Mkenya ni mojawapo wa mabingwa wanasayansi waliokusanyika kuvumbua dawa ya kuponya UKIMWI

Mkenya ni mojawapo wa mabingwa wanasayansi waliokusanyika kuvumbua dawa ya kuponya UKIMWI

hapa umedanganya sana ,sio kweli kwamba AIDS ni combination ya all desease.ukimwi ni upungufu wa kinga ONLY. kinga ikipungua unaweza kusababisha ukapata ugonjwa wowote au sipate ugonjwa wowote kutegemea na strength ya kinga yako na vipi unapambana kuiimarisha kinga yako.huu upungufu wa kinga kwenye mwili(UKIMWI) ubasababishwa na vitu vingi sana kwenye maisha na sio HIV kama tulivyoaminishwa .cha muhimu tunza kinga yako kwa kufata mfumo mzuri wa maisha yako kitu ambacho wengi kinatushinda kutokana na factor nyingi ikiwemo umasikini ,ndio maana bara la afrika hasa chini ya jangwa la saharandilo linaloongoza kwa ukimwi duniani .

UKIMWI sio combination ya magonjwa bali ukiwa na ukimwi vimelea vya magonjwa ni rahisi kukushambulia
Ni nini inafanya that "Kinga" kupungua?
 
hapa umedanganya sana ,sio kweli kwamba AIDS ni combination ya all desease.ukimwi ni upungufu wa kinga ONLY. kinga ikipungua unaweza kusababisha ukapata ugonjwa wowote au sipate ugonjwa wowote kutegemea na strength ya kinga yako na vipi unapambana kuiimarisha kinga yako.huu upungufu wa kinga kwenye mwili(UKIMWI) ubasababishwa na vitu vingi sana kwenye maisha na sio HIV kama tulivyoaminishwa .cha muhimu tunza kinga yako kwa kufata mfumo mzuri wa maisha yako kitu ambacho wengi kinatushinda kutokana na factor nyingi ikiwemo umasikini ,ndio maana bara la afrika hasa chini ya jangwa la saharandilo linaloongoza kwa ukimwi duniani .

UKIMWI sio combination ya magonjwa bali ukiwa na ukimwi vimelea vya magonjwa ni rahisi kukushambulia
Let me ask you one question, when you go to VCT what do they normally test?
 
many factors ,ngoja nipate lunch nirudi nikupe shule ya bure
I have realised you are not smart as you claim to be be, that " Kinga" can only be reduced by HIV. Second, what's the name of that "Kinga"?
 
hahahahahahahaahah hio sikuisikia...ilikua lini??? kali sana
Dah
Screenshot_2019-07-04-13-38-40.jpeg
 
ok uliza swali lako sasa nikujibu kwa kuwa unaonekana una haraka nitajitahidi kwenda fasta na mimi
1. What's the name of the " kinga" you are talking about?
2. What brings the reduction of that "Kinga"?
3. Tell us how stress reduces that " Kinga"
4. List some of the diseases and conditions that causes AIDS if in any case there is.
 
I have realised you are not smart as you claim to be be, that " Kinga" can only be reduced by HIV. Second, what's the name of that "Kinga"?
nimeona hili swali kwanza sory kwa kusema ni lakijinga yani nikwambie kinga ya mwili ni nini?? hauna idea ya immunity??
sorry uliza maswali kwa faida ya wengu humu
pia umesema u have realized im not smart as i claim lakini hakuna sehemu yoyote uliponiqoute nimejiita smart hapo unadhani kati yangu na yako nani ataonekana hayuko smart??
pili wewe uliyesema AIDS ni combination ya magonjwa yote wakati unajua au labda hujui kweli kwamba AIDS ni just immunity difficiency mwilini wala sio combination ya ugonjwa wowote

hapo huoni kabisa umejidhihirisha wewe sio smart enough??
 
1. What's the name of the " kinga" you are talking about?
2. What brings the reduction of that "Kinga"?
3. Tell us how stress reduces that " Kinga"
4. List some of the diseases and conditions that causes AIDS if in any case there is.
1.immunity/chembe chembe nyeupe zilizo ndani ya mwili
2.magonjwa hasa yale sugu,lishe mbovu,stress ,nk nk nk
 
nimeona hili swali kwanza sory kwa kusema ni lakijinga yani nikwambie kinga ya mwili ni nini?? hauna idea ya immunity??
sorry uliza maswali kwa faida ya wengu humu
pia umesema u have realized im not smart as i claim lakini hakuna sehemu yoyote uliponiqoute nimejiita smart hapo unadhani kati yangu na yako nani ataonekana hayuko smart??
pili wewe uliyesema AIDS ni combination ya magonjwa yote wakati unajua au labda hujui kweli kwamba AIDS ni just immunity difficiency mwilini wala sio combination ya ugonjwa wowote

hapo huoni kabisa umejidhihirisha wewe sio smart enough??
Immunity is general term, together with its cells (general) it's called immune system. It's these cells that you call"Kinga", yani each immune cell has it's function. There are cells that protect the body against viral infections, there are some cells that protects the body against parasitic infection, there are some that protect against fungal infection and others protect against bacterial infection. So if I ask you the name of that thing you call "Kinga", I expect you to tell me the name of the specific cell which in this case is CD4+T cells.
 
1. What's the name of the " kinga" you are talking about?
2. What brings the reduction of that "Kinga"?
3. Tell us how stress reduces that " Kinga"
4. List some of the diseases and conditions that causes AIDS if in any case there is.
3.too much stress inaweza kusababisha 1.kushindwa kupata mlo kamili (reduction of kinga)
2.kushidwa kutumia madawa sahihi ya ugonjwa utakaukupata
3. kuathirika kisaikologia ambapo unaweza kuzalisha tatizo jingine litakalopelea
kuathiri kinga
nk nk nk
 
1.immunity/chembe chembe nyeupe zilizo ndani ya mwili
2.magonjwa hasa yale sugu,lishe mbovu,stress ,nk nk nk
1. What's the name of the " kinga" you are talking about?
2. What brings the reduction of that "Kinga"?
3. Tell us how stress reduces that " Kinga"
4. List some of the diseases and conditions that causes AIDS if in any case there is.
4.TB,MALARIA SUGU,HEPATISM ETC
 
Back
Top Bottom