Mkeo ni mzazi wako

Mkeo ni mzazi wako

Wanaume wote walio-oa, wanatakiwa watambue ya kuwa wake zao ni wazazi wao. Na hii ni kutokana na kunyonya maziwa ya mama (mke). Ndio maana sehemu zingine, mwanaume anaitwa ni mtoto mkubwa/wa kwanza kwa mkewe. Na hii imethibitika katika jamii zetu, mke kuitwa mama fulani (jina la mume). Mfano, kama mwanaume anaitwa Hussein, mkewe kabla ya kupata mtoto ataitwa mama Hussein.

Kwa hiyo wewe mwanaume, mkeo ni mama yako. Kama hutaki, acha kunyonya maziwa.
Aisee!
 
Wanaume wote walio-oa, wanatakiwa watambue ya kuwa wake zao ni wazazi wao. Na hii ni kutokana na kunyonya maziwa ya mama (mke). Ndio maana sehemu zingine, mwanaume anaitwa ni mtoto mkubwa/wa kwanza kwa mkewe. Na hii imethibitika katika jamii zetu, mke kuitwa mama fulani (jina la mume). Mfano, kama mwanaume anaitwa Hussein, mkewe kabla ya kupata mtoto ataitwa mama Hussein.

Kwa hiyo wewe mwanaume, mkeo ni mama yako. Kama hutaki, acha kunyonya maziwa.
Mtoa maada naona utakua umelewa sio bure
 
Wanaume wote walio-oa, wanatakiwa watambue ya kuwa wake zao ni wazazi wao. Na hii ni kutokana na kunyonya maziwa ya mama (mke). Ndio maana sehemu zingine, mwanaume anaitwa ni mtoto mkubwa/wa kwanza kwa mkewe. Na hii imethibitika katika jamii zetu, mke kuitwa mama fulani (jina la mume). Mfano, kama mwanaume anaitwa Hussein, mkewe kabla ya kupata mtoto ataitwa mama Hussein.

Kwa hiyo wewe mwanaume, mkeo ni mama yako. Kama hutaki, acha kunyonya maziwa.
Moja Kati ya Andiko la Kipuuzi sana, We Unaweza kulala na Mama yako, Usifananishe mama na Mke, Kila Mtu na Nafasi yake na Haziimgiliani wala kufanana

na Mkeo kuitwa kwa Jina lako Kwani Hana Baba yake mila za Kizungu mwenyewe unaona Ndo Akili kumbe Mavi ya Popo tu

Sent from my SM-C9000 using JamiiForums mobile app
 
Moja Kati ya Andiko la Kipuuzi sana, We Unaweza kulala na Mama yako, Usifananishe mama na Mke, Kila Mtu na Nafasi yake na Haziimgiliani wala kufanana

na Mkeo kuitwa kwa Jina lako Kwani Hana Baba yake mila za Kizungu mwenyewe unaona Ndo Akili kumbe Mavi ya Popo tu

Sent from my SM-C9000 using JamiiForums mobile app
Mkeo amekutenda nini mkuu?
 
Wanaume wote walio-oa, wanatakiwa watambue ya kuwa wake zao ni wazazi wao. Na hii ni kutokana na kunyonya maziwa ya mama (mke). Ndio maana sehemu zingine, mwanaume anaitwa ni mtoto mkubwa/wa kwanza kwa mkewe. Na hii imethibitika katika jamii zetu, mke kuitwa mama fulani (jina la mume). Mfano, kama mwanaume anaitwa Hussein, mkewe kabla ya kupata mtoto ataitwa mama Hussein.

Kwa hiyo wewe mwanaume, mkeo ni mama yako. Kama hutaki, acha kunyonya maziwa.
Kwa mkeo unanyonya au unapapasa? Mkeo anatoa maziwa kama ukivyonyonya kwa mamako.
Umeniudhi sana. Tofautisha kunyonya na kuchezea matiti.
 
Wanaume wote walio-oa, wanatakiwa watambue ya kuwa wake zao ni wazazi wao. Na hii ni kutokana na kunyonya maziwa ya mama (mke). Ndio maana sehemu zingine, mwanaume anaitwa ni mtoto mkubwa/wa kwanza kwa mkewe. Na hii imethibitika katika jamii zetu, mke kuitwa mama fulani (jina la mume). Mfano, kama mwanaume anaitwa Hussein, mkewe kabla ya kupata mtoto ataitwa mama Hussein.

Kwa hiyo wewe mwanaume, mkeo ni mama yako. Kama hutaki, acha kunyonya maziwa.

Siamini mmefika huku!

Mama hapandi wala hashuki cheo. Mama ni Mama. Hana mbadala.

Mke hupanda cheo kuwa Bi Mkubwa na hushushwa cheo kuwa Mtalaka.

Wawili hawa Mzani wao ni kaskazini na kusini, Magharibi na Mashariki.

Hala hala ukitumia mzani mmoja kuwapima ndio tutasikia Mapenzi yanaua. Ujue!
 
Back
Top Bottom