Blackcornshman
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 6,514
- 15,701
Facts.Discipline , Discipline , Discipline.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Facts.Discipline , Discipline , Discipline.
Mfano wa biashara moja isiyokuwa na kanuni zake mkuu?Discipline gani tena, au ya kulala na njaa?
Biashara haina kanuni ndio maana hata anayefundisha wanafunzi wa PhD ya biashara anategemea mshahara wa ml. 6 badala ya kuvuna pesa kutokana na ELIMU yake
Sasa hapo ndo mnapo anzia kukosea kwa kujikuta nyie bora ila kuharisia wajinga wajinga wanaongezeka katika jamii yenuWakwanza ni wakwanza tu mkuu
k/koo ni ya wachagga kwa 90% naanza na mahotelSasa hapo ndo mnapo anzia kukosea kwa kujikuta nyie bora ila kuharisia wajinga wajinga wanaongezeka katika jamii yenu
Napenda kuchukua nafasi hii kufunga mjadala huu. Na kusema naunga hoja mkono kwa 100%.k/koo ni ya wachagga kwa 90% naanza na mahotel
chelse hotel,lumuba na uhuru-macha
keys hotel-ndesamburo
royal valentino,aggrey street-massawe tumbo
akubu hotel mmarangu
rising sun hotel-kimbori
hong kong hotel masasi street -chuwa
kings palace hotel,rikk hotel,ar na anamilki nite club mtaa wa livingstone
tropical hotel-alyoce ngowi
florida hotel gerezani-mlingi
diamond tiffany hotel- mr kiria
durban hotel na butterfly hoteel
ELECTRONICS
Manufacturer and supplier
rising eletronics-alyoce mkibosho
homebase electronics- ford mushi kibosho masoka
mr uk eletronics mchagga
hometech mchagga
SUPPLIER AND DISTRIBUTORS ELECTRONICS
LAMPARD ELETRONICS jengo la simba fransis mushi
mashariki power eletronics aggrey kifaru wa kibosho uchau
msimbazi eletronis
micheal eletronics hawa wapo wengi list is endlesss
john kessy agent wa boss hisense bosch na rim
congo electronics
city sounds music
jambo musics
MAGOROFA k/koo
kwa emma gerezani gorofa tano na biashara ya jumla ya vinywaji agent wa breweries ilala
primi mushi (wakiga wote wa kariaako wakiungana hawawezi kumfikia)gorofa zaidi ya 20 na matawi yote ya akiba bank yako kwenye nyumba zake k/koo ni mfanybiashara mkubwa wa kitenge tanzania na congo
alyoce kimbori zaidi ya gorofa 10
bosco chuwa gorofa zaid ya 5
yohana kweka zaid gorofa 5
masai wa boro kibosho zaid ya gorofa 20 ndio mwenye red stone moshi
masumbuo zaid ya gorofa 5
koka mbunge wa kibaha gorofa 5 ikiweo mrieny tower jagwani street
mzee temba
chuwa mchikichi na livingstone zaid y agorofa 10 kaoa mchina
mariam tower lindi na shaurimoyo street
mbokomu tower gerezani na zaid ya nyumba 5 na biashara chuma jumla
house of bolt na nyumba zaidi ya 3 mr mariwa muuzaji wa bolt jumla na kiwanda cha bolt
thomas lyimo zaid gorofa3 uhru na msimbaz mgahawa
herman woiso magorofa na woiso origina products
el shaddai pazia carpert mashuka nk mmachame
saba berings magorofa na spare parts na hardware
hai agency spare parts
okinawa pharmacy -massao
frank knows nguo
saroi mushi viatu vya kike agent na magorofa k/koo saroi bar mabibo saroi bar kimara mwishi njia kingongo
masumbuo chuwa aluminam n magorofa k/koo na kibo social hall kimara
mama chuwa gorofa na kitenge
mjapan bar tip top mjapan complex tegeta na hardware k/koo
mtoto wa thomas lyimo agent wa rangi gerezan
mwalimu hardware biashara ya chuma
BAR
Angel garden -diwani wa tabata zamani patrick assenga
kwa emma gerezani
msimbazi gorofan jerome mushi
ddc k/koo wakina mmasy majiko na vyakula
new vunjo bar mmnazi mmoja
mango garden kipata street
safar bar hugo kisima
front line chuwa
suwata bar shule ya uhuru maimu
congo bar
VIPODOZI
Kavishe agent mkubwa wa perfume na oil zote dawa za nywele duka lake liko kwenye nyumba ya koka floor yote ya kwanza mrieny tower
massawe zaid ya duka 10
Wabongo hatujui tajiri anakuwaje Yani wachuuzi wakufata bidhaa China nao wanasifiwa matajiri ninavyo jua Mimi tajiri lazima awe ana kampun inayo simamia mfano viwanda sasa matajiri wetu wakiswahili wanafata nguo na viatua na Vifaa vya electronic ambavyo ni fake ndiyo wanajisifu matajir au wanabiashara za bar na maduka ya kuuuza vifaa used vya magar. nao wanaingizwa kwenye group la matajiri, inatakiwa wabongo tuondoke kwenye uchuuzi nchi isiye dampo la bidhaa kutoka nje lazima wazawa tujenge viwanda tiles, cement, sukari, matairi, maziwa , sabuni, mafuta, rangi, nondo mabati misumari, mabomba nk hivi vyote nilivyo vitaja hakuna hata mzawa anayemiliki, halafu wadau wanataja sijui wachaga na wakinga eti ni matajir ni fedhea Sanaa kuwasifia wachuuzi kuwa ni matajiri.Wabongo tunajua kupigana kamba sana.
Mbona kwenye orodha ya matajiri duniani hakuna mchaga wala mkinga.
Yaani wanatutambia maduka tu ya kuuza bidhaa toka china, sujui maji, pipi , nguo, viberiti.
Hakuna mwenye kiwanda hata cha sindano halafu unajiita tajiri.
Bure kabisa.
Mkuu umetaja wachuuzi na Mahoteli yote ambayo beberu anaweza kulala wanao miliki ni mabeberuMkuu kuna mambo huyaelewi vizuri kuhusu hii nchi itakuwa[emoji3][emoji3]
Unapozungumzia kuhusu biashara hii nchi Wachaga ndio the Top, wewe unaleta biashara za nguo za milioni 100[emoji1][emoji1] hao unaitwa matajiri.
Biashara za Wachaga ambazo unaziita za wachuuzi
1. Sekta ya anga
Wachaga ni moja ya kabila yenye kufanya biashara ya anga Kwa kumiliki baadhi ya makampuni ya Ndege, mfano Kampuni za Precious Airlines na zamani Fastjet alikuwepo Lawrence Masha akiongoza kaa share nyingi za Hisa.
Huenda hata Ndege tuu hujapanda ya kutoka DSM kwenda kwenu Mtwara[emoji1][emoji1] hivyo huwezi elewa hizi mambo
Sasa Kama kumiliki biashara za usafiri wa Ndege ni uchuuzi Sawa.
2. Sekta ya usafirishaji na mabasi.
Wachaga ndio wanaongoza Kwa kumiliki makampuni ya mabasi,
travel agency za tour Guide, na hapa ni ukiachana na Wahindi na waarabu.
3. Sekta za Utalii, Mahoteli na STAREHE.
Wachaga ndio wanaongoza Kwa kuwa na mahoteli, sehemu za starehe na hii wengi Hufanya Kwa sababu ya kazi ya utalii.
Wengi WA Wachaga wanamakampuni ya Utalii hivyo wamejenga hayo mahoteli Kwa ajili ya wageni wao.
Usishangae Moshi na Arusha kuwa kinara wa utalii ukadhani sehemu zingine hakuna mbuga[emoji3][emoji3]
Hizi mambo huwezi elewa.
4. Wakala wa vipuri vya magari.
Wachaga kwenye sekta za UWAKALA WA vipuri ndio wanashika namba moja, Kama wewe unayajua magari sio ajabu ukikuta chata kwenye Vipuri vya magari vikiwa vimeandikwa 7General/Saba General ndiye aliyekuwa wakala mkubwa wa vipuri vya Magari hapa nchini.
5. Biashara ya Magari
Wachaga ndio wanaongoza Kwa biashara za kuuza magari.
Sio ajabu Wachaga ndio kabila pekee ambalo atu wake wanajua Aina za magari kuliko kabila lolote hapa nchini.
6. Biashara za Shule.
Wachaga ndio kabila la Kwanza Kwa umiliki WA shule binafsi hapa nchini wakifukuziwa na Wahaya.
7. Nenda sekta za Fedha na Benki hasa pale CRDB alafu useme Wachaga ni wachuuzi[emoji1][emoji1]
8. Sekta ya madini
Tatizo lako unawajua Wachaga Wale wa Tabaka la chini na hii ni kutokana na unaishi mazingira ya namna hiyo.
Mimi sio mchagga Ila kwenye hii nchi utaanza na wahindi, waarabu, Wachaga alafu Sisi wengine tufuate.
Kampuni gani za ndege nikafanye booking ni fast jet, Fly Emirates, Qutar ?Wenzako wanamiliki biashara za Ndege nimekutajia wewe unazungumzia biashara za nguo ambazo hata watu wa real estate wanawapiga bao.
Vunja Bei huyo yupo kundi la Mamilionea hajafika hata level ya bilionea Mkuu[emoji1][emoji1]
Anaweka 5000 kwa sikuWakinga wamezidi wewe hao ulitaja ni kik maana wachga aslimia 90 viduka vidogo kaangalie wakinga no wachache sana ila moto wao ni balaa asilimia kubwa wanamiliki biashara kubwa
Wachaga ni mazoea kwamba Wana damu ila inafahamika biashara zao wale madon wengi ni madini tunajua faida ya madini trip moja pesa ndefu
Njoo wakinga anaanza kama machinga kuweka akiba ya elfu 5 Kwa siku ila miakam mitatu unaambiwa ana mtaji wa million 100
Tupe mfano hai?Mkinga anaweza kuanza biashara ya kuuza maji ya kandoro tu, mtaji elfu 15.
Baada ya Mwaka unakuta anamiliki kiwanda cha Maji Huko Boko mtaji milioni 50😂😂😅😅😅
Usiniulize kafikaje huko, hawa watu wana miujiza sana kwenye biashara na kamwe hawatoi siri
Hilo linawezekana ilikuwa zamani sana , ila hawa jamaa wana nidhamu na pesa na juhudi ipoNaskia kuku anakula mbegu za mtama anajua umri wa utajiri wake.
Kwahiyo usipokuwa mchana unakuwa tajiri?Huwezi kuwa tajiri kama utaendekeza tabia ya kula mchana
Wachuuzi hawasaidii kutengeneza ajira nchini kwasababu bidhaa zao wana agiza nje huko ndiko wanawatengenexea ajira!!Wabongo hatujui tajiri anakuwaje Yani wachuuzi wakufata bidhaa China nao wanasifiwa matajiri ninavyo jua Mimi tajiri lazima awe ana kampun inayo simamia mfano viwanda sasa matajiri wetu wakiswahili wanafata nguo na viatua na Vifaa vya electronic ambavyo ni fake ndiyo wanajisifu matajir au wanabiashara za bar na maduka ya kuuuza vifaa used vya magar. nao wanaingizwa kwenye group la matajiri, inatakiwa wabongo tuondoke kwenye uchuuzi nchi isiye dampo la bidhaa kutoka nje lazima wazawa tujenge viwanda tiles, cement, sukari, matairi, maziwa , sabuni, mafuta, rangi, nondo mabati misumari, mabomba nk hivi vyote nilivyo vitaja hakuna hata mzawa anayemiliki, halafu wadau wanataja sijui wachaga na wakinga eti ni matajir ni fedhea Sanaa kuwasifia wachuuzi kuwa ni matajiri.
Broo umejuaje mbona umeandiak ishu zotek/koo ni ya wachagga kwa 90% naanza na mahotel
chelse hotel,lumuba na uhuru-macha
keys hotel-ndesamburo
royal valentino,aggrey street-massawe tumbo
akubu hotel mmarangu
rising sun hotel-kimbori
hong kong hotel masasi street -chuwa
kings palace hotel,rikk hotel,ar na anamilki nite club mtaa wa livingstone
tropical hotel-alyoce ngowi
florida hotel gerezani-mlingi
diamond tiffany hotel- mr kiria
durban hotel na butterfly hoteel
ELECTRONICS
Manufacturer and supplier
rising eletronics-alyoce mkibosho
homebase electronics- ford mushi kibosho masoka
mr uk eletronics mchagga
hometech mchagga
SUPPLIER AND DISTRIBUTORS ELECTRONICS
LAMPARD ELETRONICS jengo la simba fransis mushi
mashariki power eletronics aggrey kifaru wa kibosho uchau
msimbazi eletronis
micheal eletronics hawa wapo wengi list is endlesss
john kessy agent wa boss hisense bosch na rim
congo electronics
city sounds music
jambo musics
MAGOROFA k/koo
kwa emma gerezani gorofa tano na biashara ya jumla ya vinywaji agent wa breweries ilala
primi mushi (wakiga wote wa kariaako wakiungana hawawezi kumfikia)gorofa zaidi ya 20 na matawi yote ya akiba bank yako kwenye nyumba zake k/koo ni mfanybiashara mkubwa wa kitenge tanzania na congo
alyoce kimbori zaidi ya gorofa 10
bosco chuwa gorofa zaid ya 5
yohana kweka zaid gorofa 5
masai wa boro kibosho zaid ya gorofa 20 ndio mwenye red stone moshi
masumbuo zaid ya gorofa 5
koka mbunge wa kibaha gorofa 5 ikiweo mrieny tower jagwani street
mzee temba
chuwa mchikichi na livingstone zaid y agorofa 10 kaoa mchina
mariam tower lindi na shaurimoyo street
mbokomu tower gerezani na zaid ya nyumba 5 na biashara chuma jumla
house of bolt na nyumba zaidi ya 3 mr mariwa muuzaji wa bolt jumla na kiwanda cha bolt
thomas lyimo zaid gorofa3 uhru na msimbaz mgahawa
herman woiso magorofa na woiso origina products
el shaddai pazia carpert mashuka nk mmachame
saba berings magorofa na spare parts na hardware
hai agency spare parts
okinawa pharmacy -massao
frank knows nguo
saroi mushi viatu vya kike agent na magorofa k/koo saroi bar mabibo saroi bar kimara mwishi njia kingongo
masumbuo chuwa aluminam n magorofa k/koo na kibo social hall kimara
mama chuwa gorofa na kitenge
mjapan bar tip top mjapan complex tegeta na hardware k/koo
mtoto wa thomas lyimo agent wa rangi gerezan
mwalimu hardware biashara ya chuma
BAR
Angel garden -diwani wa tabata zamani patrick assenga
kwa emma gerezani
msimbazi gorofan jerome mushi
ddc k/koo wakina mmasy majiko na vyakula
new vunjo bar mmnazi mmoja
mango garden kipata street
safar bar hugo kisima
front line chuwa
suwata bar shule ya uhuru maimu
congo bar
VIPODOZI
Kavishe agent mkubwa wa perfume na oil zote dawa za nywele duka lake liko kwenye nyumba ya koka floor yote ya kwanza mrieny tower
massawe zaid ya duka 10
Wanavyo lakini bado Sana kuwafikia Wachaga tukisema tutaje hapa utabaki mdomo wazi.
Wakinga wanajitahidi wakaze buti mpaka 2050 huko watakuwa wamewafikia Wachaga, maana Wachaga wa sasa kidogo wamepoa sio kama wa zamani
100% agreedMkuu kuna mambo huyaelewi vizuri kuhusu hii nchi itakuwa[emoji3][emoji3]
Unapozungumzia kuhusu biashara hii nchi Wachaga ndio the Top, wewe unaleta biashara za nguo za milioni 100[emoji1][emoji1] hao unaitwa matajiri.
Biashara za Wachaga ambazo unaziita za wachuuzi
1. Sekta ya anga
Wachaga ni moja ya kabila yenye kufanya biashara ya anga Kwa kumiliki baadhi ya makampuni ya Ndege, mfano Kampuni za Precious Airlines na zamani Fastjet alikuwepo Lawrence Masha akiongoza kaa share nyingi za Hisa.
Huenda hata Ndege tuu hujapanda ya kutoka DSM kwenda kwenu Mtwara[emoji1][emoji1] hivyo huwezi elewa hizi mambo
Sasa Kama kumiliki biashara za usafiri wa Ndege ni uchuuzi Sawa.
2. Sekta ya usafirishaji na mabasi.
Wachaga ndio wanaongoza Kwa kumiliki makampuni ya mabasi,
travel agency za tour Guide, na hapa ni ukiachana na Wahindi na waarabu.
3. Sekta za Utalii, Mahoteli na STAREHE.
Wachaga ndio wanaongoza Kwa kuwa na mahoteli, sehemu za starehe na hii wengi Hufanya Kwa sababu ya kazi ya utalii.
Wengi WA Wachaga wanamakampuni ya Utalii hivyo wamejenga hayo mahoteli Kwa ajili ya wageni wao.
Usishangae Moshi na Arusha kuwa kinara wa utalii ukadhani sehemu zingine hakuna mbuga[emoji3][emoji3]
Hizi mambo huwezi elewa.
4. Wakala wa vipuri vya magari.
Wachaga kwenye sekta za UWAKALA WA vipuri ndio wanashika namba moja, Kama wewe unayajua magari sio ajabu ukikuta chata kwenye Vipuri vya magari vikiwa vimeandikwa 7General/Saba General ndiye aliyekuwa wakala mkubwa wa vipuri vya Magari hapa nchini.
5. Biashara ya Magari
Wachaga ndio wanaongoza Kwa biashara za kuuza magari.
Sio ajabu Wachaga ndio kabila pekee ambalo atu wake wanajua Aina za magari kuliko kabila lolote hapa nchini.
6. Biashara za Shule.
Wachaga ndio kabila la Kwanza Kwa umiliki WA shule binafsi hapa nchini wakifukuziwa na Wahaya.
7. Nenda sekta za Fedha na Benki hasa pale CRDB alafu useme Wachaga ni wachuuzi[emoji1][emoji1]
8. Sekta ya madini
Tatizo lako unawajua Wachaga Wale wa Tabaka la chini na hii ni kutokana na unaishi mazingira ya namna hiyo.
Mimi sio mchagga Ila kwenye hii nchi utaanza na wahindi, waarabu, Wachaga alafu Sisi wengine tufuate.
Huo ndo ukweli....Discipline , Discipline , Discipline.
Kampuni gani za ndege nikafanye booking ni fast jet, Fly Emirates, Qutar ?
k/koo ni ya wachagga kwa 90% naanza na mahotel
chelse hotel,lumuba na uhuru-macha
keys hotel-ndesamburo
royal valentino,aggrey street-massawe tumbo
akubu hotel mmarangu
rising sun hotel-kimbori
hong kong hotel masasi street -chuwa
kings palace hotel,rikk hotel,ar na anamilki nite club mtaa wa livingstone
tropical hotel-alyoce ngowi
florida hotel gerezani-mlingi
diamond tiffany hotel- mr kiria
durban hotel na butterfly hoteel
ELECTRONICS
Manufacturer and supplier
rising eletronics-alyoce mkibosho
homebase electronics- ford mushi kibosho masoka
mr uk eletronics mchagga
hometech mchagga
SUPPLIER AND DISTRIBUTORS ELECTRONICS
LAMPARD ELETRONICS jengo la simba fransis mushi
mashariki power eletronics aggrey kifaru wa kibosho uchau
msimbazi eletronis
micheal eletronics hawa wapo wengi list is endlesss
john kessy agent wa boss hisense bosch na rim
congo electronics
city sounds music
jambo musics
MAGOROFA k/koo
kwa emma gerezani gorofa tano na biashara ya jumla ya vinywaji agent wa breweries ilala
primi mushi (wakiga wote wa kariaako wakiungana hawawezi kumfikia)gorofa zaidi ya 20 na matawi yote ya akiba bank yako kwenye nyumba zake k/koo ni mfanybiashara mkubwa wa kitenge tanzania na congo
alyoce kimbori zaidi ya gorofa 10
bosco chuwa gorofa zaid ya 5
yohana kweka zaid gorofa 5
masai wa boro kibosho zaid ya gorofa 20 ndio mwenye red stone moshi
masumbuo zaid ya gorofa 5
koka mbunge wa kibaha gorofa 5 ikiweo mrieny tower jagwani street
mzee temba
chuwa mchikichi na livingstone zaid y agorofa 10 kaoa mchina
mariam tower lindi na shaurimoyo street
mbokomu tower gerezani na zaid ya nyumba 5 na biashara chuma jumla
house of bolt na nyumba zaidi ya 3 mr mariwa muuzaji wa bolt jumla na kiwanda cha bolt
thomas lyimo zaid gorofa3 uhru na msimbaz mgahawa
herman woiso magorofa na woiso origina products
el shaddai pazia carpert mashuka nk mmachame
saba berings magorofa na spare parts na hardware
hai agency spare parts
okinawa pharmacy -massao
frank knows nguo
saroi mushi viatu vya kike agent na magorofa k/koo saroi bar mabibo saroi bar kimara mwishi njia kingongo
masumbuo chuwa aluminam n magorofa k/koo na kibo social hall kimara
mama chuwa gorofa na kitenge
mjapan bar tip top mjapan complex tegeta na hardware k/koo
mtoto wa thomas lyimo agent wa rangi gerezan
mwalimu hardware biashara ya chuma
BAR
Angel garden -diwani wa tabata zamani patrick assenga
kwa emma gerezani
msimbazi gorofan jerome mushi
ddc k/koo wakina mmasy majiko na vyakula
new vunjo bar mmnazi mmoja
mango garden kipata street
safar bar hugo kisima
front line chuwa
suwata bar shule ya uhuru maimu
congo bar
VIPODOZI
Kavishe agent mkubwa wa perfume na oil zote dawa za nywele duka lake liko kwenye nyumba ya koka floor yote ya kwanza mrieny tower
massawe zaid ya duka 10