Mkenya ni mojawapo wa mabingwa wanasayansi waliokusanyika kuvumbua dawa ya kuponya UKIMWI

Mkenya ni mojawapo wa mabingwa wanasayansi waliokusanyika kuvumbua dawa ya kuponya UKIMWI

Immunity is general term, together with its cells (general) it's called immune system. It's these cells that you call"Kinga", yani each immune cell has it's function. There are cells that protect the body against viral infections, there are some cells that protects the body against parasitic infection, there are some that protect against fungal infection and others protect against bacterial infection. So if I ask you the name of that thing you call "Kinga", I expect you to tell me the name of the specific cell which in this case is CD4+T cells.
Hapa ndipo jamaa walipofanikiwa kudanganya wengi ,unaweza kunijia majina ya hizo kinga zinazopambana na magonjwa mengine?? ok nitajie kinga inayopambana na wadudu wa malaria tu au TB.kifupi mwili wowote wa binadamu una CD4 na kinga ya mwili ambayo ni ile hali ya mwili kuwa na uwezo wa kujikinga wenyewe dhidi ya maradhi mbalimbali ikishambuliwa hii CD4 hupungua .hakuna sehemu yoyote wala daktari yoyote atakayeweza kupima HIV anavyoshusha CD4
 
Eti AIDS is caused by stress.
Hivi hizo shule mnaenda kusomea ujinga ( in FaizaFoxy 's voice]
tatizo umekurupukia uzi ungeanza kusoma tangu mwanzo au ungeuliza stress zikizidi zinaweza kupelekea mtu akafanya kitu gani hatarishi kinachoweza kusababisha akaathirika na ukimwi

ficha ujinga wako ,shule ikusaidie kupanua ubongo
 
Let me ask you one question, when you go to VCT what do they normally test?
they do not test HIV wala hakuna aliyewahi kumonana HIV kwa kipimo chochote they just test anti body reaction kwenye mwili.mwili unaposhambuliwa unaproduce anti bodies kupambana na mashambuzli
 
3.too much stress inaweza kusababisha 1.kushindwa kupata mlo kamili (reduction of kinga)
2.kushidwa kutumia madawa sahihi ya ugonjwa utakaukupata
3. kuathirika kisaikologia ambapo unaweza kuzalisha tatizo jingine litakalopelea
kuathiri kinga
nk nk nk
Let me educate you my friend.
First, going by the definition AIDS in an immunodeficiency disease which means that it occurs due to lack of immune cells. Second, the immune cell we are talking about here is the T cell sub-type CD4+ T cells. It is these cells that HIV which is a retrovirus attack a reduce their numbers in the body. Once they are reduced to a level which they can no longer fight any infection, that's when other diseases come in. It is this diseases that normally kill.
 
they do not test HIV wala hakuna aliyewahi kumonana HIV kwa kipimo chochote they just test anti body reaction kwenye mwili.mwili unaposhambuliwa unaproduce anti bodies kupambana na mashambuzli
Yeah they don't test HIV but they test CD4 T cells and not antibodies.
 
they do not test HIV wala hakuna aliyewahi kumonana HIV kwa kipimo chochote they just test anti body reaction kwenye mwili.mwili unaposhambuliwa unaproduce anti bodies kupambana na mashambuzli
Antibodies can never be tested when AIDS presence is to be determined because antibodies only protects against extracellular infections and not intracellular. AIDS is an intracellular infection so antibody has no role in its protection.
 
tatizo umekurupukia uzi ungeanza kusoma tangu mwanzo au ungeuliza stress zikizidi zinaweza kupelekea mtu akafanya kitu gani hatarishi kinachoweza kusababisha akaathirika na ukimwi

ficha ujinga wako ,shule ikusaidie kupanua ubongo
Lol.. Am out..sitaki majibizano ya kuumiza kichwa. Nilikuwa nimeshangaa tu.
 
Antibodies can never be tested when AIDS presence is to be determined because antibodies only protects against extracellular infections and not intracellular. AIDS is an intracellular infection so antibody has no role in its protection.

Kama hajakuelewa hapa, basi atakua na matatizo.
 
Hapa ndipo jamaa walipofanikiwa kudanganya wengi ,unaweza kunijia majina ya hizo kinga zinazopambana na magonjwa mengine?? ok nitajie kinga inayopambana na wadudu wa malaria tu au TB.kifupi mwili wowote wa binadamu una CD4 na kinga ya mwili ambayo ni ile hali ya mwili kuwa na uwezo wa kujikinga wenyewe dhidi ya maradhi mbalimbali ikishambuliwa hii CD4 hupungua .hakuna sehemu yoyote wala daktari yoyote atakayeweza kupima HIV anavyoshusha CD4
The immune molecule that fights TB is interleukin which is produced from macrophages. So the immune cell is macrophages and the immune molecule is interleukin. For malaria, the immune cells are antibodies and other cytokines because P.falciparum is an extracellular parasite .
 
Asante kw kufuta kauli yako...endelea kupewa somo..naona umeanza kumuelewa teargass
tatizo umekurupukia uzi ungeanza kusoma tangu mwanzo au ungeuliza stress zikizidi zinaweza kupelekea mtu akafanya kitu gani hatarishi kinachoweza kusababisha akaathirika na ukimwi

ficha ujinga wako ,shule ikusaidie kupanua ubongo
 
Mkuu mbona sijakuelewa, na nina iman hata wengne weng tu hawajakuelewa!

tueleweshe mkuu!
hakuna kitu kinachoitwa HIV ni uongo mkubwa uliotengenezwa, UKIMWI upo hasa africa kutokana na sababu mbalimbali na sio kweli kwamba unaambukizwa kwa njia tunazodanganywa,labda uambukizwe magonjwa yatakayoambata na upungufu huo wa kinga(UKIMWI) kama vile TB ambayo mara nyingi huambukizwa kwa njia ya hewa na si ngono na inatibika.
Najua ni elimu kubwa kwako kuliko capacity yako so hutaweza kunielewa ukizingatia ushakremishwa tangu utotoni so kukutoa huko shimoni sio rahisi
 
Back
Top Bottom