Sema kuna namna jamaa atakuwa anakosea kuwa handle hao wanawake. Kaa nae vizuri msome utaona tu kuna mahala as a man anakosea. If you treat a woman right hawezi kukuletea ngebe unless awe na tatizo zaidi ya fedha.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Unaona hawa wote wanaonipondea hapo chini kuwa mie mkatili and mkoloni ila trust me i might likely be the most satisfying patner that they could ever have!!! [emoji23][emoji23][emoji23]
Put a woman in her place atakuheshimu always. Mwanaume lazma uwe kama linesman, just raise the flag whenever neccessary!