Mkeka wa sheikh Yahya naona unaenda vizuri kabisa bado haujachanika

Mkeka wa sheikh Yahya naona unaenda vizuri kabisa bado haujachanika

View attachment 3210179

Hongera TUNDU LISSU, safari ya kwenda Ikulu ianze sasa.
View attachment 3210183

Mbinu za maangamizi;
  • 1. Mobilization ya vijana hasa wapiga kura ianze kwa haraka sana.
  • Hii ni pamoja na kuandikisha wanachama wapya wengi ambao walipoteza matumaini juu ya upinzani wa Tanzania.
  • Lakini pia imiza vijana wengi kwenda kujiandikisha kwenye daftari la kudumu endapo litaletwa kwenye maeneo yao.

2. Chama kikuandalie ziara ya mikoa kama mitano yenye nguvu kubwa ya upinzani ili ufanye ziara huko ya kujitambulisha kama mwenyekiti mpya wa chadema. Katika mikoa hiyo napendekeza mikoa hii iwe ya Mwanzo;
  • Mwanza,
  • Mara
  • Singida
  • Arusha
  • Mbeya
  • Dar es salaam
Chadema hapa ni kucheza tu na hamasa kwa vijana ambao ndio chachu ya mabadiliko yoyote yale kwenye nchi yoyote.

Tutembee na mkeka wa shekh Yahya naona unaenda vizuri kabisa.
Kuna mikoa hapo labda yule jamaa wa Arusha asiingie kwenye kampeni nae ila akiingia mbeligiji mweusi anatoka kapa
 
Upinzani kuchukua dola maana yake ni, pamoja na vikwazo vingine, kuzuia kikamilifu magoli ya mkono ya akina Januari Makamba na wenzi wao.
 
Kuna mikoa hapo labda yule jamaa wa Arusha asiingie kwenye kampeni nae ila akiingia mbeligiji mweusi anatoka kapa
Upepo wa TAL ni zaidi ya ENL 2015,kama wanajiamini wabadilishe sheria za uchaguzi halafu kipigwe uone kama wataambulia hata jimbo analotoka mzee wa goli la mkono Mtama.
 
Upepo wa TAL ni zaidi ya ENL 2015,kama wanajiamini wabadilishe sheria za uchaguzi halafu kipigwe uone kama wataambulia hata jimbo analotoka mzee wa goli la mkono Mtama.
Msumbiji mmejionea na wale ni wanafunzi wetu......jua mziki wa mwalimu utakua zaidi ya ule............sheria waambieni hao wazungu wenu wawabadilishie
 
IMG_20250122_144352.jpg
 
Msumbiji mmejionea na wale ni wanafunzi wetu......jua mziki wa mwalimu utakua zaidi ya ule............sheria waambieni hao wazungu wenu wawabadilishie
Basi wewe ni muoga wa uchaguzi,turudi mfumo wa chama kimoja ili tueakatae wazungu waliotuletea vyama vingi.
 
Mwenyewe natamani sana iwe hivyo, Ila siku ya uchaguzi ikifika.....
TUME ni ya kwao
POLISI ni wa kwao
MGOMBEA CCM huyohuyo ndiye boss wao

Nikiwaza hivyo, nachoka kabisa.
 
Basi wewe ni muoga wa uchaguzi,turudi mfumo wa chama kimoja ili tueakatae wazungu waliotuletea vyama vingi.
Muoga..... nani alikwambia unapewa nchi kupitia kipande cha karatasi....hao waliowafundisha hayo ndo wawape nchi
 
Inawezekana kabisa hata pasipo ile mnaita tume huru, ila hao hao tume huru wakiwemo watu wa NEW TANZANIA na wakapata back up with security ya kutosha kabla na baada ya kutangazwa basi ni mapema sana.

Kuna wanaCCM wengi hawapendi kinachoendelea humu ndani kwetu ila ni vile hawana jinsi na pa kusemea, mfano juzi wkt wa kupitisha jina makamu mwenyekiti, wengi walisimama Kufuata mkumbo tu ila siyo kutoka moyoni.

Japo msukuma mwenzenu yeye aliamua kabisa kukaa kuonyesha hajapenda ile hali, hivyo ni muda kukaa na kuwatengea close security watu wa mfumo wa uchaguzi wakiwemo viongozi wa polisi.

Usione kina Makamba, Nape, mzee Kikwete na Kinana wanaongea kwa kufurahi mbele za cameras moyoni they've something hidden hawa jamaa, juzi nilikuwa naongea na mmoja alibonga mambo mazito sana acha tu, ahahahaaa!.

Kuna mtu anasema haiwezekani hili kwa sababu kila kitu ni chao ila ni suala la muda tu. (HAKUNA KINACHODUMU)
 
Anatabiri au anasoma SCRIPT?

Kitu imeandaliwa kabisa, ni mwendo wa kucheza kulingana na mdundo wa ngoma!

Hata upinzani ukichukua nchi, kutakuwa na tofauti gani?

Tundu Lissu atafanya nini haswa la maana?
 
Back
Top Bottom