King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Mimi bila kumung’unnya maneno nimempendea hela.
Safi sana kuweka wazi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi bila kumung’unnya maneno nimempendea hela.
Ni vizuri...mimi mtu tukiwa tu kwenye zile stage za kuaprochiana nikimuuliza amenipendea nini akaanza kujieleza sijui hiki mara hiki namuacha najua hanipendi ni tamaa tuyeye mwenyewe huwa ananiuliza ulinipendea nini.. namuambia hata sijui yani 😅😅
Mh tena 😃😃
Kweli kabisa, wengine huja kwa hisia wakihisi ni upendo.. watu wanashindwa tofautisha sana upendo wenye matokeo ya tamaa na matamio ya ngoni, upendo wa kirafiki na unconditional Love 😊😊😊 umakini muhimu.. maana hisia huja na kupoteaNi vizuri...mimi mtu tukiwa tu kwenye zile stage za approaching nikimuuliza amenipendea nini akaanza kujieleza sijui hiki mara hiki namuacha najua hanipendi ni tamaa tu
Yeah ni kweli,,, japo ni ngumu kumtambua mtu anayekupenda from withinKweli kabisa, wengine huja kwa hisia wakihisi ni upendo.. watu wanashindwa tofautisha sana upendo wenye matokeo ya tamaa na matamio ya ngoni, upendo wa kirafiki na unconditional Love 😊😊😊 umakini muhimu.. maana hisia huja na kupotea
Rahisi sana. siku ya kwanza kukutana nae.. kama ukipatwa tu na nyege au matamanio yoyote ya kingono.. ujue huyo sio ila tamaa tu zimewakutanisha za kupigana pipe..Yeah ni kweli,,, japo ni ngumu kumtambua mtu anayekupenda from within
Kumbe 😃😃😃Rahisi sana. siku ya kwanza kukutana nae.. kama ukipatwa tu na nyege au matamanio yoyote ya kingono.. ujue huyo sio ila tamaa tu zimewakutanisha za kupigana pipe..
Hahah mbona umejielezea sanaa alafu jibu alilokupa sasa daah😐Ndo naingia mm kwenye mapenz lakin mm nimempenda tu bila sababu
View attachment 2667496
Point🙏Rahisi sana. siku ya kwanza kukutana nae.. kama ukipatwa tu na nyege au matamanio yoyote ya kingono.. ujue huyo sio ila tamaa tu zimewakutanisha za kupigana pipe..
Genuine love, lina cancel kila aina ya Lust 😊😊😊... palipo na Lust ujue hapo ni miti na mtaachanaKumbe 😃😃😃
Alifurahi sanaa nilivyo mpigia akafungukaa maneno kama yote YaniHahah mbona umejielezea sanaa alafu jibu alilokupa sasa daah😐
🙏.. watu wenti huwa wanaichulia easy hiyo njia .. ila ina matunda chanya sana tu. Upendo wowote wa kweli una cancel lust, na unaleta joy, unajikuta mtu kukaa nae unasikia amani ya ndani na furaha.. bila aina yoyote ya kiu ya mwili..Point🙏
Akija kama uptown jenny nishtue napenda kutukuza uumbaji wa allah uliotukuka 😀Sina mke lakini yeyote mwenye tako kubwa na hips aje PM nitampenda sana
Ushaumizwa ww.Ndo naingia mm kwenye mapenz lakin mm nimempenda tu bila sababu
View attachment 2667496
Umesema jambo kubwa sana🙏.. watu wenti huwa wanaichulia easy hiyo njia .. ila ina matunda chanya sana tu. Upendo wowote wa kweli una cancel lust, na unaleta joy, unajikuta mtu kukaa nae unasikia amani ya ndani na furaha.. bila aina yoyote ya kiu ya mwili..
Duh! anastahili tuzo ya heshimaMwanamke akupende ukiwa kapuku huyo unahisi utampa nini zaidi ya kumrudshia upendo aliokupa mara mbili?
ana stahili upendo wangu maana kwa ufukara huu,ukapuku huu,ugoi goi huu na bado alinipenda,asee alijitoa muhanga.
Sasa mwanaume utampendea nini zaidi ya hela jamani😊Mimi bila kumung’unnya maneno nimempendea hela.