Mkeo ni wa kundi gani kati ya haya?

Mkeo ni wa kundi gani kati ya haya?

Achana na kuingia kwenye mahusiano mkuu,hata kwenye maisha ya kawaida kukeranana kupo hakuepukiki.
Mtu akitulia na kusoma mwandiko wako wako atagundua kuwa unategemea kuja kuoa malaika asiye na mapungufu🤣🤣.

Jiulize hapo ulipo hujawahi kumkera mwenzio!jibu ni kwamba ushawahi kumkera sana tu na hiyo haiepukiki.ila kunatofauti kati ya hali ya kibinadamu na kufanya vitu kwa kukomoana ikiongozwa na makusudi.

Kukerana hakujawahi kuondoka kwenye maisha yetu na haitikuja kuondoka labda kama tutaanza kuishi na malaika wa mbinguni ndani.

😅😅😅natamani kuja kukuona ukishaoa ujue😅😅😅maana watu kama wewe extrovert hudondokeaga pua ni kinyama😆😆😆
Hahahah kwahio una pray for my downfall sio?....lol!!!

Unajua kupishana kupo and it happens sababu sie ni binadamu. Kuna kutofautiana kimtazamo. But how do we handle it? How responsible do you feel ukimkwaza mwenzi wako au ndio atajijua mwenyewe? Kusije kukawa na excuse ya kijinga ambayo unaitumia kufanya mambo ya makusudi au kukwepa majukumu yako. Thats not acceptable..Tatizo pia wanawake wa sikuhizi hamfundishwi how to behave toka mkiwa wadogo.

BTW Im not speaking of an angel kind of patner but a woman that can get down on herself and realize that relationship is all about being happy and choose to stay on that lane like for real. A woman who craves to fulfill her mans desires and feels happy about it. A woman who makes it easy for her man to feel like a man whenever she is around. A woman who knows how to treat a man regardless of any other petty stuffs that she might be having.

Nikikuuliza why majority of Tanzanian women behave so well kabla hamjaolewa then suddenly change after getting married and becoming family women sijui utakuwa na la kuniambia?
 
Usifananishe mama zetu mkuu na hizi Ngamia za siku hiziii...!!! Yani kwa kweli ni shidaaa... Wanawake wa siku hizi ukijichanganya ukamsaidia kazi tuu nasema hata kumlisha mtoto jua huo ndo umekuwa wajibu wakoo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] sijui ni mapepooo
But hivi ni vitu ambavyo vinatakiwa kuwa addressed! Hatuwezi kuendelea kuwa na kizazi cha kijinga namna hii. Personally siwezi kumlea binti yangu kishenzi kiasi kwamba ashindwe kuwa responsible na kujua jinsi gani anatakiwa a behave mbele ya mwanaume. Watoto wa kike wana bully kaka zao majumbani and it goes all the way like that mpaka wakikua wanakuja kuleta mambo ya kijinga hata wakitoka nje ya wigo wa wazazi.
 
Hahahah kwahio una pray for my downfall sio?....lol!!!

Unajua kupishana kupo and it happens sababu sie ni binadamu. Kuna kutofautiana kimtazamo. But how do we handle it? How responsible do you feel ukimkwaza mwenzi wako au ndio atajijua mwenyewe? Kusije kukawa na excuse ya kijinga ambayo unaitumia kufanya mambo ya makusudi au kukwepa majukumu yako. Thats not acceptable..Tatizo pia wanawake wa sikuhizi hamfundishwi how to behave toka mkiwa wadogo.

BTW Im not speaking of an angel kind of patner but a woman that can get down on herself and realize that relationship is all about being happy and choose to stay on that lane like for real. A woman who craves to fulfill her mans desires and feels happy about it. A woman who makes it easy for her man to feel like a man whenever she is around. A woman who knows how to treat a man regardless of any other petty stuffs that she might be having.

Nikikuuliza why majority of Tanzanian women behave so well kabla hamjaolewa then suddenly change after getting married and becoming family women sijui utakuwa na la kuniambia?
😳😳

Oky

🥂

☹️Sina.

🥂🥂
 
Aiseeee ninaye kundi namba moja. She is so humble. In fact ana sifa zoote za wife material ninazozitaka.

Mwakani akimaliza tu chuo navuta ndani...
Wanabadilika mdogo wangu

Angalizo: Ni vyema hapa wachangie wanaoishi na wake zao
 
Jamaa yangu aliachana na mwanamke aliyezaa nae akapata mwanamke anayeangukia kundi namba moja hapo juu
Ghafla namba imegeuka anawaza kurudi kwa siri kwa mke wa kwanza awe anajipooza japo hapangi kurudiana nae

Anaamini mwanamke mmoja na akijua yuki mmoja ni stress
 
Kweli mkuu umeongea kweli tupu

Ukipata mtu tofauti ni balaa, nilishawahi ambiwa naigiza.

Aisee saizi naona Kuna karoho ka ukatili kanataka kunianza, maana kila unalofanya mtu anaona baya.

Inafika stage unauliza kwa wanawake wenzio may be unakosea sehemu, Ila unakuta wanakushangaa vile unajitoa , wakati mtu unaona kabisa ni vitu vya kawaida na ni wajibu wako km mke
Huyo patner wako simjui ila theres a possibility amekulia kwenye mazingira ambayo wazazi hawakuwa na maelewano mazuri aidha mzee alikuwa bully au irresponsible father hivyo akawa mishandled.

Mfano hai ni bwana Platinum..Hawezi kuwa na adabu na mwanamke hata siku moja and that stems from the family grounds. Situation ingekuwa very different kama angekulia mazingira ambayo wazazi wana mahaba sana.

Hio kukuambia kauli mbaya shows that bad boy is a narccisist! Unapo mu undermine mtu maanake unamdhulumu haki yake ya uhuru na kumtia katika lindi la mawazo kwamba he/she is worthless. What happens mtu atavumilia ila it will reach a moment atakuwa defensive na hapo ndio ile dhana ya kiburi huanziaga.

Hakuna kitu kibaya kama kum downgrade patner wako. Verbal abuse is the worst thing you can ever do to your patner. Japo wanaume wengi huwa ndio wahanga wa hili ila tunakufaga na tie shingoni.
 
Jamaa yangu aliachana na mwanamke aliyezaa nae akapata mwanamke anayeangukia kundi namba moja hapo juu
Ghafla namba imegeuka anawaza kurudi kwa siri kwa mke wa kwanza awe anajipooza japo hapangi kurudiana nae

Anaamini mwanamke mmoja na akijua yuki mmoja ni stress
Hahahah alihisi kaopoa malaika? Hao wadude huswitch codes tu kulingana na muelekeo wa satellite 😁😁😁!!!

All in all nashauri aanze kum treat like a woman supposed tu. Put her in her place kilazima by the end watakaa sawa tu. Shida ni ile mijanamke ambayo haiambiliki.
 
Tatizo yeye na mke wa kwanza walioana wakiwa vijana sana, hata sababu za kuachana sio za maana na wote wanakiri ni utoto tu hapo ndio wanapoanza kutamaniana

Sasa jamaa kwa moto wa ndani ya nyumba anahisi anaweza kuwa anajipoza nje kwa yule wa kwanza

Kuna wakati wa kwanza aliomba msamaha kabla hajamuoa wa pili akamgomea maana aliona huyu wa pili amekaa kwenye namba moja zaidi, dah alivyobadilika anajuta sana[emoji3]
Hahahah alihisi kaopoa malaika? Hao wadude huswitch codes tu kulingana na muelekeo wa satellite [emoji16][emoji16][emoji16]!!!

All in all nashauri aanze kum treat like a woman supposed tu. Put her in her place kilazima by the end watakaa sawa tu. Shida ni ile mijanamke ambayo haiambiliki.
 
[emoji23][emoji23][emoji23]dah uzi mtamu huu
Wangu yupo kundi la pili,noma sana,
Ukweli mtupu,thank God naishi mbali na familia,ningekuwa nimeishakuwa mkaazi wa segerea kwa mauaji
 
Tatizo yeye na mke wa kwanza walioana wakiwa vijana sana, hata sababu za kuachana sio za maana na wote wanakiri ni utoto tu hapo ndio wanapoanza kutamaniana

Sasa jamaa kwa moto wa ndani ya nyumba anahisi anaweza kuwa anajipoza nje kwa yule wa kwanza

Kuna wakati wa kwanza aliomba msamaha kabla hajamuoa wa pili akamgomea maana aliona huyu wa pili amekaa kwenye namba moja zaidi, dah alivyobadilika anajuta sana[emoji3]
Sema kuna namna jamaa atakuwa anakosea kuwa handle hao wanawake. Kaa nae vizuri msome utaona tu kuna mahala as a man anakosea. If you treat a woman right hawezi kukuletea ngebe unless awe na tatizo zaidi ya fedha.🤣🤣🤣

Unaona hawa wote wanaonipondea hapo chini kuwa mie mkatili and mkoloni ila trust me i might likely be the most satisfying patner that they could ever have!!! 😂😂😂

Put a woman in her place atakuheshimu always. Mwanaume lazma uwe kama linesman, just raise the flag whenever neccessary!
 
Ntamshauri nini wakati hata mimi moto unaniwakia[emoji23][emoji23][emoji23]tukionana kufarijiana ndio ananipa stori hizo

Kuna mdau hapo juu amesema bahati nzuri anaishi mbali na familia angeshakua segerea nimecheka sana, wakati jamaa yangu anawaza kujipozea kwa X wake mimi nawaza kuihama familia, ntakua nakuja kuwaona tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sema kuna namna jamaa atakuwa anakosea kuwa handle hao wanawake. Kaa nae vizuri msome utaona tu kuna mahala as a man anakosea. If you treat a woman right hawezi kukuletea ngebe unless awe na tatizo zaidi ya fedha.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hahahah mkubwa umetisha sana, kwahio wote mpo kikaangoni sahivi ila mnarukaruka tu 🤣🤣🤣🤣🤣!!!

Bora jamaa arudi kwa EX-Wife tu akajipe likizo ya stress! Sema huyo EX hakuolewa tena au ndio kuvunja miko ya RAP? 😂😂😂
Ntamshauri nini wakati hata mimi moto unaniwakia[emoji23][emoji23][emoji23]tukionana kufarijiana ndio ananipa stori hizo

Kuna mdau hapo juu amesema bahati nzuri anaishi mbali na familia angeshakua segerea nimecheka sana, wakati jamaa yangu anawaza kujipozea kwa X wake mimi nawaza kuihama familia, ntakua nakuja kuwaona tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nadhani yule demu karma inamtafuna bado hajaolewa, sababu yeye ndio alimuacha jamaa kienyeji sana..

Ilivyo ni kwamba alikutana na jamaa akiwa anasoma chuo fulani, wakati jamaa anafanya kazi tayari, alipopata ajira mkoa mwingine ndio akakurupukia ujana na kujiona kama amejiwahisha tu kwenye ndoa, akaanza kujirusha nk jamaa akaamua kushika 50 zake

Demu akasikia jamaa kapata mwanamke akajirudi kuomba radhi jamaa akaona akimsamsamehe huenda atamtenda mazito zaidi akagoma akaoa mwingine

Kwahiyo demu yupo tu, na huku ndani jamaa kumewaka wote hawaelewi sasa hivi waibane au warudiane[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]haya maisha haya
Hahahah mkubwa umetisha sana, kwahio wote mpo kikaangoni sahivi ila mnarukaruka tu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]!!!

Bora jamaa arudi kwa EX-Wife tu akajipe likizo ya stress! Sema huyo EX hakuolewa tena au ndio kuvunja miko ya RAP? [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nadhani yule demu karma inamtafuna bado hajaolewa, sababu yeye ndio alimuacha jamaa kienyeji sana..

Ilivyo ni kwamba alikutana na jamaa akiwa anasoma chuo fulani, wakati jamaa anafanya kazi tayari, alipopata ajira mkoa mwingine ndio akakurupukia ujana na kujiona kama amejiwahisha tu kwenye ndoa, akaanza kujirusha nk jamaa akaamua kushika 50 zake

Demu akasikia jamaa kapata mwanamke akajirudi kuomba radhi jamaa akaona akimsamsamehe huenda atamtenda mazito zaidi akagoma akaoa mwingine

Kwahiyo demu yupo tu, na huku ndani jamaa kumewaka wote hawaelewi sasa hivi waibane au warudiane[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]haya maisha haya
Huyo Ex wife wake alikuwa mpumbavu kumbe 🤣🤣🤣!!!

Nashauri wamegane kisela tu maana hamna namna ingine. Mwanamke atajifanya namba 1 akiwa anataka kurudishwa kwenye channel tu ila mbali na hapo ushubwada ule ule utatokea. Unless kama aliyafanya akiwa na influence ya utoto.
 
Duh
Kaka acha tu, iliwahi nikuta hio niliachia jimbo kabla ya miaka 5 ya uongozi kuisha.

Kila ukipekua unakuta kuna Venance, Magnus, David....wako kwenye queue washatupia mistari wanataftiwa engo wapige mzigo. Hamna hamna siku nikashuhudia baharia anaingizwa ghetto night kali anajiandaa kupiga papuchi usiku kucha. Demu alinipanga ni dada yake amekuja so nikawaachia geto walale na ndugu yake kumbe mchimba chumvi.

Aisee nashukuru Mobile Tracker ilinifungulia sana ukweli wa mwenza niliekuwa nae alivyokuwa mnafiki na kumbe malaya bubu! Niliaga mashindano kimya kimya licha ya kuumia sana. Siamini mwanamke tena maisha haya.
 
Back
Top Bottom