macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 25,191
- 48,765
Wabongo wengi hatujui privacy. Au niseme ni malimbukeni wa social media. Hatuchagui tu-post nini tukidhani ndiyo ujanja wa kisasa na tuko tayari kupiga picha chochote.Sijui anataka aonewe huruma π€£π€£ au kuna posho atapewa ofisini??
So sad, hivi itaota lips nyingine kweli? just thinking out loud π€His lips were so sweet to munch,perhaps. π
Watu tunafanya mzaha tu lakini maumivu aliyopata mtu asikuambie.Ivi icho kipande cha apo kwenye lips kitafaa kurudishiwa tena ? Au ndio mwamba anaenda kuwa na mdomo sungura.
π€£π€£ Issue kama hii angekausha tuWabongo wengi hatujui privacy. Au niseme ni malimbukeni wa social media. Hatuchagui tu-post nini tukidhani ndiyo ujanja wa kisasa na tuko tayari kupiga picha chochote.
Lips sio jino wewe inaota.. Acha ushambaSo sad, hivi itaota lips nyingine kweli? just thinking out loud π€
Dah mwamba anapitia wakati mgumu kweli.Watu tunafanya mzaha tu lakini maumivu aliyopata mtu asikuambie.
Siyo kucha hiyo.Labda,wamtoe nyama kwenye paja kufidia kwa ushonaji.π€£π€£So sad, hivi itaota lips nyingine kweli? just thinking out loud π€
Kwa hiyo nyama itaota?I've been a fool ever since!π€Lips sio jino wewe inaota.. Acha ushamba
Sasa kwenye Ishu kama ya Mziki na Mpira huwa hukuna βCONSEQUENCEβ Kubwa...Matokeo yake huwa ni Madogo au hayapo Kabisa.
Yaani...
Wewe hata kama Ukisema Zidane ni BORA kuliko Kelvin De Bruyne huwezi Kupata Madhara yoyote yale kwenye Maisha yako.
LAKINI... πππππ
Umeshawahi kuona imeota mkuuππ sidhani kama itaotaLips sio jino wewe inaota.. Acha ushamba
Mad Max umeskia sasaSiyo kucha hiyo.Labda,wamtoe nyama kwenye paja kufidia kwa ushonaji.π€£π€£
Tulia wewe.. Kinaota kidudu sembuse lips.. Yanga bingwa cheki Azam SportsUmeshawahi kuona imeota mkuuππ sidhani kama itaota
Acha ukichaa π€So sad, hivi itaota lips nyingine kweli? just thinking out loud π€
π€£π€£ sorry kipande cha hapo huyo mkewe kapeleka wapi au kameza?Huyu bwana ni Mtumishi wa umma huko mwanza, ameng'atwa mdomo na Mkewe!
View attachment 2993935
afu mtu hua mnawasiliana kila siku alooohHUU ujinga siupendi kishenzi Oo nimepeleka Simu kwa fundi imekuja Namba ngeni natumia Simu ndogo
Hiyo ni mwanzo tu..Oyaaa weeee,,sasa mifano migumu io unanipa mimi kweli π€£πππΎ,, nan alokwambia mimi n shabiki wa ivo vitu,yaniii umepgia mbuzi gitaa