Mkenya adai kuolewa na Roho Mtakatifu

Mkenya adai kuolewa na Roho Mtakatifu

Ng'ombe 22 na mbuzi 15 kwa ajili ya mbunye tu? Huyu jamaa akili yake haiko sawa, wacha tu achapiwe Hadi atie dispilini
Mkuu unawajua WAPOKOTI??

Hawa na wafugaji by nature kama wamasai na wasukuma
 
Za kuambiwa changanya na za kwako, huyo anolewa na mchungaji wake kwa kivuli cha roho mtakatifu...

Muda sii mrefu atarudi na ushuhuda jinsi paster anavyomtesa kwenye ndoa aliyofunga nae...
 
Unataka kumuoa mke wa roho?

Huyo ana njaa na kiu cha kutembezwa dushe, hamna kingine kinamsumbua.....mwanamke akiwa na minyege halafu umnyime shughuli akili humhama, angalia sana hata kwa mkeo ukimuona ana visirani na makelele yasiyo na mashiko, haeleweki eleweki aibue hili, halijaisha aparamie lingne, wewe jiandae mida ya jioni muombe akikupa umtie ile balaa, nakuhakikishia hizo vurugu zake zitaisha, alfajiri atakuandalia supu na kuongea kistaarabu sana.
 
Huyo ana njaa na kiu cha kutembezwa dushe, hamna kingine kinamsumbua.....mwanamke akiwa na minyege halafu umnyime shughuli akili humhama, angalia sana hata kwa mkeo ukimuona ana visirani na makelele yasiyo na mashiko, haeleweki eleweki hara aibu hili, halijaisha aparamie lingne, wewe jiandae mida ya jioni muombe akikupa umtie ile balaa, nakuhakikishia hizo vurugu zake zitaisha, alfajiri atakuandalia supu na kuongea kistaarabu sana.
Mjegejo humtuliza mama nyumbani
 
Kafrican njoo uone jinsi mlivyo Mataahira.
Uzi huu usomwe na MK254 balozi wa Kenya hapa JamiiForums
Kwani si vitabu takatifu vyote hupenda kusema binadamu ameumbwa kwa mfano(image) ya mwenyezi Mungu.

Kama tuliumbwa na nyege, Upendo, Hasira, Wivu..n.k. basi Kuna uwezekano mkubwa kwamba huyo Mungu mwenyewe na viumbe vyake Wana nyege alafu ndo wakaturithisha hizo hisia. Huyu roho mtakatifu lazima ameshindwa kujizulia 🤗😶🤗
 
Huyo mchungaji alienunua gauni la harusi na kugharamia kila kitu ni mwanaume? Kama ni mwanaume kuna kaharufu nakahisi kwa mbaaali kanakuja na kupotea
Hahaa ana kesi nzito ya kujibu kama Paulo
 

#Taarifabilamipaka
Elizabeth Nalem mwenye umri wa miaka 41 ambaye ni afisa wa mji wa Makutano Pokot Magharibi nchini Kenya, amewashangaza wengi baada ya kutangaza kuwa amefunga ndoa na Roho Mtakatifu.

Harusi hiyo iliyoandaliwa kwenye hoteli ya Chelang’a mjini Makutano ilihudhuriwa na wapambe wa Bi harusi huyo na kuongozwa na Kasisi Albert Rumaita wa kanisa la Full Gospel.

Akiwa amepambwa kwa mavazi rasmi ya harusi mwanamke huyo mwenye watoto sita alikula kiapo cha kumpenda na kumtumikia huyo mumewe mpya (roho mtakatifu) maisha yake yote

Mumewe aliyefahamika kama Joshua Nalem alikuwa ni kati ya mashuhuda wa harusi hiyo alipoulizwa alisema haamini kama mkewe aliyeishi naye kwa miaka 20 angefanya tukio kama hilo.

“Nimeshangaa sana. Nilitoa mahari; ng’ombe 22 na mbuzi 15 nilipooa mke wangu. Lakini sasa anafunga ndoa na mume mwingine anayedai kuwa roho mtakatifu,” alisema bwana huyo.

Bi harusi mwenyewe amesema
ametumikia dunia tangu alipozaliwa. Lakini sasa roho mtakatifu amemuagiza amtumikie Mungu.

"Roho Mtakatifu alinituma kwa Pasta Rumaita ambaye alininunulia vazi la harusi, aliandaa hafla hii na akakodisha magari yaliyotuleta haba,” akasema Bi Nalem.

Elizabeth alikiri kuwa kabla ya kuandaa sherehe hiyo iliyotawaliwa na vigeregere na nderemo nyingi aliomba ruhusa kwa mumewe ambaye alikataa jambo hilo.

View attachment 1850312
Duh hii dunia......
 
Back
Top Bottom