Wengine "wa tamuangusha" yeye "hakimbizi sana"Yap hiyo nimeiona sana, unakuta demu kaja kwenye kijiwe cha bodaboda kasimama takriban lisaa lizima anamsubiria bodaboda wake.
Mi nikamuuliza kwani huyo jamaa huwa anakubebaga bure? Kwanini usichukue hizi za hapa uwahi kuliko kuendelea kumsubiria huyo huoni kua unazidi kuchelewa
Akasema "Aah nimemzoea tu naogopa kubadilisha bodaboda mwingine naona anaweza niangusha maana huyu nimemzoea hakimbizi sana"
Nina boda boda wawili na ni waaminifu Tena siku nyingine huwapa Hadi tip na ninaweza mtu Hadi sokoni.
Kumbe'[emoji1]Wao umbea wao ni kupeleka Kwa wamama
Wakiwa na matumaini kuna siku watapewa
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Mimi huwa nashuka mita 100 kabla sijafika eneo la tukio. Hii mbinu inaitwa 'changanya maboya'. Mtu anaona umeshuka halafu unaanza kutembea.
Mbali sasa!Dah,mi nna no.za boda boda kama tano hivi.Bado sijafikia hatua ya kumpa ATM card.Kuhusu kwenda sokoni dada anafanya nini hadi niingie gharama za kumtuma bodaboda.
[emoji28][emoji28][emoji28]Mkuu vp Ile milioni 300 umeshaitoa au bado unasikilizia tu
Kishkaji tuMahusiano yako na RANGO yapo vitu?
Jina lake limekaa kimatukio tukio tu nime kachukia ghaflaKishkaji tu
Mama anatoa riziki kwa kijanaππKuna jamaa kamnunulia mkewe gari mbili
Still mmama gari hatumii
Kazi kumtuma boda Tu..
Na akilewa usiku bar boda ndo anamfata
Jamaa yupo nje ya nchi
Update:Hana
Acha umbea mkuu