Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uongoz unatia kinyaa,Lack of vision. Tumehama kutoka Tanzania ya Viwanda hadi Tanzania ya Mikojo.
Kinachofuata sasa ni kuwapima akili tu.Agenda ya CCM sasa ni kupima mikojo wapinzani
Kwahiyo Lengo nikuwaaibishandio maana lisu aligomea ili aibu isimpate
Vipi na zile nchi zilizoruhusu ndoa ya jinsia moja tunawazidi chochote? kwa mtazamo wako unataka bangi iruhusiwe pia utataka ndoa za jinsia moja ziruhusiwe hapa Tanzaniahivi zile nchi zilizo ruhusu matumizi ya bangi kuna chochote tunawazidi japo huku bangi imekatazwa?
Nafikiri tumewazidi wogahivi zile nchi zilizo ruhusu matumizi ya bangi kuna chochote tunawazidi japo huku bangi imekatazwa?
Kwani kuvuta bangi ni aibu au ni kosa?ndio maana lisu aligomea ili aibu isimpate
Yote mawili ni sahihi.
Kwa hiyo ukikubali kosa unaachiwa huru si ndio?waliitwa kujisalimisha na kukiri.
Walioitikia ni wachache...waliokataa ni wengi.
Usijidai msahaulifu!
Umeongea facts mkuu...atupe methods na procedure alizozitumia kupata haya majibuSasa tutajuaje kama kweli huyo mkemia mkuu bangi aliikuta kwenye mkojo?
Huyo mkemia tunataka atuambie hiyo bangi wema alikua anavuta au ana kula na aliikutaje kwenye mkojo.

