Mkeka unakuja wa kuwaondoa Mawaziri nonsense kwenye Serikali ya Samia

Mkeka unakuja wa kuwaondoa Mawaziri nonsense kwenye Serikali ya Samia

Mark Mwandosya alipata kuwa waziri kwenye awamu zilizopita.

Nini hasa unadhani alilifanyia taifa hili hadi kustahili kuwa waziri wa maji sasa?
 
Kuna mtoto wa aliyewahi kuwa kigogo wa nchi anatafutiwa uwaziri kwa njia yoyote kwa ku sacrifice mawaziri wengine
 
Kw amfumo tulionao hata Mungu akimtuma malaika, malaika atarudi mbinguni aombe ccm ichomwe moto ili aanze upya. kufumua baraza la mawaziri haisaidii cho chote ili umwingize nani aliye bora? Nape?
 
Hii Nonsense nahisi kuna jambo sijaelewa mimi tofauti na hotuba ya waziri.

kama nilimuelewa waziri ni kwamba tunatakiwa kuagiza sukari kutoka nje ku cover gap la uzalishaji otherwise mwekezaji anaweza kufanya expansion badala ya kuagiza.(Expansion inaweza ku cover shortage ya sasa?)

Pia wazalishaji pekee ndio wenye sifa za kupewa vibali vya kuagiza.
Kama kosa la waziri ndio hilo basi huyo mama ana shida
 
Jamani Prof Mwandosya ni mzee ameshatumikia nchi hii muda mrefu, katika utumishi wake pia kafundisha vijana wengi sana engineers. Sasa kwa nini

Wala kuuza kampuni siyo dhambi. Kampuni inaweza kuuzwa hata kama bado inatengeneza faida. Duniani kote makampuni huuzwa na kununuliwa. Kama kampuni yako inauzika ina maana ina potentials za kufanya biashara na ndiyo maana inavutia wawekezaji. Tangaza leo unauza Shirika la Masoko Kariakoo uone ni wawekezaji wangapi makini watajitokeza. Halafu Tangaza unauza Vodacom uone aina ya wawekezaji watakaoonesha nia. Kuuzika kwa kampuni is a sign of confidence
Utakua ushasahau aliuza kwa kuwa mtoto wake alipewa scholarship
 
Mwandosya wa nini wakati kuna watu wenye uwezo zaidi yake wa kutosha. Apumzike au awe mshauri tu. We have new blood out there wenye uwezo na wenye muamko wa kuleta vitu vipya. Huyo mzee mnataka afie madarakani?
 
Wa kwanza awe Simbachawene.

Sababu:
Kuruhusu Polisi kufanya kazi kama genge la majambazi kiasi cha wananchi kuona wapo salama zaidi bila ya kuwa na polisi.

Kila mara Rais amekuwa akiwalalamikia Polisi kwa matendo yao hovyo.

Wa pili ni Dotto Biteko

Sababu
Kuendekeza rushwa, kuvuruga mfumo wa ulinzi wa leseni, na kutumia nafasi yake ya uwaziri kuwanufaisha ndugu zake wenye asili ya Rwanda.

Wa tatu ni Kabudi

Sababu
Kushindwa kusimamia uhuru wa mahakama na kuhakikisha mahakama inaendeshwa na watu wenye weledi wa kutosha. Kuiacha mahakama iendelee kuingiliwa na Serikali.
Unajua bado nashindwa kuelewa, wakitoka hao wataingia kina nani ambao wapo vizuri kwa CCM hii?

Atatolewa simbachawene atawekwa mavunde au au zungu

Atatolewa kabudi atawekwa mabula

Ni wale wale hakuna jipya lolote
 
Salaam Wakuu,

Tunashukuru rais Samia kwa kuanza kuwaona Mawaziri wanaotoa Matamko nonsense. Namuunga Mkono kwa kuliona hilo.

Hii inamanisha kwamba, Mawaziri Nonsense Bye bye.

Mkeka safari hii utakuwa wa moto. Mawaziri wameshindwa kumsaidia rais, wanatoa Matamko bila kumshirikisha rais.

Mkeka ujao ndo mwisho wa dharau kwa rais.

Nani unapendekeza atoke na kwa sababu gani?

Nani aingie kwa sababu gani?

Nampendekeza ateuliwe Mark James Mwandosya apewe Wizara ya maji. Kabobea.

Serikali kutomtumia Mark James Mwandosya, ni kupoteza nguvu kazi ya taifa. Vijana bado wanatakiwa kujifunza kwake.

Nonsense wote watoke Serikali

View attachment 2026760
Hiyo suggestion yako ni nonsense pia, mwache mzee mwandosya apumzike
 
Wa kwanza awe Simbachawene.

Sababu:
Kuruhusu Polisi kufanya kazi kama genge la majambazi kiasi cha wananchi kuona wapo salama zaidi bila ya kuwa na polisi.

Kila mara Rais amekuwa akiwalalamikia Polisi kwa matendo yao hovyo.

Wa pili ni Dotto Biteko

Sababu
Kuendekeza rushwa, kuvuruga mfumo wa ulinzi wa leseni, na kutumia nafasi yake ya uwaziri kuwanufaisha ndugu zake wenye asili ya Rwanda.

Wa tatu ni Kabudi

Sababu
Kushindwa kusimamia uhuru wa mahakama na kuhakikisha mahakama inaendeshwa na watu wenye weledi wa kutosha. Kuiacha mahakama iendelee kuingiliwa na Serikali.
Hebu weka ushahidi hapa kuhusu Waziri Simbachawene na Biteko. Hiyo ya tatu kwa Profesa Kabudi nalo sijui ukweli wake. Ila unapotuhumu vitu vyenye kuhitaji ushahidi ni lazima utoe ili jukwaa hili lisiwe na baadhi ya watu wenye akili za mambo ya vijiweni.
 
Watu wana roho ya paka na madaraka mteule wako amekwambia your non sense, alafu leo utamkuta waziri YUPO ofisini, kujiuzulu hataki
 
Back
Top Bottom