Mkenya ni mojawapo wa mabingwa wanasayansi waliokusanyika kuvumbua dawa ya kuponya UKIMWI

AIDS is an Acquired Immunodeficiency Syndrome meaning the immune deficiency is acquired from something, which is a retrovirus(HIV) that lowers the body immunity.
i) Acquired- means "to get from"
ii)Immunodeficiency- means " lack of immune system.
iii) Syndrome- means "medical signs"

So the reason why I say that AIDS is a combination of all diseases is this;

1. AIDS is a condition and not a disease,
2. It is through this condition(AIDS) that other diseases (opportunistic diseases) now gets into body because there is no barrier(CD4+T cells) and makes their effects known.
3. Once this diseases are now inside human being, they take effect and then eventually kill the affected.
 
Sijui kwanini hawakumualika huyu mwanasayansi wa kiafrika kutoka Tz. Tayari ana tiba yake ya ukimwi ambayo ameitengeneza kwa kutumia machozi ya burukenge na mate ya nungunungu. [emoji38]
 
duuuuu hizo habar toka kitambo zipi hata babu wa loliondo alizpata ila sijajua mpango uhalisia kama upo ndani ya hilo suala tujihadhari dengu tyu inaua
 
Asee jitahidi unatuvuruga hapo ktk kiingereza chako.
"a reduce the number"
Andika vema tukuelewe maana kuna concept nataka niichukue kutoka kwako irekebishe hii post yako.
I need some concept over here.
 
Hebu jaribu kwangu kunitoa shimoni kwa elimu yako ,naamini nitatoka humu shimoni
 
Antibodies can never be tested when AIDS presence is to be determined because antibodies only protects against extracellular infections and not intracellular. AIDS is an intracellular infection so antibody has no role in its protection.
they do not test HIV wala hakuna aliyewahi kumonana HIV kwa kipimo chochote they just test anti body reaction kwenye mwili.mwili unaposhambuliwa unaproduce anti bodies kupambana na mashambuzli
Sasa nyie wasomi mnabishana tuuuu, hebu tuambieni kinagaubaga, ukimwi upo au haupo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…