- Thread starter
- #21
AfungweSAWA UNA BANGI THEN WHAT??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AfungweSAWA UNA BANGI THEN WHAT??
Kama ulikwepa shule sasa watu watakusaidiaje mzee. Rudi shule utajua kwa nini mkojo umepatikana na bhangiSasa tutajuaje kama kweli huyo mkemia mkuu bangi aliikuta kwenye mkojo?
Huyo mkemia tunataka atuambie hiyo bangi wema alikua anavuta au ana kula na aliikutaje kwenye mkojo.
Tunawazidi kuwa na akili timamuhivi zile nchi zilizo ruhusu matumizi ya bangi kuna chochote tunawazidi japo huku bangi imekatazwa?
unataka na kwetu iruhusiwe kisa wema anatumia....?hivi zile nchi zilizo ruhusu matumizi ya bangi kuna chochote tunawazidi japo huku bangi imekatazwa?
HakikaWatanzania tujenge utamaduni wa kupima kojo bila shuruti. Shime muhamasishe jirani. CCM oyee !
waliitwa kujisalimisha na kukiri.Huyu inadaiwa kakutwa mkojo wake una chembechembe za bangi na msokoto mmoja chumbani kwake. Wamekomaa nae kwenye case. Mwingine ni teja sugu, kakiri kwamba analamba ngada mwanzo mwisho. Kasamehewa na sasa ati ni balozi wa kuokoa vijana, akiandamana na RC majukwaani.
Nchi hii ni pasua kichwa kwelikweli. Full visasi na kukomoana.
Sasa tutajuaje kama kweli huyo mkemia mkuu bangi aliikuta kwenye mkojo?
Huyo mkemia tunataka atuambie hiyo bangi wema alikua anavuta au ana kula na aliikutaje kwenye mkojo.
Mlitaka kukuta uchochezi kwenye mkojo.?ndio maana lisu aligomea ili aibu isimpate
HIVI KARIBUNI UTASKIA TUMEFUNGUA KIWANDA KIKUBWA KWA AJILI YA KUPIMA MKOJO KWA WINGI ZAIDI.
Mikojo ya kina mama...shameyani ofisi ya mkemia mkuu badala ya kupima hayo ma 'yuraniam' na kuyarutubisha ili siku moja tuanze kuzungumzia habari kama za korea kaskazini ipo bize kupima taka mwili...!!!???
Hayo mambo yanafanyika kisheria mkuu na ushahidi wa mkemia mkuu haupingwi.Sema Wema atasamehewa tu na mahakama.Hayo Ndyo Matokeo Kufanya Mambo Kisiasa,alipaswa Kutangaza Hadharani?Watapimwa Mkojo Wengi Sna Nakuambiwa Zina Bangi Na Uchochezi