Mkeo anavyomegwa na Wafanyakazi wenzao ofisini

Huyo demu ni Evelyn namjua kwenye picha [emoji38][emoji38]
 
Hatari sana
 
Uislam una hekima sna mkuu
 
Kumbe maofisini mnagegedana sana
 
Kwa hiyo mzeeya ni kwamba wanawake wanatudanganyaga wapo sema he is just a frend
 
Unaoa ili ugundue nini? Kila siku ma bro wanalalamika mikasa ya ndoa halafu nikaoe kweli hapo si kujichimbia kaburi tu.
🤣 🤣 🤣 🤣dogo tafuta mwanamke uoe usihangaike sana na vitu vinavyotakata na maji na sabuni! ndoa ni zaidi ya taasisi tendo la ndoa ni kitu kidogo sana by the way huwa havijai na wala penseli yako haiishi na haichongwi vumilia tu.
 
Sio kutishana Ila nowadays it's hard to find under 37 year old married woman who hasn't been fckd outside marriage Aiseeeeeh
Tatzo n kwamba wale wachache wanaokuwa s waaminifu mmewabebea bango, na kuwafanya wale waaminifu wasionekane tena.

Ubaya ukipigiwa debe ndyo mnaukuza na kuufanya usambae kwa kias kikubwa , jarbuni kutambua uwepo wa waaminifu na s kumuona kila mtu n msaliti.
 
Kama naweza chakata mbususu hata kama sijaoa nioe ya nini? Kama naweza kupata watoto na sijaoa nioe iweje?
 
Sio kutishana Ila nowadays it's hard to find under 37 year old married woman who hasn't been fckd outside marriage Aiseeeeeh
Hizi hofu za mke kutoka nje huwa zinatokana na nn? Ukioa malaya si unamuacha? Ukiendekeza hizi hofu by 50 una kisukari.

Halafu, suala la kutooa kisa woga wa kushare, hata usipooa utakuwa na mpenzi atakayefanya ngono na wengine au utazaa na mwanamke atakayefanya ngono na wengine. Sasa tofauti yako na aliyeoa na mke wake kufanya ngono nje ni nn?

Sikilizeni, ndoa ni mkataba wa kisaikolojia tu, hakuna jambo tofauti zaidi ya saikolojia ya kujaribu kuikuza familia yako ndani ya wigo wa mwanamke mmoja lakini mwanamke ni yule yule, hata usipomuoa ukazaaa nae tu still hakuna tofauti na aliyeoa, Ndoa ikishindikana TOKA kwenye huo mkataba.

Kuhusu kupoteza mali na investment iwapo ndoa itavunjika, kabla ya kuingia mkataba wowote unaohusisha mali unatakiwa utumie akili sio mihemko.
 
ukioa kwa kiasi fulani umiliki unakuwa wako kipindi cha uzee kinahitaji faraga iliyoambatana na upendo kwa kuwa wakati huo kunauwezekeno raha si za msingi ila furaha ambayo inatengenezwa kwa muda mrefu.
Sawa bro ngoja nitafakari maneno hayo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…