Mkeo ni wa kundi gani kati ya haya?

Baharia kama baharia akijisifia [emoji1787][emoji1787]
 
Shukuru mungu kama upo single na usifanye makosa
Nishukuru Mungu niko single πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…vipi jombaa..badala ya kuniambia ni muombe Mungu anitoe huku kwa kupata zao lililojema,,wewe unaniambia muombe Mungu🀣🀣🀣acha mambo ya ajabu basiπŸ€ͺπŸ€ͺπŸ€ͺπŸ€ͺ
 
We si pisi ya chuga...Naskia mnapendaga kama Vita eti🀣🀣🀣! Hahah huwezi kuwa single mama la mama,,,hio mambo aiko anii!
Nishukuru Mungu niko single πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…vipi jombaa..badala ya kuniambia ni muombe Mungu anitoe huku kwa kupata zao lililojema,,wewe unaniambia muombe Mungu🀣🀣🀣acha mambo ya ajabu basiπŸ€ͺπŸ€ͺπŸ€ͺπŸ€ͺ
 
We si pisi ya chuga...Naskia mnapendaga kama Vita eti🀣🀣🀣! Hahah huwezi kuwa single mama la mama,,,hio mambo aiko anii!
Kimuandiko yes ni wa chugan kiuhalisia hapana na hata hiyo chuga yenyewe siijui vyema..

πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…haya sawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…