Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
- Thread starter
- #21
😍😍Hizo ulizokunywa zinatosha sasa mkuu, rudi home ukapumzike mkeo anakusubiri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😍😍Hizo ulizokunywa zinatosha sasa mkuu, rudi home ukapumzike mkeo anakusubiri
Aisee!Wanaume wote walio-oa, wanatakiwa watambue ya kuwa wake zao ni wazazi wao. Na hii ni kutokana na kunyonya maziwa ya mama (mke). Ndio maana sehemu zingine, mwanaume anaitwa ni mtoto mkubwa/wa kwanza kwa mkewe. Na hii imethibitika katika jamii zetu, mke kuitwa mama fulani (jina la mume). Mfano, kama mwanaume anaitwa Hussein, mkewe kabla ya kupata mtoto ataitwa mama Hussein.
Kwa hiyo wewe mwanaume, mkeo ni mama yako. Kama hutaki, acha kunyonya maziwa.
Kitu ni kile kile mkuuKuna tofauti kati ya kunyonya maziwana kunyonya chuchu
Kwa nini mnafanya hivyo?Hata tuwanyonyeshe kutwa nzima hatuwezi kuwa mama zenu kamwe...! Mama ni mama na mke ni mke...!
Mtoa maada naona utakua umelewa sio bureWanaume wote walio-oa, wanatakiwa watambue ya kuwa wake zao ni wazazi wao. Na hii ni kutokana na kunyonya maziwa ya mama (mke). Ndio maana sehemu zingine, mwanaume anaitwa ni mtoto mkubwa/wa kwanza kwa mkewe. Na hii imethibitika katika jamii zetu, mke kuitwa mama fulani (jina la mume). Mfano, kama mwanaume anaitwa Hussein, mkewe kabla ya kupata mtoto ataitwa mama Hussein.
Kwa hiyo wewe mwanaume, mkeo ni mama yako. Kama hutaki, acha kunyonya maziwa.
Kwa nini unanyonya maziwa yake, na kwa nini usinyonye kwa tumbili n.k?
Hakuna sababu maalum ya kufanya hivyo ama ni ka tabia tu kamejijenga kuwa tunapokuwa pale basi lazima hapo pahusike....!Kwa nini mnafanya hivyo?
Ni logic tu mkuu, mtoto ndio anatakiwa anyonye maziwa ya mama yake ili akuwe vizuri; je wewe, ili iweje?Mtoa maada naona utakua umelewa sio bure
Mambo haya yanafanyika gizani mkuuKama kweli unanyonya maziwa ya mwanamke katika umri wako, basi unakosea sana!! Achaaaaa!!
Unashauri nini kifanyike?Hakuna sababu maalum ya kufanya hivyo ama ni ka tabia tu kamejijenga kuwa tunapokuwa pale basi lazima hapo pahusike....!
Moja Kati ya Andiko la Kipuuzi sana, We Unaweza kulala na Mama yako, Usifananishe mama na Mke, Kila Mtu na Nafasi yake na Haziimgiliani wala kufananaWanaume wote walio-oa, wanatakiwa watambue ya kuwa wake zao ni wazazi wao. Na hii ni kutokana na kunyonya maziwa ya mama (mke). Ndio maana sehemu zingine, mwanaume anaitwa ni mtoto mkubwa/wa kwanza kwa mkewe. Na hii imethibitika katika jamii zetu, mke kuitwa mama fulani (jina la mume). Mfano, kama mwanaume anaitwa Hussein, mkewe kabla ya kupata mtoto ataitwa mama Hussein.
Kwa hiyo wewe mwanaume, mkeo ni mama yako. Kama hutaki, acha kunyonya maziwa.
Mkeo amekutenda nini mkuu?Moja Kati ya Andiko la Kipuuzi sana, We Unaweza kulala na Mama yako, Usifananishe mama na Mke, Kila Mtu na Nafasi yake na Haziimgiliani wala kufanana
na Mkeo kuitwa kwa Jina lako Kwani Hana Baba yake mila za Kizungu mwenyewe unaona Ndo Akili kumbe Mavi ya Popo tu
Sent from my SM-C9000 using JamiiForums mobile app
Hajanitenda chochote ila Mpe nafasi anayostahili na Mama yako Mpe nafasi yake na Ukidhani labda Mama Anastahili kupigwa basi Mpime na Baba yako Maana hao kwa Ujumla ni Wazazi na wana Daraja sawia kabisa ila Mkeo Muache Abaki kuwa mkeMkeo amekutenda nini mkuu?
Pombe za kukeshea kirisimaziMkuu leo umechemka
Kwa mkeo unanyonya au unapapasa? Mkeo anatoa maziwa kama ukivyonyonya kwa mamako.Wanaume wote walio-oa, wanatakiwa watambue ya kuwa wake zao ni wazazi wao. Na hii ni kutokana na kunyonya maziwa ya mama (mke). Ndio maana sehemu zingine, mwanaume anaitwa ni mtoto mkubwa/wa kwanza kwa mkewe. Na hii imethibitika katika jamii zetu, mke kuitwa mama fulani (jina la mume). Mfano, kama mwanaume anaitwa Hussein, mkewe kabla ya kupata mtoto ataitwa mama Hussein.
Kwa hiyo wewe mwanaume, mkeo ni mama yako. Kama hutaki, acha kunyonya maziwa.
Wanaume wote walio-oa, wanatakiwa watambue ya kuwa wake zao ni wazazi wao. Na hii ni kutokana na kunyonya maziwa ya mama (mke). Ndio maana sehemu zingine, mwanaume anaitwa ni mtoto mkubwa/wa kwanza kwa mkewe. Na hii imethibitika katika jamii zetu, mke kuitwa mama fulani (jina la mume). Mfano, kama mwanaume anaitwa Hussein, mkewe kabla ya kupata mtoto ataitwa mama Hussein.
Kwa hiyo wewe mwanaume, mkeo ni mama yako. Kama hutaki, acha kunyonya maziwa.