MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 32,408
- 50,809
Tayari dawa hiyo imejaribishwa kwa panya (ambao wana vinasaba vinavyoendana na vya binadamu) na imefaulu kufuta UKIMWI kabisa kwenye wanyama hao, hivyo wapo kwenye hatua za mwisho ili ianze kujaribishwa kwa binadamu.
Ndio uvumbuzi wa kwanza kuwahi kufaulu kiasi hiki na wakiendelea kukomaa, basi virusi vya VVU vitatakua historia kwenye maisha ya binadamu.
Hawa ni kundi la wanasayansi waliochaguliwa kwa kupitia umakini mkubwa sana maana kila mmoja amebobea kwenye fani yake ndani ya taaluma ya sayansi, na ni fahari sana kuona Mkenya yupo humo miongoni mwao, inatia hamasa kwa vijana wetu kwamba yeyote anaweza kufika popote pale akidhamiria.
-------------------------------

Assistant professor of pharmacology at the University of Nebraska Medical Centre, Benson Edagwa
He has been an assistant professor at the University for two years, since July 2017.
The former alumnae of Moi University in Eldoret, Uasin Gishu county, also boasts of a Ph.D. in organic chemistry that he earned from Louisiana State University.
Aside from work, Edagwa also scooped nine honors and awards from various universities in the United States since 2010 with the latest being ViiV Healthcare Distinguished Scientist in 2016.
Ndio uvumbuzi wa kwanza kuwahi kufaulu kiasi hiki na wakiendelea kukomaa, basi virusi vya VVU vitatakua historia kwenye maisha ya binadamu.
Hawa ni kundi la wanasayansi waliochaguliwa kwa kupitia umakini mkubwa sana maana kila mmoja amebobea kwenye fani yake ndani ya taaluma ya sayansi, na ni fahari sana kuona Mkenya yupo humo miongoni mwao, inatia hamasa kwa vijana wetu kwamba yeyote anaweza kufika popote pale akidhamiria.
-------------------------------

Assistant professor of pharmacology at the University of Nebraska Medical Centre, Benson Edagwa
He has been an assistant professor at the University for two years, since July 2017.
The former alumnae of Moi University in Eldoret, Uasin Gishu county, also boasts of a Ph.D. in organic chemistry that he earned from Louisiana State University.
Aside from work, Edagwa also scooped nine honors and awards from various universities in the United States since 2010 with the latest being ViiV Healthcare Distinguished Scientist in 2016.
- The academician reveals having published over 35 notable publications with nine making headlines in various biomedical journals.
Edagwa, boasts of Memberships and Other Offices in Professional Societies such as the American Chemical Society, Division of Organic Chemistry, American Society for Nanomedicine, British Society for Nanomedicine and Controlled Release Society.
The groundbreaking research of which Edagwa is a part of, conducted the study in 29 mice and in the various tests the scientists found no trace of the virus in 30 percent.
Use of Mice in the research is because they are biologically similar to humans and get many of the same diseases, for the same genetic reasons.
They can, therefore, be genetically manipulated to mimic virtually any human disease or condition which is good news because there is hope for a cure for the disease in humans.
Kenyans took to social media to express their pride in the son of the soil who was part of the historical research.
The Association of Kenyan Microbiologists and Scientists on Facebook stated, "A Kenyan, Dr. Benson Edagwa, has discovered a drug, Laser ART, that can potentially eliminate HIV from the human body. We are proud of our own
"Good news! A Kenyan, Dr. Benson Edagwa Ph.D. ( University of Nebraska Medical Centre) has discovered LASER ART, a drug that completely eliminates HIV from the human body. Stories that our local media should tell us," boasted another social media user, Eric Amunga.

A person holding ARV drugs
Meet Kenyan Professor in Team Working on HIV Cure
The former alumnae of Moi University in Eldoret, Uasin Gishu county, also boasts of a Ph.D. in...
www.kenyans.co.ke