Mkewe Rais wa Burundi aletwa Kenya kutibiwa Corona

Mkewe Rais wa Burundi aletwa Kenya kutibiwa Corona

Umekosa hoja, ukweli inauma sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]LDC is LDC, sticl to your lane watu wa Loliondo.,
Njaa mnayo nyie ndio maana mnapokea tu mgonjwa positive kwa kuwa kaletwa na ndege. Ni nchi corrupt tu zinaweza kufanya hivyo kwa usawa huu wa covid.
 
Kama nawaonea sema?..
Kenya corona imesambaa kila mahali panatisha au hauoni?[emoji41]
Unajua hali ya kwenyu waficha uchi? Eti mnapima mapapai., vishamba tupu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hao wazungu si ndo mabwana zenu wanaowatumikisha..kwani sisi hatuwajui kama ninyi ni puppets wa wazungu
Ndivyo mumeaminishwa., kama Kenya embarrased their ICC., kenye nyie hamuwezi., kazi nikupiga magoti na kuomba wawasamehe madeni, nyie ndio watumwa wa wazungu., Rais wenyu bila aibu kaomba msamehewe madeni,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji6][emoji23],
 
Huyo ni mpumbavu wa CCM., kazi nikulazimisha lile halipo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], jamaa lishamba limechoka kishenzi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] read his threads and arguments for entertainment[emoji23][emoji23][emoji23], nothing reasonable.
Siku hizi naona unapinga channel zako pendwa za mda mrefu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kenya ni nchi iliyopiga hatua kubwa Sana kwenye sector ya afya, haina mpinzani kusini mwa Jangwa la Sahara.
Sidhani. Madaktari wa Kenya ni mabingwa wa wrong diagnosis. Mradi wale hela yako tu.
 
Bora sisi tusiopima .
Nyie mnaotaka sifa inazidi kupaa tu.
Kenya imekuwa nyumba ya corona Africa mashariki.
Unajua hali ya kwenyu waficha uchi? Eti mnapima mapapai., vishamba tupu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Soon na Uhuru atafuata ukaidi wetu, nilimsikia juzi.
Mumewaponza Burundi wafuate ukaidi wenu, wakajisahau wao ni kainchi kadogo kenye watu wachache, sio kama nyie mna jeuri ya kuficha vifo na maambukizi maana hata mkifa laki moja, kwa mlivyo wengi inafichika, ila hawa hujitutumua kushobokea Tanzania huku mkiongozana maskini wawili kaka na mdogo wake.
 
Huyo ni mpumbavu wa CCM., kazi nikulazimisha lile halipo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], jamaa lishamba limechoka kishenzi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] read his threads and arguments for entertainment[emoji23][emoji23][emoji23], nothing reasonable.
Huoni siku hizi ananipita tu[emoji1787][emoji1787]
 
Ukipewa sources za mwafrika unakana, ukipewa za mzungu unakana, rudi kwa mamako akubembeleze ulale basi!
Duh!!hii sindano kali sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Za africa wanasema sio credible source, za wazungu zinataka kutupaisha[emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom