Mkeo ana bodaboda wake?

Kwa mazingira yetu "bodaboda wako" ni muhimu tu kuwa nae. Kama wa kuliwa aliwe tu ila kuna mahitaji lazima umtume bodaboda.
 
Kuna jamaa kamnunulia mkewe gari mbili
Still mmama gari hatumii
Kazi kumtuma boda Tu..
Na akilewa usiku bar boda ndo anamfata
Jamaa yupo nje ya nchi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Utasikia nina bodaboda wangu nakuja nae...
 

Attachments

  • VID-20210403-WA0025.mp4
    1.5 MB
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] lol
 
Mkuu sababu haswa ya msingi ni hulka tu ya wamama, wadada kupenda kuwa na mtu wanayemuamini...

Kama kuna mengine zaidi ya hayo ni udhaifu tu wa kibinadamu..

Nje ya mada, hata sisi wanaume tuna barmaid wetu hao asipokuwepo bar vyombo havishuki

Au ukiwa maskani unajipata una kochi lako hilo au kiti chako hupati amani ukikaa pengine...
 
Ndugu Tafuta PESA wanawake hata malaika wamewashindwa
Nadhani Wanawake Hawajui Ni Nini Wanataka, Fikria Uwe Tajiri Watakusaliti Uwe Hauna Kipato Pia Utasalitiwa.. Kijana Wawatu Kutoka Ukingani Fredy Ngajiro Aka Fredy Vunjabei Kashalizwana Mobeto Hamisa, anabaki Tu [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Dah...mkuu...lakini kuna aina 6 za msingi za magari ya kutembelea....na bado kuna sehemu nyingine hakuna gari inayofika [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2960]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna jamaa kamnunulia mkewe gari mbili
Still mmama gari hatumii
Kazi kumtuma boda Tu..
Na akilewa usiku bar boda ndo anamfata
Jamaa yupo nje ya nchi
Lakini si haitakiwi kuendesha gari ukiwa umelewa???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…