Mkeka wa sheikh Yahya naona unaenda vizuri kabisa bado haujachanika

Mkeka wa sheikh Yahya naona unaenda vizuri kabisa bado haujachanika

Hongera TUNDU LISSU, safari ya kwenda Ikulu ianze sasa.Mbinu za maangamizi;1. Mobilization ya vijana hasa wapiga kura ianze kwa haraka sana.Hii ni pamoja na kuandikisha wanachama wapya wengi ambao walipoteza matumaini juu ya upinzani wa Tanzania.Lakini pia imiza vijana wengi kwenda kujiandikisha kwenye daftari la kudumu endapo litaletwa kwenye maeneo yao.2. Chama kikuandalie ziara ya mikoa kama mitano yenye nguvu kubwa ya upinzani ili ufanye ziara huko ya kujitambulisha kama mwenyekiti mpya wa chadema. Katika mikoa hiyo napendekeza mikoa hii iwe ya Mwanzo;Mwanza,MaraSingidaArushaMbeyaDar es salaamChadema hapa ni kucheza tu na hamasa kwa vijana ambao ndio chachu ya mabadiliko yoyote yale kwenye nchi yoyote.Tutembee na mkeka wa shekh Yahya naona unaenda vizuri kabisa.Bila katiba mpya na tume huru ya uchaguzi hili jambo kutimia itakuwa ni ndoto,naamini kukiwa na tume huru ya uchaguzi na katiba ikawa mpya sio hii ya mwenyekit wa tume kutangaza anaemtaka,lissu anashinda asubui na mapema,mama hana uwezo wa kuchuana na lissu katu katu.
 
Kama unafaidika kwa chochote kutoka huko Sawa baki na ubinafsi wako wewe na familia yako maana pia ni jambo zuri kwako.
Sasa wewe usienufaika si uingie uwanjani upambane au unasaka kampani kama nyumbu wa serengeti wakijiandaa kuvuka mto
 
Mkuu huyu marehemu namkubali alikuwa mtabiri mashuhuri wa Afrika mashariki na kati pamoja na ulaya ltoshe kusema Nilimkubali na kumuelewa.

Ila kwa utabiri huu itakuwa vigumu kutimia. CCM hata wakiku simamisha wewe au Mimi ambaye sina jina. Au hata wamuweke kuku. Anashinda tu.

Siyo kuwa mimi ni CCM Hapana mimi nipo CHAUMA ninashabikia upinzani ili kuipa CCM changamoto isijisahau.
Asante mkuu. Ulionalo gumu, siyo gumu hasa pale wakati unapokuwa umefika. Samia hana ushawishi kwa watanganyika. Na uhuni uliofanywa Dodoma umewakera wana-ccm wengi sana. LISSU raisi 2025-2030. Tunza haya maneno yangu.
 
Asante mkuu. Ulionalo gumu, siyo gumu hasa pale wakati unapokuwa umefika. Samia hana ushawishi kwa watanganyika. Na uhuni uliofanywa Dodoma umewakera wana-ccm wengi sana. LISSU raisi 2025-2030. Tunza haya maneno yangu.
Kwa Mungu, ccm na mauchawi na mapolisi yao yote yatapigishwa tu magoti.
 
View attachment 3210179

Hongera TUNDU LISSU, safari ya kwenda Ikulu ianze sasa.
View attachment 3210183

Mbinu za maangamizi;
  • 1. Mobilization ya vijana hasa wapiga kura ianze kwa haraka sana.
  • Hii ni pamoja na kuandikisha wanachama wapya wengi ambao walipoteza matumaini juu ya upinzani wa Tanzania.
  • Lakini pia imiza vijana wengi kwenda kujiandikisha kwenye daftari la kudumu endapo litaletwa kwenye maeneo yao.

2. Chama kikuandalie ziara ya mikoa kama mitano yenye nguvu kubwa ya upinzani ili ufanye ziara huko ya kujitambulisha kama mwenyekiti mpya wa chadema. Katika mikoa hiyo napendekeza mikoa hii iwe ya Mwanzo;
  • Mwanza,
  • Mara
  • Singida
  • Arusha
  • Mbeya
  • Dar es salaam
Chadema hapa ni kucheza tu na hamasa kwa vijana ambao ndio chachu ya mabadiliko yoyote yale kwenye nchi yoyote.

Tutembee na mkeka wa shekh Yahya naona unaenda vizuri kabisa.
Nyuzi kama hizi zitatajirisha waganga wa chura kiziwi.

Keshanogewa na buyu la asali halafu mmwambie anaondoka 2025. Ata import majini toka muscat na Yemen🤣
 
Ndo maana nchi yetu itachukua Karne kadhaa kuendelea kwasababu ya mawazo ya kijima kama haya kwa Karne hii ya 21
Kwakweli wazungu wasibemende watu walitukuta ndo kwanza tunavaa magome ya miti hizo haraka waendelee nazo hukohuko kwao.....no hurry in Africa
 
Sasa wewe usienufaika si uingie uwanjani upambane au unasaka kampani kama nyumbu wa serengeti wakijiandaa kuvuka mto
Shida sio kunufaika shida kutokua mbinafsi la tumbo lako pekee maana asilimia kubwa ya watu ni maskini lazima tupiganie wale wengi wanao ishi chini ya dola moja kwa siku walau wapige hatua ukisoma ahadi kumi za TANU wakati huo ahadi yao namba 3 itakufanya usiwe mbinafsi na utaona misingi mingi imekiukwa kumsaidia mnyonge.
 
Ubodaboda ni laana.
Hakuna kupakakana mafuta kwa mgongo wa chupa.
Kuna mikoa hapo labda yule jamaa wa Arusha asiingie kwenye kampeni nae ila akiingia mbeligiji mweusi anatoka kapa
 
Mkuu huyu marehemu namkubali alikuwa mtabiri mashuhuri wa Afrika mashariki na kati pamoja na ulaya ltoshe kusema Nilimkubali na kumuelewa.

Ila kwa utabiri huu itakuwa vigumu kutimia. CCM hata wakiku simamisha wewe au Mimi ambaye sina jina. Au hata wamuweke kuku. Anashinda tu.

Siyo kuwa mimi ni CCM Hapana mimi nipo CHAUMA ninashabikia upinzani ili kuipa CCM changamoto isijisahau.
📌📌📌📌Slku hazifanani 🤣🤣🤣🤣🤣📌📌📌📌
 
Chadema chini ya Tundu Lissu ianze sasa kurekebisha daftari la wapigakura wake nchi nzima tena nyumba kwa nyumba. Hii ifanyike bila kuwazia uchaguzi wa 2025 maana hautokuwepo kama Katiba Mpya haitapatikana.

Chadema chini ya Tundu Lissu ije na suluhisho la vyanzo vyake vya mapato ili isitegemee ruzuku na pesa za matajiri kuendesha chama. Nawashauri wangalie uwezekano wa kupata mitaji kupitia soko la hisa DSE au kuanzisha kampuni tanzu za kibiashara kwa ajili ya kuongeza ukwasi wa chama.

Chadema chini ya Tundu Lissu ianzishe utaratibu wa kuchangisha fedha kwa ajili ya kujenga chama. Kama Makanisa yananawiri kupitia sadaka zinazotolewa kila Jumapili na mwisho wa mwaka, naamini Chadema ikianzisha michango na kusimamia vyema mapato inayokusanya naamini CCM ambao taratibu wanaelekea kuwa wapinzani viatu vitawabana......Mungu Ibariki Tanganyika.
 
View attachment 3210179

Hongera TUNDU LISSU, safari ya kwenda Ikulu ianze sasa.
View attachment 3210183

Mbinu za maangamizi;
  • 1. Mobilization ya vijana hasa wapiga kura ianze kwa haraka sana.
  • Hii ni pamoja na kuandikisha wanachama wapya wengi ambao walipoteza matumaini juu ya upinzani wa Tanzania.
  • Lakini pia imiza vijana wengi kwenda kujiandikisha kwenye daftari la kudumu endapo litaletwa kwenye maeneo yao.

2. Chama kikuandalie ziara ya mikoa kama mitano yenye nguvu kubwa ya upinzani ili ufanye ziara huko ya kujitambulisha kama mwenyekiti mpya wa chadema. Katika mikoa hiyo napendekeza mikoa hii iwe ya Mwanzo;
  • Mwanza,
  • Mara
  • Singida
  • Arusha
  • Mbeya
  • Dar es salaam
Chadema hapa ni kucheza tu na hamasa kwa vijana ambao ndio chachu ya mabadiliko yoyote yale kwenye nchi yoyote.

Tutembee na mkeka wa shekh Yahya naona unaenda vizuri kabisa.
Yule Mwamba alikuwa ni Mnajimu wa kweri kweri kabisa sio hao wa kubabia-babia waliopo sasa !
 
Someday,someday! My dream will come! You'll wake in the night and discover it never happened!

It's all turned around on you,it never will! Suddenly you're old.Didn't happen and it never will.

You'll push it into memory and then zone out in your barco lounger,being hypnotized by daytime TV for the rest of your life.
 
Sasa mbona bado baada ya rais mwanamke ndio upinzani utachukua nchi so mama tunae Tena ajasema mama ataongoza kwa kipindi kifupi
 
Ubodaboda ni laana.
Hakuna kupakakana mafuta kwa mgongo wa chupa.
Yah mnaingia kwenye uchaguzi mfuno ni ule ule wanaolalamikiaga kila siku halafu mtu anategemea miujiza kwa wakati mwengine
 
Yah mnaingia kwenye uchaguzi mfuno ni ule ule wanaolalamikiaga kila siku halafu mtu anategemea miujiza kwa wakati mwengine
Unajua maana ya "no reforms, no election" kijana!!??
 
View attachment 3210179

Hongera TUNDU LISSU, safari ya kwenda Ikulu ianze sasa.
View attachment 3210183

Mbinu za maangamizi;
  • 1. Mobilization ya vijana hasa wapiga kura ianze kwa haraka sana.
  • Hii ni pamoja na kuandikisha wanachama wapya wengi ambao walipoteza matumaini juu ya upinzani wa Tanzania.
  • Lakini pia imiza vijana wengi kwenda kujiandikisha kwenye daftari la kudumu endapo litaletwa kwenye maeneo yao.

2. Chama kikuandalie ziara ya mikoa kama mitano yenye nguvu kubwa ya upinzani ili ufanye ziara huko ya kujitambulisha kama mwenyekiti mpya wa chadema. Katika mikoa hiyo napendekeza mikoa hii iwe ya Mwanzo;
  • Mwanza,
  • Mara
  • Singida
  • Arusha
  • Mbeya
  • Dar es salaam
Chadema hapa ni kucheza tu na hamasa kwa vijana ambao ndio chachu ya mabadiliko yoyote yale kwenye nchi yoyote.

Tutembee na mkeka wa shekh Yahya naona unaenda vizuri kabisa.
Asante mkuu bando la wiki kwa kuweka hii kumbukumbu vizuri. Mungu akubariki Rais Tundu Lissu (2025-2030).
 
Back
Top Bottom