Mkeo ana bodaboda wake?

Nimekumbuka mbali kweli siku moja nimefika Mkoa fulani mpya mida ya saa tano Usiku nkatafuta bar nipozee Walau Koo, Ile sehemu nilikuwa n Rafiki yangu wa kike ambae tangu mchana nilimpanga kuwa ntashuka hapo nimsalimie na tupate dinner pamoja bahati mbaya bus ilichelewa sana ivo nkafika night kali saa tano, Nikapiga vyombo mpaka saa sita ivi then nkamcheki bibie kuwa natafuta Lodge nilale tutaonana kesho, Binti aligoma akadai nikalale kwake nisihangaike na Lodge sasa Vyombo vilikuwa vimepanda kichwani nikajiripua kwenda kwa uyo mdada, Basi cha kwanza demu akasema Ngoja nikuitie boda boda wangu akufate duh nkashikwa na machale kuwa uyu msela isije akanipeleka then akauza gemu nkafatwa usiku usiku nkamuliza kwako ni mbali demu akasema Yes akaforce uyo boda akaja mpaka pale bar nilipo, Jamaa alinipakia uku akiniuliza maswali mengi sana, Jamaa ni Bishoo bishoo mi nilikuwa nimekula pensi na Tshirt na Sendo simply nipo Simple tu uyo boda boda alihoji maswali mengi kweli mara huyu demu wako nkamwambia hapana rafiki tu akauliza sasa unaenda kulala kwake? Nkamuambi hapana ntasepa amenifikisha kwa demu jamaa hakungoja ata demu afungue geti wasalimiane yani alisepa haraka, Kesho kapigiwa simù aje anichukue hakupokea kabisa, Alinuna
 
[emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji3][emoji3]huyo bodaboda mbea hvyooo!!
 
Aisee naomba na Mimi nikuwekee mzigo bank
 
Tatizo la boda boda wanauza Sana gazeti,kulikua na manzi wangu mmoja akitia timu maskani,nilimuelekeza kwa boda boda Fulani awe anamleta ,akwa anamleta Sana,he si ndiyo na yeye akaingiza vocal kwa manzi wangu[emoji15][emoji15]bahati nzuri yule manzi akaniambia,Yule boda kaingiza vocal kwake,nilimfuata maskani kwa nilimmaindi kinoma[emoji34][emoji34] na kumpaka Sana.
Shortly,wanauza Sana magazeti,ukikaa maskani zao,Siri zoote za madem unazijua kwa urahisiiii[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji3047]
 
Umeongea point
 
Hakimbizi sambusa yake sanaa
 
Honestly hata Mimi kuna dogo ametokea kuwa Boda sahihi sana kwangu, naeza mpatia pesa hata Mil 10 apeleke mahali na zinafika salama. Hata nikiwa na safari ya haraka inayohitaji Boda huwa nakuwa at peace kupanda Boda boda yake kuliko boda zingine.

Na huyu Dogo nimejuana naye kupitia kwa wife. [emoji28][emoji28]
 

Sentensi ya mwisho [emoji16][emoji1787][emoji1787]
 
Ni kweli hawa boda boda wanasaidia sana mfano hapa mimi wife ana boda wake ambaye hata kama sipo huwa anakuja nyumbani anamsaidia mpaka wife kufagia uwanja nk.
Pia huwa ndo anampeleka kwenye vikao vya vikoba, misiba, harusi nk.
Hata juzi mke wangu alienda kwenye sherehe usiku akarudi mida ya saa sita usiku aliletwa na boda wake.
Huwa sina mawazo hata nikiwa safari najua huyo boda anamsaidia wife mambo mengi
 
Consider this,"Freedom of choice and liberty"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…