BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,165
Hii mada dada mh ngoja waje wenyewe.
Mimi ningependa kujua mbinu za kuwashawishi kwenda kucheck afya zao.
MJ1, Hili Wanaume wengi linatusumbua sana si uongo. Mambo ya kwenda kuchokonolewa chokonolewa lete hiki lete kile ahhhhhh! yanatukera sana wengi wetu...mpaka pale tunapokuwa hoi bin taabani ndiyo tunaona umuhimu wa kufanya hivyo. Na hii tabia ni kwa Wanaume wote hata wa majuu.