Hao mnaowala nyinyi ni wanawake wa kiislam wapumbavu n wanawaiga malaya wa kigalatia. Binti wa kiislam anaejitambua hawezi kufanya hivyo. Na nliposema uislam una hekima ni kwa sababu uliwaambia hao mabinti wa kiislam watulie majumbani kwao kwasababu ya mambo kama hayaTunawala mno hao wanawake wa kiislamu, so hoja sio dini kwakua hakuna dini isiyokataza huo uchafu.
Good Boy!Sawa bro ngoja nitafakari maneno hayo.
Hapo lazima nipende kazi, saa kumi tayari tupo job mtu mbili tu...Somo la Work ethics ulifeli? Hahaaa
Utaotesha nyasi kibaruaHapo lazima nipende kazi, saa kumi tayari tupo job mtu mbili tu...
Kwa hiyo nitajifukuza mwenyewe... hahahaUtaotesha nyasi kibarua
Unaweza ukamfungia ndani na mbwa kumi nje ya nyumba na AKAMEGWA vilevile.....Mazee Tuelewe kwamba One thing everybody is capable of cheating
.
Kwa Maana KAmBa What u see happening in the office and at the workplace with ur female colleagues is what happens at ur wives' workplace Mzee Baba.
.
Hii picha inaleta ujumbe sahihi niliousema hapo Juu, Huku maofisini Watu wanajunjana Sana
View attachment 2212743
😍Usichukia mahusiano so serious kiasi kwamba ukataka kuiingiza akili yako ndani ya akili ya mtu mwingine.
Kinachotakiwa kueleweka ni kua huyo nae ana akili yake na matamanio yake pia.
Kwangu mimi sioni ajabu, coz kuliwa ni 70% hada kama ana kitu kinachovutia wanaume wengi.
Japo wapo pia wasioliwa.
Insecurity. Maisha si mahusiano ya ngono na ndoa tu. Bill Gates pamoja na pesa zake wameachana na mke wake.Mazee Tuelewe kwamba One thing everybody is capable of cheating
.
Kwa Maana KAmBa What u see happening in the office and at the workplace with ur female colleagues is what happens at ur wives' workplace Mzee Baba.
.
Hii picha inaleta ujumbe sahihi niliousema hapo Juu, Huku maofisini Watu wanajunjana Sana
View attachment 2212743
Mzee baba Usiseme Hivi.Hizi hofu za mke kutoka nje huwa zinatokana na nn? Ukioa malaya si unamuacha? Ukiendekeza hizi hofu by 50 una kisukari.
Halafu, suala la kutooa kisa woga wa kushare, hata usipooa utakuwa na mpenzi atakayefanya ngono na wengine au utazaa na mwanamke atakayefanya ngono na wengine. Sasa tofauti yako na aliyeoa na mke wake kufanya ngono nje ni nn?
Sikilizeni, ndoa ni mkataba wa kisaikolojia tu, hakuna jambo tofauti zaidi ya saikolojia ya kujaribu kuikuza familia yako ndani ya wigo wa mwanamke mmoja lakini mwanamke ni yule yule, hata usipomuoa ukazaaa nae tu still hakuna tofauti na aliyeoa, Ndoa ikishindikana TOKA kwenye huo mkataba.
Kuhusu kupoteza mali na investment iwapo ndoa itavunjika, kabla ya kuingia mkataba wowote unaohusisha mali unatakiwa utumie akili sio mihemko.
Huu ndio Ukweli Mzee Kisai.Hilo jambo halipo, mimi mwenyewe sina urafiki na mtoto wa kike, ukiona nina mazoea na mtoto wa kike ujue namtaka, namuweka kwenye "frequency" zangu sasa itajulikana ni "fm" au "am".
Sidhani kama umenielewa mzee baba.Mzee baba Usiseme Hivi.
.
Ujue The women also love the thrill of 'something new.
.
That's my discovery after eating a few of the owners.
.
Workplace romance is real, and in my thinking the majority of the liaisons include married.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Sasa nimeanza kuwaelewa Wataliban na sheria zao kali. Sasa hakuna tena ndoa ni ngono huria na kudanga tu mke wa mtu hajulikani wala ambaye hajaolewa hajulikani. Tumekuwa kama umbwa ngono holela.Mazee Tuelewe kwamba One thing everybody is capable of cheating
.
Kwa Maana KAmBa What u see happening in the office and at the workplace with ur female colleagues is what happens at ur wives' workplace Mzee Baba.
.
Hii picha inaleta ujumbe sahihi niliousema hapo Juu, Huku maofisini Watu wanajunjana Sana
View attachment 2212743
Unaoa ili ugundue nini? Kila siku ma bro wanalalamika mikasa ya ndoa halafu nikaoe kweli hapo si kujichimbia kaburi tu.
Mambo darlin [emoji8]Heeeee jaman kwan tuliongea nini mimi na wewe[emoji19]