abdiabdillah517gmailcom
Member
- Apr 22, 2022
- 40
- 45
ndio zipo dala dala za sinza kupitia manzese jagwani street na mafia kwenye jengo juu limeandikwa mreiny la koka amechukua floor ya kwanza yote na underground na ana kiwanda cha lotion,perfume shampoo, oil mbali mbali airspray ,sabuni za maji za choon,handswash shop nk
Mkuu Muha, Mkinga au Mpemba usishindane nae kwenye biashara ohooo anakupoteza kuna rafiki yangu alikuwa anabiashara Mzumbe ya mgahawa mpinzani wake kaibadilisha[emoji23][emoji23][emoji38][emoji1787] wakati wa asubuhi wateja wanaona vyakula vya mchana Ugali, Wali na chips asubuhi hiyo ikifika mchana wateja wanaona vyakula vya asubuhi vitafunwa chapati, maandazi, afkeki , sambusa bagia[emoji1787][emoji1787][emoji38].Nenda kafungue biashara karibu na Muha, Mkinga au Mpemba awe mshindani wako utakuja kuona jinsi hizo kanuni zenu uchwara zinavyofeli.
Mimi nimewahi kufungua duka niliuza vitu kwa bei pungufu ya ile ya jirani yangu (Muha) lakini watu walizikacha bidhaa zangu licha ya kuwa na lugha nzuri na kuwanyenyekea.
mkuu amtaje mkinga mmoja tu kamaWhy aulize china ..wakat ww upo na unawafaham ..wataje ..acha ushabiki na porojo zisizo na msingi
[emoji23][emoji23][emoji23] pamoja na lugha yako ya ulimbo lakini walikukimbiaNenda kafungue biashara karibu na Muha, Mkinga au Mpemba awe mshindani wako utakuja kuona jinsi hizo kanuni zenu uchwara zinavyofeli.
Mimi nimewahi kufungua duka niliuza vitu kwa bei pungufu ya ile ya jirani yangu (Muha) lakini watu walizikacha bidhaa zangu licha ya kuwa na lugha nzuri na kuwanyenyekea.
DuuuuuuuuuhhMkuu Muha, Mkinga au Mpemba usishindane nae kwenye biashara ohooo anakupoteza kuna rafiki yangu alikuwa anabiashara Mzumbe ya mgahawa mpinzani wake kaibadilisha[emoji23][emoji23][emoji38][emoji1787] wakati wa asubuhi wateja wanaona vyakula vya mchana Ugali, Wali na chips asubuhi hiyo ikifika mchana wateja wanaona vyakula asubuhi vitagunwa chapati, maandazi, afkeki , sambusa bagia[emoji1787][emoji1787][emoji38].
Kilichomjulisha kuna siku rafiki yangu akamuuliza mteja wake siku izi mbona huji kula akamwambia Benedict yaani ww mambo kinyume chamchana unapika asubuhi na asubuhi unapika mchana[emoji38][emoji38][emoji1787] jamaa alifunga. Hawa wapemba, muha na mkinga wake hawafai
Walinikimbia.[emoji23][emoji23][emoji23] pamoja na lugha yako ya ulimbo lakini walikukimbia
ππAisee kwa hiyo ni mwendo wa kupiga pass ndefu ili utajirikeHuwezi kuwa tajiri kama utaendekeza tabia ya kula mchana
Maneno kama haya ndiyo yamefanya yule Mkinga akawapeleka wenzake kwa mganga wakaongeze wateja wa biashara, na wakaishia kufia kwa mganga na kufukiwa porini.Mkinga anaweza kuanza biashara ya kuuza maji ya kandoro tu, mtaji elfu 15.
Baada ya Mwaka unakuta anamiliki kiwanda cha Maji Huko Boko mtaji milioni 50πππ π π
Usiniulize kafikaje huko, hawa watu wana miujiza sana kwenye biashara na kamwe hawatoi siri
Kuna vitu tunadanganyana sana, ukifuatilia kwa karibu na ukafuata kanuni zote za biashara ila kibali huna kutoka kwa Mungu/ familia/mizimu hutoboi hata iweje.Mkinga anaweza kuanza biashara ya kuuza maji ya kandoro tu, mtaji elfu 15.
Baada ya Mwaka unakuta anamiliki kiwanda cha Maji Huko Boko mtaji milioni 50πππ π π
Usiniulize kafikaje huko, hawa watu wana miujiza sana kwenye biashara na kamwe hawatoi siri
tunapataje hivyo vibali mkuu?Kuna vitu tunadanganyana sana, ukifuatilia kwa karibu na ukafuata kanuni zote za biashara ila kibali huna kutoka kwa Mungu/ familia/mizimu hutoboi hata iweje.
Sitisha mkataba na mizimu kisha uombe kipya kwa Mungu.tunapataje hivyo vibali mkuu?