Mkeo ni wa kundi gani kati ya haya?

Mkeo ni wa kundi gani kati ya haya?

Sema kuna namna jamaa atakuwa anakosea kuwa handle hao wanawake. Kaa nae vizuri msome utaona tu kuna mahala as a man anakosea. If you treat a woman right hawezi kukuletea ngebe unless awe na tatizo zaidi ya fedha.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Unaona hawa wote wanaonipondea hapo chini kuwa mie mkatili and mkoloni ila trust me i might likely be the most satisfying patner that they could ever have!!! [emoji23][emoji23][emoji23]

Put a woman in her place atakuheshimu always. Mwanaume lazma uwe kama linesman, just raise the flag whenever neccessary!
Baharia kama baharia akijisifia [emoji1787][emoji1787]
 
Shukuru mungu kama upo single na usifanye makosa
Nishukuru Mungu niko single 😅😅😅vipi jombaa..badala ya kuniambia ni muombe Mungu anitoe huku kwa kupata zao lililojema,,wewe unaniambia muombe Mungu🤣🤣🤣acha mambo ya ajabu basi🤪🤪🤪🤪
 
We si pisi ya chuga...Naskia mnapendaga kama Vita eti🤣🤣🤣! Hahah huwezi kuwa single mama la mama,,,hio mambo aiko anii!
Nishukuru Mungu niko single 😅😅😅vipi jombaa..badala ya kuniambia ni muombe Mungu anitoe huku kwa kupata zao lililojema,,wewe unaniambia muombe Mungu🤣🤣🤣acha mambo ya ajabu basi🤪🤪🤪🤪
 
We si pisi ya chuga...Naskia mnapendaga kama Vita eti🤣🤣🤣! Hahah huwezi kuwa single mama la mama,,,hio mambo aiko anii!
Kimuandiko yes ni wa chugan kiuhalisia hapana na hata hiyo chuga yenyewe siijui vyema..

😅😅😅😅haya sawa
 
Back
Top Bottom