Unaingea ujinga Kwa vile huelwei unatetea ujinga nimekuambia swali he pale top 20 kwa idadi Yao walivyowengi ukimtoa aliyekufa mengi he Nan yupo unaruka mara biashara ya ndege mara ushuzi gani tulia jibu hamna basi ni wachuuzi unakataa 🤣🤣🤣unasema Wana hisa sijui wapi mara wanamiliki ndege yaani umiliki kampuni ya ndege usiingie top 20 basi Haina faida hyo businessMimi nimekuambia Wachaga wanamiliki Mpaka makampuni ya Ndege nikakutajia Precious airlines na Fastjet, wewe ndio umeleta mambo ya Hisa.
Sasa nikakuuliza unajua maana ya hisa kwenye Kampuni au shirika?
Unaelewa uchuuzi lakini au upewe Kuna waarabu wa ratco ni wachuuzi wanasema zile gari ni zao wa hisa aslimia 100 wao kwa wao kumbe ni wachuuzi boss ni ridhiwani kikwete