Hahaha kazi kweli kweli,juzi nimepima damu hahaha nimepewa majibu kesho yake ile napewa majibu kitu cha kwanza ilikuwa ni kuangalia kwenye HIV antibodies du naona Sijui Elisa test na kipimo kingine nimekisahau jina jibu NEGATIVE.baada ya kutoka hapo ndo sasa nikaanza kuangalia haemoglobin,sijui sedimentation rate na mengineyo.
Inahitaji MOYO,Mmme wangu na yeye huwa anapima bila matatizo,ila wanaume wengine wako kama wewe.Tatizo huwa ni pale mna mgonjwa anahitaji damu hahaha nakumbuka kaka zangu huwa wanakimbia.