NGULI
JF-Expert Member
- Mar 31, 2008
- 4,801
- 643
Suala la HIV na UKIMWI na kupima na kupokea majibu ni gumu sana kwa kweli,na ugumu unakuja pale mtu unapoambiawa kuwa wewe ni seropositive inamaanisha kuwa ni kifo tu,ingawa kila nafsi itaonja mauti lakini HIV ni suala zito sana.
Mbinu ya kutumika hapo ni kuwaandaa watu kisaikolojia pia kwa jinsi UKIMWI ULIPOKIJA NA jinsi ulivyosemewa kwenye media ni kama ugonjwa wa aibu,sasa basi ili kufuta hilo vichwani mwa watu ili waone UKIMWI ni kama labda magonjwa mengine yasiyokuwa na tiba mfano cancer na kadharika.
Hapo mimi ndio nachoka kbsa mbona mtu akiambiwa na presha-low/hyper blood p. au Kisukari haogopi kivile?