Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Mmh poleni asee, mi boda sijui huwa nawachukulia ni watu gani sijui... anyway haya pole.Kama huna taarifa Ni kwamba bodaboda wanatuumizia sana wapenzi wetu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmh poleni asee, mi boda sijui huwa nawachukulia ni watu gani sijui... anyway haya pole.Kama huna taarifa Ni kwamba bodaboda wanatuumizia sana wapenzi wetu.
Hahahahaha
yaani ni vigumu kuamininka, wanawake asilimia zaidi ya 75 wanapojiunganisha na bodaboda huwa wanakuwa wameshapata hisia nao, bodaboda wenyewe huwa wanasema kwamba wanawake wengi yaani yeye bodaboda anambeba (kama kazi) lakini ananshangaa mwanamke ndio anaanza kujitongozesha, bodaboda akisema neno moja tu mwanamke ananona kama alikuwa amechelewa, anaennda kulalal nae, wanaume tujiulize, hawa wanawake wanavutiwaga na nini kwa mabodaboda ? au ni kiherehere tuKuna kipindi nilikuwa na boda mmoja hivi Sasa mi kikawaida huwa sipendi kumtreat mtu vibaya, lugha nzuri, samahani km nikimchukulia muda wake kunisubiri, salamu endapo tukikutana pahala nk, ikawa nikienda shopping nae nampatia chochote kwa ajili ya familia yake nk, mkewe akajifungua akanambia nikaenda msalimia na zawadi ya khanga na kitenge Sasa jamaa sijui akahisi anaweza kuboresha kutoka kuwa boda na mteja iwe mtu na hawara yake akawa anapiga simu ovyo ovyo kilichoniboa Ni simu zake za usiku ,aagrrrrrggh nilimpa onyo na karipio kali hakuwahi nitafuta tena, akafie mbele huko, mfyuuuuu
Ila sikuwahi kumuamini mtu baki yeyote kunishikia kadi ya ATM hata kwa robo saa tu ije kuwa kutoa hela!! Labda babe nae Ni kwa vile mzigo anauweka mwenyewe benki
Umenikumbusha Jane.Ukisikia mama au dada anakwambia ngoja nitamtuma 'bodaboda wangu' basi ujue huyo Bodaboda wake ni bodaboda wake kweli kweli.
Ninamjua mdada ambae anamtuma bodaboda wake kumtolea hela Kwa ATM. Kuna mmoja aliniletea bidhaa nikatakiwa nimrushie zaidi ya 300,000, nikamwambia makato upande wako. Akaniambia basi acha 'namtuma bodaboda wangu'.
Bodaboda anaweza kumsubiri mdada aoge amalize ndo ambebe. Cha kushangaza bodaboda hawa ni wakali mno kama wana deal na vidume. Hawataki kupotezewa muda na mahesabu ya gharama wanakuwa makini but kwa wadada watapigishwa round kibao malipo kiduchu lakini 'watiifu na waaminifu' kupita maelezo.
Achilia mbali wale boda wanaokunywa na wake zetu au kuwafata bar wakiwa hoi ili wawalete nyumbani wakati huo we umesafiri kikazi.
Hii connection ya wamama na wadada na bodaboda si ya mchezo.
Nawauliza Wana JF, mkeo ana bodaboda wake?
Yani wewe mwanamke wako kuliwa na boda wake Basi imeshakuwa wanawake wooote tunalika na boda sio??? Wengine tuna mipaka yetu na tunaiheshimuyaani ni vigumu kuamininka, wanawake asilimia zaidi ya 75 wanapojiunganisha na bodaboda huwa wanakuwa wameshapata hisia nao, bodaboda wenyewe huwa wanasema kwamba wanawake wengi yaani yeye bodaboda anambeba (kama kazi) lakini ananshangaa mwanamke ndio anaanza kujitongozesha, bodaboda akisema neno moja tu mwanamke ananona kama alikuwa amechelewa, anaennda kulalal nae, wanaume tujiulize, hawa wanawake wanavutiwaga na nini kwa mabodaboda ? au ni kiherehere tu
Mpaka uko wapi ?, nyie nani hawajui ?, yaani huwa tunaishi nanyi kwa sababu ni utaratibu tu na sheria, wanaume walio bachelor (single) huwa na good and long life, ukioa tu mwanamke ni sawa na kama umejiwekea kitanzi shingoni, unasubiri siku tu, mwanamke hana tofauti na jela ya hiari, Mama mmoja alisema Endapo Vyeti vya Ndoa vingekuwa vya ku renew kama lesen za magari haoni ni wananume wangapi wange renew, lakini pia mchungaji mmoja kule kenya aliuliza swali, Hivi Mungu akisema leo Ndoa zote nazivunja na mnaanza upya, wangapi watakuwa tayari kurudiana ?, wanawake ni chanzo cha matatizo hapa duniani, halafu kwanini umeniambia mimi mke wangu analiwa na bodaboda ?, unajisikiaje kunitusi ilihali mimi sijakusemea vibaya ?, Jiheshimu basi.Yani wewe mwanamke wako kuliwa na boda wake Basi imeshakuwa wanawake wooote tunalika na boda sio??? Wengine tuna mipaka yetu na tunaiheshimu
Ndo gazeti lote hili!!! Kama mkeo hakupi Raha ya kuwa kwenye ndoa Ni mke wako tu kaka, wengine waume zetu wakuambiwa kurenew Basi wanaturudisha mjengoni,,,😍Mpaka uko wapi ?, nyie nani hawajui ?, yaani huwa tunaishi nanyi kwa sababu ni utaratibu tu na sheria, wanaume walio bachelor (single) huwa na good and long life, ukioa tu mwanamke ni sawa na kama umejiwekea kitanzi shingoni, unasubiri siku tu, mwanamke hana tofauti na jela ya hiari, Mama mmoja alisema Endapo Vyeti vya Ndoa vingekuwa vya ku renew kama lesen za magari haoni ni wananume wangapi wange renew, lakini pia mchungaji mmoja kule kenya aliuliza swali, Hivi Mungu akisema leo Ndoa zote nazivunja na mnaanza upya, wangapi watakuwa tayari kurudiana ?, wanawake ni chanzo cha matatizo hapa duniani, halafu kwanini umeniambia mimi mke wangu analiwa na bodaboda ?, unajisikiaje kunitusi ilihali mimi sijakusemea vibaya ?, Jiheshimu basi.
Ataliwa na mafundi garage na vijana wa car washDawa n kununua gari kupunguza izo ishu
Doooh! Hatar sanaAtaliwa na mafundi garage na vijana wa car wash
umemaliza mkuu.....Kuna mda boss unatakiwa kurelax K ni yake, bikra hujamtoa. ukifa ukamwacha haitaziba itaendelea kutumika wakati mwingine usifikiri utakufa kabla ya umri alafu hao boda boda wake sasa watamtafuna mpaka wachinjane kwa wivu.
Kiukweli sometimes hawa wadada/wanawake tuwatetee na kuwasaidia ikibidi.
Mara nyingi ikitokea nimepanda boda huwa napenda kuwa tekenya na vimaswali vya mtego mtego kuhusu wanawake za watu/wanawake,
Kiukweli boda ndio wana tabia za kuwatega na kuwaweka kwenye mingo zao wake zetu unaweza kuta mwanamke hana hata hisia wala mawazo na huyo boda ila jamaa litafanya kila fujo na visa ili tu mwanamke aingie kwenye laini..
Mara chache mno kuna case mwanamke ndio kamshawishi boda boda atoke nae kimapenzi..
Massawe hapa..dada kumbe upo jf?Ninao km watatu hivi, Massawe, Ramso na Rango.
angefanikiwa angekuja na "nilivyomla mke wa mtu kimasiara kisa boda"Kuna kipindi nilikuwa na boda mmoja hivi Sasa mi kikawaida huwa sipendi kumtreat mtu vibaya, lugha nzuri, samahani km nikimchukulia muda wake kunisubiri, salamu endapo tukikutana pahala nk, ikawa nikienda shopping nae nampatia chochote kwa ajili ya familia yake nk, mkewe akajifungua akanambia nikaenda msalimia na zawadi ya khanga na kitenge Sasa jamaa sijui akahisi anaweza kuboresha kutoka kuwa boda na mteja iwe mtu na hawara yake akawa anapiga simu ovyo ovyo kilichoniboa Ni simu zake za usiku ,aagrrrrrggh nilimpa onyo na karipio kali hakuwahi nitafuta tena, akafie mbele huko, mfyuuuuu
Ila sikuwahi kumuamini mtu baki yeyote kunishikia kadi ya ATM hata kwa robo saa tu ije kuwa kutoa hela!! Labda babe nae Ni kwa vile mzigo anauweka mwenyewe benki
Mkuu usirudie hilo kosa, huyo bishoo ni kidumu alishakula huyo demu, Anajua demu ni mwingi, ukishaona demu anakutumia jinsia ya kiume ujue huyo ni agent wa kula au wa kupewa pesa, sasa hio ni hatari kwani anaweza kukuuza kwa sababu ya pesa au kwa sababu ya wivu, kwani wanaume wengi hawana uwezo wa kuzuia wivu. na ni hatari sana.Nimekumbuka mbali kweli siku moja nimefika Mkoa fulani mpya mida ya saa tano Usiku nkatafuta bar nipozee Walau Koo, Ile sehemu nilikuwa n Rafiki yangu wa kike ambae tangu mchana nilimpanga kuwa ntashuka hapo nimsalimie na tupate dinner pamoja bahati mbaya bus ilichelewa sana ivo nkafika night kali saa tano, Nikapiga vyombo mpaka saa sita ivi then nkamcheki bibie kuwa natafuta Lodge nilale tutaonana kesho, Binti aligoma akadai nikalale kwake nisihangaike na Lodge sasa Vyombo vilikuwa vimepanda kichwani nikajiripua kwenda kwa uyo mdada, Basi cha kwanza demu akasema Ngoja nikuitie boda boda wangu akufate duh nkashikwa na machale kuwa uyu msela isije akanipeleka then akauza gemu nkafatwa usiku usiku nkamuliza kwako ni mbali demu akasema Yes akaforce uyo boda akaja mpaka pale bar nilipo, Jamaa alinipakia uku akiniuliza maswali mengi sana, Jamaa ni Bishoo bishoo mi nilikuwa nimekula pensi na Tshirt na Sendo simply nipo Simple tu uyo boda boda alihoji maswali mengi kweli mara huyu demu wako nkamwambia hapana rafiki tu akauliza sasa unaenda kulala kwake? Nkamuambi hapana ntasepa amenifikisha kwa demu jamaa hakungoja ata demu afungue geti wasalimiane yani alisepa haraka, Kesho kapigiwa simù aje anichukue hakupokea kabisa, Alinuna
Sistaa siku nakupiga tukio hutaamini kama ni mimi yule boda wako mwaminifu.Boda boda wangu ninae nampa ATM kadi anatoa hela kwa uaminifu wote, namtuma sokoni namtuma popote, kwa kifupi bodaboda wangu ni zaidi ya ndugu yangu.
Hawatosheki hata sheteni alishindwa kuwatoshelezahapa dawa ni kumtosheleza mkeo! ukilleta mchezo atafanywa na boda kiulainiiiii