oneflash
JF-Expert Member
- Oct 4, 2014
- 814
- 600
Halafu ikawa aje jirani wenu toka hapo Burundi akatize hizo anga zote hadi Nairobi kama madai yako ni kweli?. š¤£Uongo,nchi zenye huduma bora kusini mwa jangwa la sahara ni Tanzania na afrika kusini hata wakenya wengi huwa wanakuja tz kutibiwa.