Itakuwa humwambia mkewe na wahi mazoezi usiku si nitakuwepo [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kumbe wenzie wanafanyia mazoezi ndani kwake, huyo mwanaume anazarau sana na sijui anajiamini nini kuingia kwa mwanaume mwenzie na je akirudi ghafula hapo alitonywa matatizo ya kujitafutiaPunguza hasira kwanza
Hizo ni nyumba za kupanga na mechi inapigwa nusu saa tu
Afu ndoa inalindwa alfajiri sio saa mbili usiku
Sasa wewe endelea kwenda jimu bila kupiga deki ukipigiwa uslalam
Soma sredi kwanza. Jamaa kasema ati, hilo dowezi hujilaliamo hadi saa mbili. Wewe unasemaje ati game ni nusu saa tu?Hizo ni nyumba za kupanga na mechi inapigwa nusu saa tu
😂😂alijua kila siku ni bei chee kumbe kuna siku vinapanda beiItakuwa humwambia mkewe na wahi mazoezi usiku si nitakuwepo [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kumbe wenzie wanafanyia mazoezi ndani kwake, huyo mwanaume anazarau sana na sijui anajiamini nini kuingia kwa mwanaume mwenzie na je akirudi ghafula hapo alitonywa matatizo ya kujitafutia
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi ndio nimeandik sred afu hujasoma vizriSoma sredi kwanza. Jamaa kasema ati, hilo dowezi hujilaliamo hadi saa mbili. Wewe unasemaje ati game ni nusu saa tu?
Wapewe darasa tatizo wanakuwa wababe, ngoja wasaidiwe[emoji23][emoji23]alijua kila siku ni bei chee kumbe kuna siku vinapanda bei
Ila waliooa kuna vitu wazingatie kwanza gym aende hata jioni ahsubuh muhimu
Walivyovamia kama nyuki vile, huyo naye ni msela tu hana mke humo?Mimi ndio nimeandik sred afu hujasoma vizri
Nimesema hivi jamaa huenda tiz na kurud saa mbili mwiz nae huingia na kutoka kabla ya jamaa kurudi ila jamaa alitonywa hivyo leo hajaenda Gym alitoka na kujibanza sehemu huku akiwa kaandaa wapambe
Halafu hapo atamsingizia mkewe hajatulia unaweza kuta hapo wana wiki anazuga tu nipo nafanya mazoezi kwanza[emoji4] [emoji4] [emoji4]Wanajua wakishaoa wamemaliza kumbe hawwjui ile kitu haina mazoea na haijai Inatemea nje so lazima uivizie ili walau utoe usumbufu kidogo
Sijui hata kwatoa wapi,Walivyovamia kama nyuki vile, huyo naye ni msela tu hana mke humo?
Sent using Jamii Forums mobile app
😱,jamaa akawa amepata mechi maana daily alikuwa anajifua.Aisee kilichotokea sitaki kuwa shahidi kwa vijana wa lugola ila kuna mtu hana meno na marinda
Hapo ndo tatzo lilipo sasaHalafu hapo atamsingizia mkewe hajatulia unaweza kuta hapo wana wiki anazuga tu nipo nafanya mazoezi kwanza[emoji4] [emoji4] [emoji4]
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji16] [emoji16] bado sijaoa kwanza, nikioa ntakuwita uje usaidie , ila uje na vasselineOoh usilipize sasa kwa kumfumua mtu ya suruali
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] mna haribu ndoa za watu, huyo badala ya kutafuta mchana wake kupenda vya bure sasa si kaharibiwa na huko kabisa jamani! Anahali gani kwanza mkimtizama usoni, polisi kapelekwa au kamalizana naye humo humoSijui hata kwatoa wapi,
Jamaa na yeye hana mke ni msela tu kama mimi
Sema ndo hivyo mwenye nyumba katukataa mabachala anataka tuhame aweke walioa tu [emoji23][emoji23][emoji23]
Tabu za nini mzee ukioa kuchapiwa siri ya ndani ah hujui[emoji16] [emoji16] bado sijaoa kwanza, nikioa ntakuwita uje usaidie , ila uje na vasseline
Sent using Jamii Forums mobile app
Polisi fedheha mkuu inabidi yaishe kikomando tu na jamaa had sasa hatujui alipo[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] mna haribu ndoa za watu, huyo badala ya kutafuta mchana wake kupenda vya bure sasa si kaharibiwa na huko kabisa jamani! Anahali gani kwanza mkimtizama usoni, polisi kapelekwa au kamalizana naye humo humo
Sent using Jamii Forums mobile app