Mkeo akikupa taarifa ya mpangaji mwenzenu wa kiume kumuomba namba utachukua hatua gani?

Mkeo akikupa taarifa ya mpangaji mwenzenu wa kiume kumuomba namba utachukua hatua gani?

Kuombwa namba sio shida, shida ni sababu ya kuombwa hiyo namba. Sema nini Mkuu mjali wife. Hapo kaamua tu kukuonesha kywa bado wapo wanaomuona wa maana, ukweli ni kwamba alifurahia kuombwa hizo namba.

Track ya Mmmh! by Sir Jay Tz ft Chino isindikize uzi.

Dj, plee dat ting
 
Kwa mfano kuna mpangaji mpya amewasili mnapoishi ila baada ya mwezi akamuomba namba ya simu mkeo kwa siri kwamba lengo wewe usijue tena alivyo mshamba akatumia kimemo na ushahidi upo wa kimemo na mkeo akamnyima na akaja kukusimulia wewe ila kwa kuogopa kugombanisha mpangaji na mkewe akakuomba chondechonde usianzishe vurumai hapo nyumbani kwani itakuwa ni aibu isitoshe utawagombanisha mtashindwa kuishi hapo so anakuomba kwamba uwe na kifua kipindi mnatafuta nyumba nyingine.

Je hatua gani za mapema uzichukue?

Je umkanye huyo mpangaji kimya kimya?

Au mbele ya mkewe?

Au utume mtu mzima akamueleze?

Au ukamnywee konyago ili uje ulianzishe fujo mtaa mzima wapate habari umekinukisha.
NENO KWA MFANO EBU LITOE ...MKUU NI OMBI SIO LAZIMA 😁
 
Huyo mpangaji ni mshamba, achana nae, atakuwa anatetemeka tu, ila mwambie mkeo akirudia huo ushamba wake mara ya pili akwambie, hapo ndipo utamtokea huyo mshamba personally, umchane face to face aache kuleta mambo ya kishamba kwa mkeo.
Hivi wewe unajua hata vidole vya mkono vinakunjaje ngumi ?
 
Asha liwa huyo, hapo ana tafuta defence mechanism
ila mkuu ulijisifu hapa kua mkeo ni white, shape matata.
Any way
vipi unarudi lini maji kutafuta degree?
 
Hata haina haja ya kuumiza kichwa.

Huyo mke hajamuelewa Jamaa ndio maana kamwambia mume wake kwamba kaombwa namba.

Ila kwa wanaume aliowaelewa hawezi sema hata siku moja, atatoa namba kimya kimya na ataliwa kimya kimya.
 
Kikubwaa mpeane maji mkifumanianaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwa mfano kuna mpangaji mpya amewasili mnapoishi ila baada ya mwezi akamuomba namba ya simu mkeo kwa siri kwamba lengo wewe usijue tena alivyo mshamba akatumia kimemo na ushahidi upo wa kimemo na mkeo akamnyima na akaja kukusimulia wewe ila kwa kuogopa kugombanisha mpangaji na mkewe akakuomba chondechonde usianzishe vurumai hapo nyumbani kwani itakuwa ni aibu isitoshe utawagombanisha mtashindwa kuishi hapo so anakuomba kwamba uwe na kifua kipindi mnatafuta nyumba nyingine.

Je hatua gani za mapema uzichukue?

Je umkanye huyo mpangaji kimya kimya?

Au mbele ya mkewe?

Au utume mtu mzima akamueleze?

Au ukamnywee konyago ili uje ulianzishe fujo mtaa mzima wapate habari umekinukisha.
Ukikutana nae huyo jamaa una mwambia umehamia hapa juzi tu lakini una moto sana
 
Back
Top Bottom