Mkinga sio mtu wa kushindana nae kwenye Biashara!

Mkinga sio mtu wa kushindana nae kwenye Biashara!

k/koo ni ya wachagga kwa 90% naanza na mahotel
chelse hotel,lumuba na uhuru-macha
keys hotel-ndesamburo
royal valentino,aggrey street-massawe tumbo
akubu hotel mmarangu
rising sun hotel-kimbori
hong kong hotel masasi street -chuwa
kings palace hotel,rikk hotel,ar na anamilki nite club mtaa wa livingstone
tropical hotel-alyoce ngowi
florida hotel gerezani-mlingi
diamond tiffany hotel- mr kiria
durban hotel na butterfly hoteel
ELECTRONICS
Manufacturer and supplier

rising eletronics-alyoce mkibosho
homebase electronics- ford mushi kibosho masoka
mr uk eletronics mchagga
hometech mchagga
SUPPLIER AND DISTRIBUTORS ELECTRONICS
LAMPARD ELETRONICS jengo la simba fransis mushi
mashariki power eletronics aggrey kifaru wa kibosho uchau
msimbazi eletronis
micheal eletronics hawa wapo wengi list is endlesss
john kessy agent wa boss hisense bosch na rim
congo electronics
city sounds music
jambo musics
MAGOROFA k/koo
kwa emma gerezani gorofa tano na biashara ya jumla ya vinywaji agent wa breweries ilala
primi mushi (wakiga wote wa kariaako wakiungana hawawezi kumfikia)gorofa zaidi ya 20 na matawi yote ya akiba bank yako kwenye nyumba zake k/koo ni mfanybiashara mkubwa wa kitenge tanzania na congo
alyoce kimbori zaidi ya gorofa 10
bosco chuwa gorofa zaid ya 5
yohana kweka zaid gorofa 5
masai wa boro kibosho zaid ya gorofa 20 ndio mwenye red stone moshi
masumbuo zaid ya gorofa 5
koka mbunge wa kibaha gorofa 5 ikiweo mrieny tower jagwani street
mzee temba
chuwa mchikichi na livingstone zaid y agorofa 10 kaoa mchina
mariam tower lindi na shaurimoyo street
mbokomu tower gerezani na zaid ya nyumba 5 na biashara chuma jumla
house of bolt na nyumba zaidi ya 3 mr mariwa muuzaji wa bolt jumla na kiwanda cha bolt
thomas lyimo zaid gorofa3 uhru na msimbaz mgahawa
herman woiso magorofa na woiso origina products
el shaddai pazia carpert mashuka nk mmachame
saba berings magorofa na spare parts na hardware
hai agency spare parts
okinawa pharmacy -massao
frank knows nguo
saroi mushi viatu vya kike agent na magorofa k/koo saroi bar mabibo saroi bar kimara mwishi njia kingongo
masumbuo chuwa aluminam n magorofa k/koo na kibo social hall kimara
mama chuwa gorofa na kitenge
mjapan bar tip top mjapan complex tegeta na hardware k/koo
mtoto wa thomas lyimo agent wa rangi gerezan
mwalimu hardware biashara ya chuma
BAR
Angel garden -diwani wa tabata zamani patrick assenga
kwa emma gerezani
msimbazi gorofan jerome mushi
ddc k/koo wakina mmasy majiko na vyakula
new vunjo bar mmnazi mmoja
mango garden kipata street
safar bar hugo kisima
front line chuwa
suwata bar shule ya uhuru maimu
congo bar
VIPODOZI
Kavishe agent mkubwa wa perfume na oil zote dawa za nywele duka lake liko kwenye nyumba ya koka floor yote ya kwanza mrieny tower
massawe zaid ya duka 10
HARD WARE
Ndewedo kacheli maduka ya sanitry ware
mwalimu hardware biashara ya chuma na rangi za chuma na magari nyumba k/koo na daladala
kwa shayo cooling system zote a/c na parts zake east african brothers engineerin owner ina tenda ya kusupply a/c na kuservice crdb nchi nzim nmb bot na ofis nying za kimataifa
kimaro tiles, marble na mgodi wa kokoto ruvu macrusher ya kutosha ana tenda sgr na mwendokas kusupply kokoto na mchaga
innocence minde plumbing busness jumla
billions paints ni kiwanda cha mmchame kiko jkt mbuyuni
dm paints cha mmarangu kiko kimar mbezi
kiwanda cha gpsum powder,gysum bord whitecememt kimaro kipo njia ya kusini .kwembeplastics cha lema kinatengeneza pvc pipise na vifaa vya plastic ni ndugu yake hillary shoo wa hill water busnee patner
mbokomu chuma
ANDO ROOFING mabati,vigae,villa house,aluminiam marble coating nk kiko tegeta ni cha Ando maimu ndugu yake maimu wa NIDA vitambulisho
FEHDA
MOHAMMED LEMA, mokha cargo duka kubwa la wakala wa fedha clearing na forward na wakala awa fani za dekla kiwanda cha mabata mwanza
arusha cargo
GNM Cargo Bosco chuwa
madekela cargo
mangi cargo
rangi za nyumba mtoto wa kike wa thomas lyimo agentmkubwa
HOSPITAL
dr maro kariakoo dispensary
st bernard hospital
frontline dispensary
Hapo umejitahidi kuolozesha wachuuzi
 
Hapo umejitahidi kuolozesha wachuuzi
silvester koka mbunge wa kibaha mjini ana viwanda na makampuni zaidi ya ishirini ni mchuuzi kaajiri watu 2700 kapewa cheti na tra kama mlipa kodi mzuri na mkubwa tz
Alyoce kimbori naye mchuuzi anakiwanda cha rising china kawa
lekundayo mwenye kiwanda cha mbezi tiles toka mwaka 70 na mchuuzi
hillary shoo kiwanda cha maji ya hill,hill packages, hill feeds nay mchuuz
ford mushi kiwanda cha homebase eletronics naye mchuuzi
mr uk kiwanda mr uk eletronics naye mchuuzi
kimaro wa k-vant anauza kenya na congo naye mchuuz
 
silvester koka mbunge wa kibaha mjini ana viwanda na makampuni zaidi ya ishirini ni mchuuzi kaajiri watu 2700 kapewa cheti na tra kama mlipa kodi mzuri na mkubwa tz
Alyoce kimbori naye mchuuzi anakiwanda cha rising china kawa
lekundayo mwenye kiwanda cha mbezi tiles toka mwaka 70 na mchuuzi
hillary shoo kiwanda cha maji ya hill,hill packages, hill feeds nay mchuuz
ford mushi kiwanda cha homebase eletronics naye mchuuzi
mr uk kiwanda mr uk eletronics naye mchuuzi
kimaro wa k-vant anauza kenya na congo naye mchuuz
ntaendelea
 
silvester koka mbunge wa kibaha mjini ana viwanda na makampuni zaidi ya ishirini ni mchuuzi kaajiri watu 2700 kapewa cheti na tra kama mlipa kodi mzuri na mkubwa tz
Alyoce kimbori naye mchuuzi anakiwanda cha rising china kawa
lekundayo mwenye kiwanda cha mbezi tiles toka mwaka 70 na mchuuzi
hillary shoo kiwanda cha maji ya hill,hill packages, hill feeds nay mchuuz
ford mushi kiwanda cha homebase eletronics naye mchuuzi
mr uk kiwanda mr uk eletronics naye mchuuzi
kimaro wa k-vant anauza kenya na congo naye mchuuz
Hizo tu hata wakinga wanazo😊😊😁
 
Wakinga wajanja, wanashirikiana sana na kuonyeshana siri ya biashara wao kwa wao, watu kama huyu mtoa mada wachoyo unakuta anaenda juu lakini kuna sehemu atapotea, sababu mambo yanabadilika kwa kasi na unaendelea na formula ile ile.
Kuna namna mtoa mada inaonekana amekwama katika bahari ya kuwaza, huenda nae kapiga techs za waganga kadhaa zikakwama.
 
Ntafutie mkinga mwenye hisa kubwa kwenye benki kubwa(individually),nitajie mtanzania mweusi anaeongoza kwa kulipa kodi(kama ni mkinga),nitajie mkinga anaemiliki hisa kubwa kwenye kampuni ya ndege,nitajie mkinga anaemiliki kiwanda kikubwa ,nitajie hata kwa historia mkinga aliewai kutokea kwenye top ten ya wenye pesa bongo hata top thirty ......ukiniuliza kwa wachaga ntakutajia wote mkuu.....level waliopo wakinga sasa hivi wachaga waliipita miaka ya 80 kwenda 90
Superiority complex, tribalism perception. Kila kabila lina tajiri naweza kusema hivyo, ila kuna zone wanatoka wengi kwa sababu mbalimbali za kijiographia, kufika kwa maarifa, n.k
Wapo wakinga hata huko katika makampuni
 
Ukikaa na Matajiri wenye viwanda Kama waarabu na wahindi mfano Shabiby ukimwambia Wakinga haelewi unazungumzia nini.
Yeye anajua Wachaga na Wapemba.

Wajinga bado safari Yao ni ndefu Sana.

Wapo level ya Waha wa kigoma Ila Kwa Wachagga bado Sana. Tena Sana.
Unaleta mashindano ya makabila, Mimi sio mkinga lakini hawa jamaa wanastahili heko wana kasi kubwa sana kwa takribani miaka 10 sasa.
Na issue sio uchawi, jamaa wanasaidiana sana katika mambo ya msingi kama taarifa na mini cha kufanya, mtaji kwao inakuja baadae.
Na kuna wakinga masikini kama kulivyo na wachaga masikini Moshi hiyo hiyo huko huko alipojenga Mengi hekalu lake. Note: Nchi pia bado ni masikini
 
Wakinga wanamsemo 'tunza pesa' hivyo kwa mtu anayejishughulisha lakini hapati mafanikio haraka wanadai kuwa 'hajui kutunza pesa'. Pia wakinga ni bahiri, hivyo hawana matumizi yasiyoratibika. Kwakuwa huwa wana malengo ya kufikia hatua Fulani katika biashara zao. Hayo mi mambo pia ya kujifunza nje ya Imani zisizoonekana kwa macho ya kawaida!
 
Kwa hiyo makabila yote Tanzania,Wakinga ndio wawe pekee.Wakinga wengi wanatumia nguvu za Giza.


Basi tukubaliane kuwa itakuwa ni nguvu za Giza jumlisha nidhamu ya matumizi ya pesa.

Ingekuwa nguvu za Giza tu basi maeneo yote ambayo yanasifika
Kwa uchawi kama vile Bagamoyo, Tanga, Kigoma, Rukwa/sumbawanga, Ukerewe, gambushi n.k basi makabila ya huko wangekuwa nao wameinuka kibiashara lakini thubutu yao [emoji108][emoji108]

Ni kwamba kuna zaidi ya uchawi na ushirikina kwa hao jamaa!
 
Kwanza jamaa ni wabahili sana yote hiyo ni sehemu ya nidhamu ya matumizi!

Waulize wanawake iwapo walipata mabwana wa Kikinga kama wanakata pesa kirahisirahisi!
 
Hizo tu hata wakinga wanazo😊😊😁
kuna mkinga kama micheal shirima mwenye the second largest airline in market share na number flightes route in country accortding to tanzania airport authoriy,majorty shareholder tanzania oxgen gas,tbl, 5% shares of I&M Bank na states za kahawa uko meru
kuna mkinga kama Hans macha mwenye 1.5% ya shares za crdb ambazo thaman yake ni tsh billion 11 zenye return ya 2 billion tsh annually 7% ya maendeleo bank,mahotel dar na arusha na maduka ya fedha
kuna mkinga kama elisante elikana muro mwenye kiwanda cha mbezi tiles na kisarawe bricks na mradi oil refinery uko kwenye pipeline
samuel lema wa northern engineering works ltd ina ofis kenya arusha malawi dar mbeya moshi anajenga minara ya cm anafanya services fibre installation anajenga sever za makampun kama tigo voda nokia halotel semens nk
Godwin makyao wa marktech returns yake kwa mwaka ni sawa na wakinga wote wakiungana
 
kuna mkinga kama micheal shirima mwenye the second largest airline in market share na number flightes route in country accortding to tanzania airport authoriy,majorty shareholder tanzania oxgen gas,tbl, 5% shares of I&M Bank na states za kahawa uko meru
kuna mkinga kama Hans macha mwenye 1.5% ya shares za crdb ambazo thaman yake ni tsh billion 11 zenye return ya 2 billion tsh annually 7% ya maendeleo bank,mahotel dar na arusha na maduka ya fedha
kuna mkinga kama elisante elikana muro mwenye kiwanda cha mbezi tiles na kisarawe bricks na mradi oil refinery uko kwenye pipeline
samuel lema wa northern engineering works ltd ina ofis kenya arusha malawi dar mbeya moshi anajenga minara ya cm anafanya services fibre installation anajenga sever za makampun kama tigo voda nokia halotel semens nk
Godwin makyao wa marktech returns yake kwa mwaka ni sawa na wakinga wote wakiungana
Tupo bila kutumia Id za hapa jf kuna watu ambao hata usinge pata nafasi ya kuzungumza nao 😀😀😀😀😀😀
 
kuna mkinga kama micheal shirima mwenye the second largest airline in market share na number flightes route in country accortding to tanzania airport authoriy,majorty shareholder tanzania oxgen gas,tbl, 5% shares of I&M Bank na states za kahawa uko meru
kuna mkinga kama Hans macha mwenye 1.5% ya shares za crdb ambazo thaman yake ni tsh billion 11 zenye return ya 2 billion tsh annually 7% ya maendeleo bank,mahotel dar na arusha na maduka ya fedha
kuna mkinga kama elisante elikana muro mwenye kiwanda cha mbezi tiles na kisarawe bricks na mradi oil refinery uko kwenye pipeline
samuel lema wa northern engineering works ltd ina ofis kenya arusha malawi dar mbeya moshi anajenga minara ya cm anafanya services fibre installation anajenga sever za makampun kama tigo voda nokia halotel semens nk
Godwin makyao wa marktech returns yake kwa mwaka ni sawa na wakinga wote wakiungana
Umeongea sana ila nakwambia kuna wakinga wanapesa hatari sema ni watu wa kujificha tu

Yaani unazungumzia viwanda? Uliza china tu hapo utaambiwa
 
Umeongea sana ila nakwambia kuna wakinga wanapesa hatari sema ni watu wa kujificha tu

Yaani unazungumzia viwanda? Uliza china tu hapo utaambiwa
mjomba mkinga mwenye kiwanda china ni kodtech tu
wachaggaa
ford mushi =homebase eletronics
alyoce kimbori=rising eletronics
mr uk
momburi= kiwanda cha mabengi
saroi= kiwanda cha yebo yebo
aloyce kessy kiwanda cha rim
alltop eletronics mchina na mchagga
mohammed lema =dekla fan,milango ya chuma
Mmalya na mchina= seapiano subwofer and other elronics
 
Umeongea sana ila nakwambia kuna wakinga wanapesa hatari sema ni watu wa kujificha tu

Yaani unazungumzia viwanda? Uliza china tu hapo utaambiwa
Why aulize china ..wakat ww upo na unawafaham ..wataje ..acha ushabiki na porojo zisizo na msingi
 
Nenda kafungue biashara karibu na Muha, Mkinga au Mpemba awe mshindani wako utakuja kuona jinsi hizo kanuni zenu uchwara zinavyofeli.
Mimi nimewahi kufungua duka niliuza vitu kwa bei pungufu ya ile ya jirani yangu (Muha) lakini watu walizikacha bidhaa zangu licha ya kuwa na lugha nzuri na kuwanyenyekea.
Duh kwa hiyo kuna kitu jamaa wanakifanya ili kuvutia wateja.
 
k/koo ni ya wachagga kwa 90% naanza na mahotel
chelse hotel,lumuba na uhuru-macha
keys hotel-ndesamburo
royal valentino,aggrey street-massawe tumbo
akubu hotel mmarangu
rising sun hotel-kimbori
hong kong hotel masasi street -chuwa
kings palace hotel,rikk hotel,ar na anamilki nite club mtaa wa livingstone
tropical hotel-alyoce ngowi
florida hotel gerezani-mlingi
diamond tiffany hotel- mr kiria
durban hotel na butterfly hoteel
mrina hotel mtaa wa udoe,mrina halls,hardware,mrina bar nanyumba za kutosha tip top
cate hotels,auto parts ABC mabasi ya mikoani,
cate hotel moro
emilly hotel
valley view ya godliving makundi
ELECTRONICS
Manufacturer and supplier

rising eletronics-alyoce mkibosho
homebase electronics- ford mushi kibosho masoka
mr uk eletronics mchagga
hometech mchagga
SUPPLIER AND DISTRIBUTORS ELECTRONICS
LAMPARD ELETRONICS jengo la simba fransis mushi
mashariki power eletronics aggrey kifaru wa kibosho uchau
msimbazi eletronis
micheal eletronics hawa wapo wengi list is endlesss
john kessy agent wa boss hisense bosch na rim
congo electronics
city sounds music
jambo musics
MAGOROFA k/koo
kwa emma gerezani gorofa tano na biashara ya jumla ya vinywaji agent wa breweries ilala
primi mushi (wakiga wote wa kariaako wakiungana hawawezi kumfikia)gorofa zaidi ya 20 na matawi yote ya akiba bank yako kwenye nyumba zake k/koo ni mfanybiashara mkubwa wa kitenge tanzania na congo ana gorofa tanga na arusha gorofa moja ya narungombe ndio wakinga wote wananzia kupanga frame wakiingia k/koo
alyoce kimbori zaidi ya gorofa 10 dar na mwanza
bosco chuwa gorofa zaid ya 7 arusha na k/koo
yohana kweka zaid gorofa 5
masai kuringe/kuringe halls moshi wa boro kibosho zaid ya gorofa 20 ndio mwenye red stone moshi na gorofa arusha
masumbuo zaid ya gorofa 5
koka mbunge wa kibaha gorofa 5 ikiweo mrieny tower jagwani street ako catering,viwanda na makampuni ya zaidi ya ishirini
mzee temba gorofa 3
chuwa mchikichi na livingstone zaid y agorofa 10 kaoa mchina
mariam tower lindi na shaurimoyo street
mbokomu tower gerezani na zaid ya nyumba 5 na biashara chuma jumla
house of bolt na nyumba zaidi ya 3 mr mariwa muuzaji wa bolt jumla na kiwanda cha bolt
thomas lyimo zaid gorofa3 uhru na msimbaz mgahawa,muhimbili na akiba
herman woiso magorofa na woiso origina products viwanda
el shaddai pazia carpert mashuka nk mmachame
saba berings magorofa na spare parts na hardware agent wa king long motor cycle
hai agency spare parts
okinawa pharmacy -massao
frank knows nguo
saroi mushi viatu vya kike agent na magorofa k/koo saroi bar mabibo saroi bar kimara mwishi njia kingongo
masumbuo chuwa aluminam n magorofa k/koo na kibo social hall kimara
mama chuwa gorofa na kitenge
mjapan bar tip top mjapan complex tegeta na hardware k/koo
mtoto wa thomas lyimo agent wa rangi gerezan
mwalimu hardware biashara ya chuma
kidia automobile parts kidia one buses,kidia one hotel dodoma
BAR
saba saba bar
Angel garden -diwani wa tabata zamani patrick assenga
kwa emma gerezani
msimbazi gorofan jerome mushi
ddc k/koo wakina mmasy majiko na vyakula
new vunjo bar mmnazi mmoja
mango garden kipata street
safar bar na safari jewellers hugo hotel moshi kimara resort kimara hugo kisima
front line chuwa
suwata bar shule ya uhuru maimu
congo bar
VIPODOZI
Kavishe agent mkubwa wa perfume na oil zote dawa za nywele duka lake liko kwenye nyumba ya koka floor yote ya kwanza mrieny tower
massawe zaid ya duka 10
HARD WARE
Ndewedo kacheli maduka ya sanitry ware
mwalimu hardware biashara ya chuma na rangi za chuma na magari nyumba k/koo na daladala
kwa shayo cooling system zote a/c na parts zake east african brothers engineerin owner ina tenda ya kusupply a/c na kuservice crdb nchi nzim nmb bot na ofis nying za kimataifa
kimaro tiles, marble na mgodi wa kokoto ruvu macrusher ya kutosha ana tenda sgr na mwendokas kusupply kokoto na mchaga
innocence minde plumbing busness jumla
billions paints ni kiwanda cha mmchame kiko jkt mbuyuni
dm paints cha mmarangu kiko kimar mbezi
kiwanda cha gpsum powder,gysum bord whitecememt kimaro kipo njia ya kusini .kwembeplastics cha lema kinatengeneza pvc pipise na vifaa vya plastic ni ndugu yake hillary shoo wa hill water busnee patner
mbokomu chuma
ANDO ROOFING mabati,vigae,villa house,aluminiam marble coating nk kiko tegeta ni cha Ando maimu ndugu yake maimu wa NIDA vitambulisho
FEHDA
MOHAMMED LEMA, mokha cargo duka kubwa la wakala wa fedha clearing na forward na wakala awa fani za dekla kiwanda cha mabata mwanza
arusha cargo
GNM Cargo Bosco chuwa
madekela cargo
mangi cargo
rangi za nyumba mtoto wa kike wa thomas lyimo agentmkubwa
HOSPITAL
dr maro kariakoo dispensary
st bernard hospital
frontline dispensary

Naomba kufahamu ilo duka la kavishe liko kkoo maeneo yapi, ni ule mtaa zinapopaki daladala za gerezani sinza kupitia manzese.

Ziada anauza mmama au?
 
Back
Top Bottom