Mkenya ni mojawapo wa mabingwa wanasayansi waliokusanyika kuvumbua dawa ya kuponya UKIMWI

Mkenya ni mojawapo wa mabingwa wanasayansi waliokusanyika kuvumbua dawa ya kuponya UKIMWI

MK254

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2013
Posts
32,408
Reaction score
50,809
Tayari dawa hiyo imejaribishwa kwa panya (ambao wana vinasaba vinavyoendana na vya binadamu) na imefaulu kufuta UKIMWI kabisa kwenye wanyama hao, hivyo wapo kwenye hatua za mwisho ili ianze kujaribishwa kwa binadamu.
Ndio uvumbuzi wa kwanza kuwahi kufaulu kiasi hiki na wakiendelea kukomaa, basi virusi vya VVU vitatakua historia kwenye maisha ya binadamu.
Hawa ni kundi la wanasayansi waliochaguliwa kwa kupitia umakini mkubwa sana maana kila mmoja amebobea kwenye fani yake ndani ya taaluma ya sayansi, na ni fahari sana kuona Mkenya yupo humo miongoni mwao, inatia hamasa kwa vijana wetu kwamba yeyote anaweza kufika popote pale akidhamiria.
-------------------------------


Assistant professor of pharmacology at the University of Nebraska Medical Centre, Benson Edagwa

He has been an assistant professor at the University for two years, since July 2017.

The former alumnae of Moi University in Eldoret, Uasin Gishu county, also boasts of a Ph.D. in organic chemistry that he earned from Louisiana State University.

Aside from work, Edagwa also scooped nine honors and awards from various universities in the United States since 2010 with the latest being ViiV Healthcare Distinguished Scientist in 2016.


  • The academician reveals having published over 35 notable publications with nine making headlines in various biomedical journals.
    Edagwa, boasts of Memberships and Other Offices in Professional Societies such as the American Chemical Society, Division of Organic Chemistry, American Society for Nanomedicine, British Society for Nanomedicine and Controlled Release Society.
    The groundbreaking research of which Edagwa is a part of, conducted the study in 29 mice and in the various tests the scientists found no trace of the virus in 30 percent.
    Use of Mice in the research is because they are biologically similar to humans and get many of the same diseases, for the same genetic reasons.
    They can, therefore, be genetically manipulated to mimic virtually any human disease or condition which is good news because there is hope for a cure for the disease in humans.
    Kenyans took to social media to express their pride in the son of the soil who was part of the historical research.
    The Association of Kenyan Microbiologists and Scientists on Facebook stated, "A Kenyan, Dr. Benson Edagwa, has discovered a drug, Laser ART, that can potentially eliminate HIV from the human body. We are proud of our own
    "Good news! A Kenyan, Dr. Benson Edagwa Ph.D. ( University of Nebraska Medical Centre) has discovered LASER ART, a drug that completely eliminates HIV from the human body. Stories that our local media should tell us," boasted another social media user, Eric Amunga.

    A person holding ARV drugs
 
Ngoja uone vile historia yake itakavyo futwa na kuwa under reported za wazungu, mwanzo vile research yake imefanyika huko majuu, ma intellectual property na proprietary ownership yataingishwa kazini mwishowe story itageuka na kua hio university ndo itatangazwa kua ndo imezindua hio discovery alafu Kwa interview Kwa maruninga ni mzungu ndo atakua anaenda kuelezea tiba hio yeye kama 'head of research' kwahivyo yeye ndo atakua the face of the cure .... Mwishowe huyo mkenya atakua Kwa footnote ya 'waliosaidia '
 
Hehehe! Subiri dawa ya kukuponya inakuja, endelea kutumia hizo za kutuliza makali ya ngoma.
tatizo mimi ni HIV denialism halafu ukimwi huwezi kunigusa maana hautapata nafasi kwenye mwili wangu.hizo tafiti zenu feki kila siku mnazokuja nazo then zinapotelea hewani mmeanza kutafutia kiki humu.huu muda uliopoteza kuanzisha uzi wa ovyo bora ungetulia kwenu kibera upange na ndugu zako jinsi ya kujikwamua kimaisha
 
Utawaua wengi sana wewe... Japo ujue kuna sheria siku hiz, ukimuambukiza mtu ukimwi kimakusdi, unatiwa ndani na kufungwa.
hakuna kitu kinachoitwa HIV ni uongo mkubwa uliotengenezwa, UKIMWI upo hasa africa kutokana na sababu mbalimbali na sio kweli kwamba unaambukizwa kwa njia tunazodanganywa,labda uambukizwe magonjwa yatakayoambata na upungufu huo wa kinga(UKIMWI) kama vile TB ambayo mara nyingi huambukizwa kwa njia ya hewa na si ngono na inatibika.
Najua ni elimu kubwa kwako kuliko capacity yako so hutaweza kunielewa ukizingatia ushakremishwa tangu utotoni so kukutoa huko shimoni sio rahisi
 
Ngoja uone vile historia yake itakavyo futwa na kuwa under reported za wazungu, mwanzo vile research yake imefanyika huko majuu, ma intellectual property na proprietary ownership yataingishwa kazini mwishowe story itageuka na kua hio university ndo itatangazwa kua ndo imezindua hio discovery alafu Kwa interview Kwa maruninga ni mzungu ndo atakua anaenda kuelezea tiba hio yeye kama 'head of research' kwahivyo yeye ndo atakua the face of the cure .... Mwishowe huyo mkenya atakua Kwa footnote ya 'waliosaidia '
ukweli uliomchungu.
 
tatizo mimi ni HIV denialism halafu ukimwi huwezi kunigusa maana hautapata nafasi kwenye mwili wangu.hizo tafiti zenu feki kila siku mnazokuja nazo then zinapotelea hewani mmeanza kutafutia kiki humu.huu muda uliopoteza kuanzisha uzi wa ovyo bora ungetulia kwenu kibera upange na ndugu zako jinsi ya kujikwamua kimaisha
What do you mean by saying that that AIDS can't affect you?
 
Sasa wewe, do you really know the meaning of HIV denialism and also what do you mean by saying that that AIDS can't affect you?
1.yes i know
2.najua ili kinga ya mwili ipungue ni vitu gani vinasababisha ambavyo nashukuru maisha yangu yameshatoka huko presence ya hizo sababu za kuifanya kinga yangu ipungue

nadhani nimejibu maswali yako mawili respectively
 
AIDS is a combination of all diseases inside the body due to lack or low number of CD4+ T cells in the blood. These cells are attacked by HIV and this is the reason why scientists say AIDS is caused by HIV.
hakuna kitu kinachoitwa HIV ni uongo mkubwa uliotengenezwa, UKIMWI upo hasa africa kutokana na sababu mbalimbali na sio kweli kwamba unaambukizwa kwa njia tunazodanganywa,labda uambukizwe magonjwa yatakayoambata na upungufu huo wa kinga(UKIMWI) kama vile TB ambayo mara nyingi huambukizwa kwa njia ya hewa na si ngono na inatibika.
Najua ni elimu kubwa kwako kuliko capacity yako so hutaweza kunielewa ukizingatia ushakremishwa tangu utotoni so kukutoa huko shimoni sio rahisi
 
AIDS is a combination of all diseases inside the body due to lack or low number of CD4+ T cells in the blood. These cells are attacked by HIV and this is the reason why scientists say AIDS is caused by HIV.
hapa umedanganya sana ,sio kweli kwamba AIDS ni combination ya all desease.ukimwi ni upungufu wa kinga ONLY. kinga ikipungua unaweza kusababisha ukapata ugonjwa wowote au sipate ugonjwa wowote kutegemea na strength ya kinga yako na vipi unapambana kuiimarisha kinga yako.huu upungufu wa kinga kwenye mwili(UKIMWI) ubasababishwa na vitu vingi sana kwenye maisha na sio HIV kama tulivyoaminishwa .cha muhimu tunza kinga yako kwa kufata mfumo mzuri wa maisha yako kitu ambacho wengi kinatushinda kutokana na factor nyingi ikiwemo umasikini ,ndio maana bara la afrika hasa chini ya jangwa la saharandilo linaloongoza kwa ukimwi duniani .

UKIMWI sio combination ya magonjwa bali ukiwa na ukimwi vimelea vya magonjwa ni rahisi kukushambulia
 
Do you know hata too much stress can cause AIDs
Hahaha it seems now you don't know what you are talking about. Stress can't cause AIDS. As I have told you, AIDS is a combination of all diseases in the body and all these diseases will manifest due to the presence of HIV which will weaken CD4+ T cells, these are the cells that works as the protectors of the body against diseases. When CD4+ T cells are no longer in the body, all the diseases that the victim may come across will kill him/her because she/he no longer have cells to eliminate the diseases.
 
Back
Top Bottom