Mkewe Rais wa Burundi aletwa Kenya kutibiwa Corona

Mkewe Rais wa Burundi aletwa Kenya kutibiwa Corona

ikifie hatua kila mtu akubali corona ipo na itaendelea kuwepo.
Ili mambo mengine yafanyike haiwezekani kila siku tukaimba Wimbo mmoja CORONA corona.
tuna mambo mengi ya kufanya baada ya corona.
Wamekufa 52,asilimia kubwa Ni viongozi wa mashirika mbalimbali na wakuu wa KANU
 
Sasa kirusi kimegonga ikulu na kumkuta mkewe rais, pona yao ni familia yenye hela imebidi aletwe Kenya apate huduma bora ambapo ndio nchi yenye hospitali za maana ukanda wote huu.

Jr[emoji769]

Hujaongeza na zako???
 
Angemleta bongo apige nyungu chap mixer na malimao tangawizi kinguu saum na pilipili kichaaa fasta na kugeuza zake akiwa mzima..
 
Burundi nchi ya ajabu ajabu..Wanafuata mwenendo wa magufuli lakini wana sahau kujifukiza, kula malimao n.k t.
Hivi hata Ku kopi pesti ni shida kwa mijitu hii.
 
Hii corruption y Kenya pia inaniudhi. Wamekubali aje mgonjwa wa corona kuingia kwa hospitali zetu na kutunyang'anya space ya vitanda sisi Wakenya wazawa? Mgeni anakula chakula ya watoto wa nyumba. Hii ni upuuzi wa hali wa juu

Hii nadhani walipigiana simu kwenye level ya ikulu kwa ikulu, ndio maana huwa nawaambia hawa makajamba waimba mapambio, hii dunia ina wenyewe, wao hawana jeuri ya kujitia lockdown chattle huku mshiko ukiwafuata huko....
 
Wameangalia vigezo gani? Mbona havijawekwa wazi kwa kila nchi?
Ungesoma hiyo article hingeniuliza swali la kijinga kama hi'i. But I won't criticize you more cause I understand your background.
 
Hawa Burundi nao pia walijitutumua kwa kujifanya wakaidi na kugoma kufunga chochote, wakajisahau wao ni kainchi kadogo kenye watu wachache, hawana jeuri ya kustahimili vifo vingi kama maskini wenzao wenye idadi kubwa ya watu wa kupoteza na maisha bado yaendelee.

Sasa kirusi kimegonga ikulu na kumkuta mkewe rais, pona yao ni familia yenye hela imebidi aletwe Kenya apate huduma bora ambapo ndio nchi yenye hospitali za maana ukanda wote huu.

Pole kwa wale hawana uwezo huu.

=======

Denise Bucumi Nkurunziza, Burundi’s First Lady is currently admitted at The Aga Khan University Hospital, Nairobi after she reportedly contracted the novel Coronavirus.

Sources indicate that Mrs. Nkurunziza, was airlifted to Kenya’s Capital from Bujumbura on Thursday morning, flying in on an AMREF plane.

Her condition remains unknown.

Her husband, Pierre Nkurunziza was not in the flight and she was accompanied by three bodyguards one who has also tested positive.

It is not clear how she was allowed entry into Kenya since the country has set strict conditions only allowing those who test negative entry.

Mr. Nkurunziza has received global backlash for doing little to stop the spread of the disease that has shutdown the whole world.

Burundi earlier this month ordered the country’s top World Health Organization (WHO) representative and three other experts coordinating the novel coronavirus response to leave the country.

Burundi, through its foreign ministry in a letter dated May 12 said the four officials “are declared persona non grata and as such, must leave the territory of Burundi” by Friday.

Burundi is the only African country that did not stop playing of football during the coronavirus pandemic.

The country also recently held their presidential elections which saw the governing party candidate, retired General Evariste Ndayishimiye, win with 69 percent of the vote.

The main opposition party has filed a case in the country’s constitutional court challenging the presidential election result, claiming there is evidence of fraud.

Source: Citizen TV
Ndo uyo apo anahitaji nyungu kwanza.
FB_IMG_1590752266433.jpg
 
Ungesoma hiyo article hingeniuliza swali la kijinga kama hi'i. But I won't criticize you more cause I understand your background.
Sasa wewe ni kiazi kwelikweli kama si absurd...Hayo maelezo tu yameandikwa hatuoni data zozote kuwa included.Nilitegemea wangetuwekea vigezo kama vile;Number of qualified professionals kwa nchi husika au no of beds au vyovyote vile ili tuone Kenya kawaje mbele ya Egypt.
Sasa soma maelezo ya kila nchi hapo uone.Wameeleza nini cha kuweza kulinganisha?
Hii itakuwa imeandikwa na wapenda misifa wa kaskazini kwetu.
 
Nyie waKenya mna matatizo sana. ni kama akili zimewaishia
Hawa Burundi nao pia walijitutumua kwa kujifanya wakaidi na kugoma kufunga chochote, wakajisahau wao ni kainchi kadogo kenye watu wachache, hawana jeuri ya kustahimili vifo vingi kama maskini wenzao wenye idadi kubwa ya watu wa kupoteza na maisha bado yaendelee.

Sasa kirusi kimegonga ikulu na kumkuta mkewe rais, pona yao ni familia yenye hela imebidi aletwe Kenya apate huduma bora ambapo ndio nchi yenye hospitali za maana ukanda wote huu.

Pole kwa wale hawana uwezo huu.

=======

Denise Bucumi Nkurunziza, Burundi’s First Lady is currently admitted at The Aga Khan University Hospital, Nairobi after she reportedly contracted the novel Coronavirus.

Sources indicate that Mrs. Nkurunziza, was airlifted to Kenya’s Capital from Bujumbura on Thursday morning, flying in on an AMREF plane.

Her condition remains unknown.

Her husband, Pierre Nkurunziza was not in the flight and she was accompanied by three bodyguards one who has also tested positive.

It is not clear how she was allowed entry into Kenya since the country has set strict conditions only allowing those who test negative entry.

Mr. Nkurunziza has received global backlash for doing little to stop the spread of the disease that has shutdown the whole world.

Burundi earlier this month ordered the country’s top World Health Organization (WHO) representative and three other experts coordinating the novel coronavirus response to leave the country.

Burundi, through its foreign ministry in a letter dated May 12 said the four officials “are declared persona non grata and as such, must leave the territory of Burundi” by Friday.

Burundi is the only African country that did not stop playing of football during the coronavirus pandemic.

The country also recently held their presidential elections which saw the governing party candidate, retired General Evariste Ndayishimiye, win with 69 percent of the vote.

The main opposition party has filed a case in the country’s constitutional court challenging the presidential election result, claiming there is evidence of fraud.

Source: Citizen TV
 
Tuache utani kumbe kila mtu anaogopa kifo, hata madictator.
 
Back
Top Bottom