Mkenya adai kuolewa na Roho Mtakatifu

Mkenya adai kuolewa na Roho Mtakatifu

Kwani si vitabu takatifu vyote hupenda kusema binadamu ameumbwa kwa mfano(image) ya mwenyezi Mungu.

Kama tuliumbwa na nyege, Upendo, Hasira, Wivu..n.k. basi Kuna uwezekano mkubwa kwamba huyo Mungu mwenyewe na viumbe vyake Wana nyege alafu ndo wakaturithisha hizo hisia. Huyu roho mtakatifu lazima ameshindwa kujizulia 🤗😶🤗
Wakenya muwe na adabu kidogo
 
Back
Top Bottom