Don YF
JF-Expert Member
- May 24, 2014
- 10,494
- 9,854
Jinyonge[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Iyo story kawasimulie watot wa kenya siy hapa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Iyo story kawasimulie watot wa kenya siy hapa
Njaa mnayo nyie ndio maana mnapokea tu mgonjwa positive kwa kuwa kaletwa na ndege. Ni nchi corrupt tu zinaweza kufanya hivyo kwa usawa huu wa covid.
Unajua hali ya kwenyu waficha uchi? Eti mnapima mapapai., vishamba tupu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kama nawaonea sema?..
Kenya corona imesambaa kila mahali panatisha au hauoni?[emoji41]
Ndivyo mumeaminishwa., kama Kenya embarrased their ICC., kenye nyie hamuwezi., kazi nikupiga magoti na kuomba wawasamehe madeni, nyie ndio watumwa wa wazungu., Rais wenyu bila aibu kaomba msamehewe madeni,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji6][emoji23],Hao wazungu si ndo mabwana zenu wanaowatumikisha..kwani sisi hatuwajui kama ninyi ni puppets wa wazungu
Define the word "fake"
Siku hizi naona unapinga channel zako pendwa za mda mrefu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sidhani. Madaktari wa Kenya ni mabingwa wa wrong diagnosis. Mradi wale hela yako tu.Kenya ni nchi iliyopiga hatua kubwa Sana kwenye sector ya afya, haina mpinzani kusini mwa Jangwa la Sahara.
Unajua hali ya kwenyu waficha uchi? Eti mnapima mapapai., vishamba tupu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Corona ipo Kenya.Kama nawaonea sema?..
Kenya corona imesambaa kila mahali panatisha au hauoni?[emoji41]
Mumewaponza Burundi wafuate ukaidi wenu, wakajisahau wao ni kainchi kadogo kenye watu wachache, sio kama nyie mna jeuri ya kuficha vifo na maambukizi maana hata mkifa laki moja, kwa mlivyo wengi inafichika, ila hawa hujitutumua kushobokea Tanzania huku mkiongozana maskini wawili kaka na mdogo wake.
Sawa ndugu utakaeishi mileleUtakufa na stress tu!
Ukipewa sources za mwafrika unakana, ukipewa za mzungu unakana, rudi kwa mamako akubembeleze ulale basi!Hao wazungu si ndo mabwana zenu wanaowatumikisha..kwani sisi hatuwajui kama ninyi ni puppets wa wazungu
Take a look at this other NTV source 😂 😂Source NTV.
Nyie tulishawajua wazee wa kujifagilia na huku hamna lolote.
Huyo kilaza ananyongwa na wivuUkipewa sources za mwafrika unakana, ukipewa za mzungu unakana, rudi kwa mamako akubembeleze ulale basi!
Huoni siku hizi ananipita tu[emoji1787][emoji1787]Huyo ni mpumbavu wa CCM., kazi nikulazimisha lile halipo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], jamaa lishamba limechoka kishenzi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] read his threads and arguments for entertainment[emoji23][emoji23][emoji23], nothing reasonable.
Duh!!hii sindano kali sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ukipewa sources za mwafrika unakana, ukipewa za mzungu unakana, rudi kwa mamako akubembeleze ulale basi!
I can't waste my time on such trash mediaTake a look at this other NTV source 😂 😂
Burundi's first lady flown to Kenya after testing positive for COVID-19: Kenyan media
Because you can't believe she came for treatment in Kenya 😂 😂. Take a chill pill and relax man, your lungs will explode for no good reasonI can't waste my time on such trash media