Mkemia Mkuu: Mkojo wa Wema Sepetu ulikuwa na bangi

Mkemia Mkuu: Mkojo wa Wema Sepetu ulikuwa na bangi

Sasa tutajuaje kama kweli huyo mkemia mkuu bangi aliikuta kwenye mkojo?

Huyo mkemia tunataka atuambie hiyo bangi wema alikua anavuta au ana kula na aliikutaje kwenye mkojo.
Kama ulikwepa shule sasa watu watakusaidiaje mzee. Rudi shule utajua kwa nini mkojo umepatikana na bhangi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu inadaiwa kakutwa mkojo wake una chembechembe za bangi na msokoto mmoja chumbani kwake. Wamekomaa nae kwenye case. Mwingine ni teja sugu, kakiri kwamba analamba ngada mwanzo mwisho. Kasamehewa na sasa ati ni balozi wa kuokoa vijana, akiandamana na RC majukwaani.

Nchi hii ni pasua kichwa kwelikweli. Full visasi na kukomoana.
waliitwa kujisalimisha na kukiri.
Walioitikia ni wachache...waliokataa ni wengi.

Usijidai msahaulifu!
 
Sasa tutajuaje kama kweli huyo mkemia mkuu bangi aliikuta kwenye mkojo?

Huyo mkemia tunataka atuambie hiyo bangi wema alikua anavuta au ana kula na aliikutaje kwenye mkojo.

Asiyejua ni mjinga aelimishwe, ila mashaka yangu ni kwa asiyetaka kujua...
 
yani ofisi ya mkemia mkuu badala ya kupima hayo ma 'yuraniam' na kuyarutubisha ili siku moja tuanze kuzungumzia habari kama za korea kaskazini ipo bize kupima taka mwili...!!!???
Mikojo ya kina mama...shame
 
Duh., now days watu wanapewa varieties of KIKI, hadi mkojo?
Ama kwa hakika chini ya Yohane tutaona mengi.
 
Who is Wema kuhangaika na mkojo wake?!. Hivi hatuna kazi za maana kuzifanya hapo kwa mkemia. Au shida ni cdm?!,
 
sasa kila siku mkojo ndio habari ,,,,,tumeichoka na yule teja mbona aliachiwa
 
Back
Top Bottom