cha pili hakumaliza hata miezi mitatu. NonsenseHangaya kalewa madaraka mapema Sana.
😅😅😅😅😅. Nonsensemi nataka yagawane kabisa mbao ili 2025 tuyazike izaliwe tanzania mpya
Na wakuondoa rais nonsense 2025 huooooooSalaam Wakuu,
Tunashukuru rais Samia kwa kuanza kuwaona Mawaziri wanaotoa Matamko nonsense. Namuunga Mkono kwa kuliona hilo.
Hii inamanisha kwamba, Mawaziri Nonsense Bye bye.
Mkeka safari hii utakuwa wa moto. Mawaziri wameshindwa kumsaidia rais, wanatoa Matamko bila kumshirikisha rais.
Mkeka ujao ndo mwisho wa dharau kwa rais.
Nani unapendekeza atoke na kwa sababu gani?
Nani aingie kwa sababu gani?
Nampendekeza ateuliwe Mark James Mwandosya apewe Wizara ya maji. Kabobea.
Serikali kutomtumia Mark James Mwandosya, ni kupoteza nguvu kazi ya taifa. Vijana bado wanatakiwa kujifunza kwake.
Nonsense wote watoke Serikali
View attachment 2026760
Hiviii, hiyo nonsense ndo shenzy kwa Kiswahili?Nonesense
Nonsense = mjinga,Hiviii, hiyo nonsense ndo shenzy kwa Kiswahili?
Mafisadi bhana, inafika wakati hamtumii akili zenu kufikiri, ila mnachofikili ni waizi tu.Salaam Wakuu,
Tunashukuru rais Samia kwa kuanza kuwaona Mawaziri wanaotoa Matamko nonsense. Namuunga Mkono kwa kuliona hilo.
Hii inamanisha kwamba, Mawaziri Nonsense Bye bye.
Mkeka safari hii utakuwa wa moto. Mawaziri wameshindwa kumsaidia rais, wanatoa Matamko bila kumshirikisha rais.
Mkeka ujao ndo mwisho wa dharau kwa rais.
Nani unapendekeza atoke na kwa sababu gani?
Nani aingie kwa sababu gani?
Nampendekeza ateuliwe Mark James Mwandosya apewe Wizara ya maji. Kabobea.
Serikali kutomtumia Mark James Mwandosya, ni kupoteza nguvu kazi ya taifa. Vijana bado wanatakiwa kujifunza kwake.
Nonsense wote watoke Serikali
View attachment 2026760
Nonsense= upuuzi✓Nonsense = mjinga,
Stupid= shenzy, mpuumbavu
Nosense = mpuuzi, upuuziNonsense= upuuzi✓
Mjinga = stupid✓