Mkeka wa sheikh Yahya naona unaenda vizuri kabisa bado haujachanika

Mkeka wa sheikh Yahya naona unaenda vizuri kabisa bado haujachanika

Mwenyewe natamani sana iwe hivyo, Ila siku ya uchaguzi ikifika.....
TUME ni ya kwao
POLISI ni wa kwao
MGOMBEA CCM huyohuyo ndiye boss wao

Nikiwaza hivyo, nachoka kabisa.
Kuwa na imani mzee hao jamaa wanachapwa na kila kitu ni chao.
Mfano simple, leo mkutanoni mkuu ulidhaminiwa na FAM, lakini pia FAM alikuwa ana sapotiwa na serikali ndio maana polisi wamezinguka hapo usiku mzima. Lakini FAM Amechapwa na kirahisi tu.
Huwezi kushindana na wakati
 
Muoga..... nani alikwambia unapewa nchi kupitia kipande cha karatasi....hao waliowafundisha hayo ndo wawape nchi
Ndomana hata huo uchaguzi hatutoshiriki oktoba mkibaki na tume zenu maana vyama vingi havina maana kama misingi yake inakiukwa,kwaio kwa uwazi zaidi naungana na mapendekezo ya wananchi waliowengi waliopiga kura ya tuwe na chama kimoja mwaka 1992.
 
A
Mkuu huyu marehemu namkubali alikuwa mtabiri mashuhuri wa Afrika mashariki na kati pamoja na ulaya ltoshe kusema Nilimkubali na kumuelewa.

Ila kwa utabiri huu itakuwa vigumu kutimia. CCM hata wakiku simamisha wewe au Mimi ambaye sina jina. Au hata wamuweke kuku. Anashinda tu.

Siyo kuwa mimi ni CCM Hapana mimi nipo CHAUMA ninashabikia upinzani ili kuipa CCM changamoto isijisahau.
Anashinda tu Kiharamu au Kihalali ???!
 
Ndomana hata huo uchaguzi hatutoshiriki oktoba mkibaki na tume zenu maana vyama vingi havina maana kama misingi yake inakiukwa,kwaio kwa uwazi zaidi naungana na mapendekezo ya wananchi waliowengi waliopiga kura ya tuwe na chama kimoja mwaka 1992.
Kwani hadi leo na utu uzima huo unadhani kuna siasa za vyama vingi huku? Mengine geresha tu ili pesa za wazungu ziliwe.......hii nchi sio kama Kenya yenye mizizi ya ubepari
 
View attachment 3210179

Hongera TUNDU LISSU, safari ya kwenda Ikulu ianze sasa.
View attachment 3210183

Mbinu za maangamizi;
  • 1. Mobilization ya vijana hasa wapiga kura ianze kwa haraka sana.
  • Hii ni pamoja na kuandikisha wanachama wapya wengi ambao walipoteza matumaini juu ya upinzani wa Tanzania.
  • Lakini pia imiza vijana wengi kwenda kujiandikisha kwenye daftari la kudumu endapo litaletwa kwenye maeneo yao.

2. Chama kikuandalie ziara ya mikoa kama mitano yenye nguvu kubwa ya upinzani ili ufanye ziara huko ya kujitambulisha kama mwenyekiti mpya wa chadema. Katika mikoa hiyo napendekeza mikoa hii iwe ya Mwanzo;
  • Mwanza,
  • Mara
  • Singida
  • Arusha
  • Mbeya
  • Dar es salaam
Chadema hapa ni kucheza tu na hamasa kwa vijana ambao ndio chachu ya mabadiliko yoyote yale kwenye nchi yoyote.

Tutembee na mkeka wa shekh Yahya naona unaenda vizuri kabisa.
yaani hata utabiri ukidondokea humohumo,siwezi kukubali nafsi yangu iambatane na hili chawi.
 
View attachment 3210179

Hongera TUNDU LISSU, safari ya kwenda Ikulu ianze sasa.
View attachment 3210183

Mbinu za maangamizi;
  • 1. Mobilization ya vijana hasa wapiga kura ianze kwa haraka sana.
  • Hii ni pamoja na kuandikisha wanachama wapya wengi ambao walipoteza matumaini juu ya upinzani wa Tanzania.
  • Lakini pia imiza vijana wengi kwenda kujiandikisha kwenye daftari la kudumu endapo litaletwa kwenye maeneo yao.

2. Chama kikuandalie ziara ya mikoa kama mitano yenye nguvu kubwa ya upinzani ili ufanye ziara huko ya kujitambulisha kama mwenyekiti mpya wa chadema. Katika mikoa hiyo napendekeza mikoa hii iwe ya Mwanzo;
  • Mwanza,
  • Mara
  • Singida
  • Arusha
  • Mbeya
  • Dar es salaam
Chadema hapa ni kucheza tu na hamasa kwa vijana ambao ndio chachu ya mabadiliko yoyote yale kwenye nchi yoyote.

Tutembee na mkeka wa shekh Yahya naona unaenda vizuri kabisa.
Kanda ya ziwa nayo upinzani umeamka nowadays.
So bora aanzie Lake zone.
 
Unadhani kwa sasa hata Zito atakataa hizo nafasi ?
ZZK kwenye hili na wao wataliunga mkono maana ni mtu mwelewe ukiacha propaganda za watu tuu,hata wasipoliunga mkono kwa siasa za Tz bila CDM kama chama kikuu cha upinzani ni picha mbaya kwa nchi.
 
ZZK kwenye hili na wao wataliunga mkono maana ni mtu mwelewe ukiacha propaganda za watu tuu,hata wasipoliunga mkono kwa siasa za Tz bila CDM kama chama kikuu cha upinzani ni picha mbaya kwa nchi.
Umemuona yule mwenzenu wa msumbiji alijua wazungu watasaidia ila kwa sasa ameanza mwenyewe kujipendekeza.....bongo wanasiasa njaa nyingi hakuna linaloshindikana
 
View attachment 3210179

Hongera TUNDU LISSU, safari ya kwenda Ikulu ianze sasa.
View attachment 3210183

Mbinu za maangamizi;
  • 1. Mobilization ya vijana hasa wapiga kura ianze kwa haraka sana.
  • Hii ni pamoja na kuandikisha wanachama wapya wengi ambao walipoteza matumaini juu ya upinzani wa Tanzania.
  • Lakini pia imiza vijana wengi kwenda kujiandikisha kwenye daftari la kudumu endapo litaletwa kwenye maeneo yao.

2. Chama kikuandalie ziara ya mikoa kama mitano yenye nguvu kubwa ya upinzani ili ufanye ziara huko ya kujitambulisha kama mwenyekiti mpya wa chadema. Katika mikoa hiyo napendekeza mikoa hii iwe ya Mwanzo;
  • Mwanza,
  • Mara
  • Singida
  • Arusha
  • Mbeya
  • Dar es salaam
Chadema hapa ni kucheza tu na hamasa kwa vijana ambao ndio chachu ya mabadiliko yoyote yale kwenye nchi yoyote.

Tutembee na mkeka wa shekh Yahya naona unaenda vizuri kabisa.
Oyooo
 
Umemuona yule mwenzenu wa msumbiji alijua wazungu watasaidia ila kwa sasa ameanza mwenyewe kujipendekeza.....bongo wanasiasa njaa nyingi hakuna linaloshindikana
Wazalendo hatutaki machafuko hata kidogo,tunataka tudai jambo lililopendekezwa na tume ya jaji nyalali kabla ya kuanza kwa mfumo wa vyama vingi mwaka 1992.
 
Back
Top Bottom