Mkeo aliwahi kukulaza lock up, baada ya kutoka maisha yalikuwaje?

Mkeo aliwahi kukulaza lock up, baada ya kutoka maisha yalikuwaje?

Kwahiyo tuendelee kuumizwa na wanawake kwa kuogopa kutupiwa watoto?
Huko ni kulea ujinga na mi nshakataa,akizingua aende
Nimekuuliza utamsaidia kulea ? Maana hajasema kosa hapo tambia ni lake lingekuwa la mkewe angelisema.
 
Hali zenu?

Wakuu, siku ya jumatano majira ya saa 1 jioni nikiwa nimefika nyumbani kutoka mihangaikoni, kulitokea kutokuelewana na wife,nikajikuta napandwa na hasira nikamshika nikachomoa mkanda wangu wa suruali nikamtandika nao hatari alivyopata upenyo akakimbilia nje.

Kumbe mashosti zake wakawa wamemshauri akimbilie kushtaki polisi, akaenda kituo cha police kushtaki,baada kama ya lisaa hivi nikasikia nagongewa na balozi wa nyumba kumi akiwa kaambatana na Askari polisi wawili, wakaniambia nahitajika kituo cha police kwani mke wangu kaenda kushtaki kuwa nimempiga.

Sikuwa mbishi nikawaomba nibadili nguo na niweke mazingira ya nyumba sawa kwani watoto na dada wa kazi hawapo.

Basi bana nikafika kituo cha police pale kaunta nikamkuta wife kakaa yuko na mashosti zake kama wawiili nikachukuliwa maelezo yangu kisha nikafunguliwa kesi ya shambulio la kudhuru mwili, nikaingizwa lock up, kwa sababu ilikua usiku afande mmoja hivi akaniambia kosa linadhaminika kama kuna jamaa zangu wako around niwacheck waje wanidhamini

Lakini pia akanishauri kwa jinsi anavyoona nina hasira bora nilale tu mle lock up kuepusha madhara kwani nikisema nitoke usiku ule ningeweza kumdhuru zaidi wife na pale lock up ni sehemu salama zaidi. Basi nikawa nimemuelewa yule afande nikatulia mpaka asubuhi,kulivyokucha nikaomba simu yangu pale kaunta nikawapigia jamaa zangu wakaja wakaniwekea dhamana.

Hapa nilipo toka nitoke lock up nimeona nikae kwanza kwa jamaa angu kujiepusha na huyo mwanamke,ameisha enda police mwenyewe kuwaambia hana nia ya kuendelea na hiyo kesi hivyo anaomba ifutwe, Askari kama kawaida wamemtoa pesa kidogo.

Sasa toka jana naona ananitumia watu kuja kumuombea msamaha kuwa alikosea kunilaza lock up.

Hapa niko stranded nimsamehe au nimfanyaje na baada ya kumsamehe maisha yetu hapo ndani yatakuwaje?

Kama kuna yeyote amewahi kupitia hii changamoto anisaidie mawazo.
Mkuu pole sana kwa yote!
Samehe tu leeni watoto wenu,jifanye mjinga siku ziende....Kumbuka siku hazigandi.
 
Mzee wangu alinambia mwanangu usipokuwa na uwezo wa kumuacha mwanamke utapata tabu sana maishani mwako sisi kwa mzee tupo matumbo manne na mzee kaoa wake nane wa halali lakini mpaka anafariki alikuwa na wake wawili alikuwa akiacha harudii nyuma yaani hii formula hata wife anaijua anakaa kwa kutulia hakuna kupoteza mda kama ni muislamu mkuu ongeza mathna.
 
Mzee wangu alinambia mwanangu usipokuwa na uwezo wa kumuacha mwanamke utapata tabu sana maishani mwako sisi kwa mzee tupo matumbo manne na mzee kaoa wake nane wa halali lakini mpaka anafariki alikuwa na wake wawili alikuwa akiacha harudii nyuma yaani hii formula hata wife anaijua anakaa kwa kutulia hakuna kupoteza mda kama ni muislamu mkuu ongeza mathna.
Kwahiyo baba yako yeye alikuwa mkamilifu kuliko hao wakeze wote, na wewe si unadada zako ambao ni watoto wake wewe jipange kulea wapwa MUNGU sio mchoyo humpq kila mtu haki yake
 
Kwahiyo baba yako yeye alikuwa mkamilifu kuliko hao wakeze wote, na wewe si unadada zako ambao ni watoto wake wewe jipange kulea wapwa MUNGU sio mchoyo humpq kila mtu haki yake
Utaratibu wa kuoa au kukaa na mke mmoja sio wa waafrika huo ni wa wazungu dada zangu mpaka wakaamua kuolewa kwa akili zao inamaana washakuwa wakubwa hivyo kila mtu atapambana na hali yake.
 
Hali zenu?

Wakuu, siku ya jumatano majira ya saa 1 jioni nikiwa nimefika nyumbani kutoka mihangaikoni, kulitokea kutokuelewana na wife,nikajikuta napandwa na hasira nikamshika nikachomoa mkanda wangu wa suruali nikamtandika nao hatari alivyopata upenyo akakimbilia nje.

Kumbe mashosti zake wakawa wamemshauri akimbilie kushtaki polisi, akaenda kituo cha police kushtaki,baada kama ya lisaa hivi nikasikia nagongewa na balozi wa nyumba kumi akiwa kaambatana na Askari polisi wawili, wakaniambia nahitajika kituo cha police kwani mke wangu kaenda kushtaki kuwa nimempiga.

Sikuwa mbishi nikawaomba nibadili nguo na niweke mazingira ya nyumba sawa kwani watoto na dada wa kazi hawapo.

Basi bana nikafika kituo cha police pale kaunta nikamkuta wife kakaa yuko na mashosti zake kama wawiili nikachukuliwa maelezo yangu kisha nikafunguliwa kesi ya shambulio la kudhuru mwili, nikaingizwa lock up, kwa sababu ilikua usiku afande mmoja hivi akaniambia kosa linadhaminika kama kuna jamaa zangu wako around niwacheck waje wanidhamini

Lakini pia akanishauri kwa jinsi anavyoona nina hasira bora nilale tu mle lock up kuepusha madhara kwani nikisema nitoke usiku ule ningeweza kumdhuru zaidi wife na pale lock up ni sehemu salama zaidi. Basi nikawa nimemuelewa yule afande nikatulia mpaka asubuhi,kulivyokucha nikaomba simu yangu pale kaunta nikawapigia jamaa zangu wakaja wakaniwekea dhamana.

Hapa nilipo toka nitoke lock up nimeona nikae kwanza kwa jamaa angu kujiepusha na huyo mwanamke,ameisha enda police mwenyewe kuwaambia hana nia ya kuendelea na hiyo kesi hivyo anaomba ifutwe, Askari kama kawaida wamemtoa pesa kidogo.

Sasa toka jana naona ananitumia watu kuja kumuombea msamaha kuwa alikosea kunilaza lock up.

Hapa niko stranded nimsamehe au nimfanyaje na baada ya kumsamehe maisha yetu hapo ndani yatakuwaje?

Kama kuna yeyote amewahi kupitia hii changamoto anisaidie mawazo.
Uyo mwanamke ni Delila kwa Samson, nakushauri mfukuze aende kwao au akaolewe na hao walimpa ushauri wa kwenda polisi au aolewe na hao polisi the rest utakuja kumbuuka na kudhalilika sana. Nyumba Moja haiwezi kuwa na wanaume wawili
 
Shemeji yako ni dhaifu sana,
Wagombane alafu baba mwenye nyumba ndio anakimbia mji, hii ni huzuni
Mpige mkeo na uendelee kukaa apo apo...dunia inamwangalia mwanamke kwa jicho la ukaribu sana mambo yamebadirika sana siku izi
 
Mpige mkeo na uendelee kukaa apo apo...dunia inamwangalia mwanamke kwa jicho la ukaribu sana mambo yamebadirika sana siku izi
Bado naenjoy kuwa principal bachelor, ila hata ninao date nao, kwenye nonsense ni zero tolerance kwa hawa viumbe.
Wakivuka redline, huwa nawakumbusha maadili
Nyie ndio mnatengeneza mazingira ya uoga na kupandwa kichwani
 
Bado naenjoy kuwa principal bachelor, ila hata ninao date nao, kwenye nonsense ni zero tolerance kwa hawa viumbe.
Wakivuka redline, huwa nawakumbusha maadili
Nyie ndio mnatengeneza mazingira ya uoga na kupandwa kichwani
Ungeoa kwanza then tuongee rugha moja mister
 
Back
Top Bottom