Mkinga sio mtu wa kushindana nae kwenye Biashara!

Mkinga sio mtu wa kushindana nae kwenye Biashara!

Wenzako wanamiliki biashara za Ndege nimekutajia wewe unazungumzia biashara za nguo ambazo hata watu wa real estate wanawapiga bao.

Vunja Bei huyo yupo kundi la Mamilionea hajafika hata level ya bilionea Mkuu😄😄
Top 20 mtaje Kuna mchaga ana miliki ndeg unaumwa wewe🤣🤣🤣
 
Ona ulivyokuwa mshamba Kwa kuangalia ndugu zako walipowekeza be smart enough nakupa home work na ukoo wako nitajie tajiri wa kichaga aliye hai aliepo top 20 ya mtajiri tanzania ukileta nakufa hapa hata miaka kumi mbele haitokei nasuburi mark my words

Hisa ni ushamba na defensive mechanism Kwa matajiri wa bongo hawana upeo nitafutie jibi hapo hisa bongo unaumwa kweli eti shirika la ndege kula ndizi utulie
hans macha 1.5% shares crdb
 
Uchumi gani mtu kununua shati moja kwa mwaka, kununua kilo moja ya nyama kwa familia yenye watu kumi au kulala chini ilihali una kitanda.
 
hans macha 1.5% shares crdb
🤣🤣🤣Tunataka tuone tajiri aliye hai pale top 20 eti share kitu gani wewe Wacha Mali daftari kabila kubwa mnakosa pale top 20 Kwa Sasa kelele eti biashara za ndege labda bata

Mmekimbilia mahisa waarabu wanaawaangalia na ushamba wenu wa mali daftari hata mo hana izo share mlizonazo Sasa twende kweny pesa na mali haifiki labda mchange mikoa yenu Ile miwili
 
dhamana si ardhi? au dhamana kwako mpaka iwe gari?
Ni mzunguko sana ndugu yangu hasa kwa biashara mpya inayoanza. Mimi nimejenga sheli imekamilika kila kitu bado mtaji wa kuweka mafuta tu. Nimeomba mkopo kwa dhamana ya ardhi huu mwezi wa nne sasa bado sijapata kisa ni biashara mpya haina hizo business financial report.
 
Wewe ndio hujui hata nchi hii inamakampuni mangali ya Ndege yanayo-operate.

Tatizo umasikini unaweza kukufanya usiwe na exposure hata ya mambo madogo Kama hayo
Hutaji porojo tu unaruka point uwezo wako wa akili bado hata aliyefundisha chuo hana uwezo was kunidanganya

Jibu swali mshamba angalia matajri wacha umaskini wa fikra kushobokea wauza viduka njaa
 
Wewe ndio hujui hata nchi hii inamakampuni mangali ya Ndege yanayo-operate.

Tatizo umasikini unaweza kukufanya usiwe na exposure hata ya mambo madogo Kama hayo
Mjinga kiwango Cha nakupa somo ujifunz3 unajua biashara za ndege hao ni travel agencies wengi kutokana na utalii wa maeneo ya huko na airport ya kimtaifa

Wanafanya shughuli kama air ticketing kuwasaidia watalii hata katika kubadili pesa za kigeni
Kuandaa itinerary yaani zile routes zote vituo vya kupumzikia Kwa watalii

Wanaofanya huduma za ndege ni kampuni binafsi hata serikali mfano fly Emirates

Njoo useme sasa huyo anayemiliki na kufanya huduma za ndege ni nani Wacha kuwa mjinga

Watu tunasikitika top 20 baada ya kufa mengi hakuna mwingine kwa sasa unaleta porojo eti ndege wakati waarabu TU wamejaa pale taja bongo Nan ana ndege binafsi kama sio udalali na uchuuzi TU shubamit
 
Mjinga kiwango Cha nakupa somo ujifunz3 unajua biashara za ndege hao ni travel agencies wengi kutokana na utalii wa maeneo ya huko na airport ya kimtaifa

Wanafanya shughuli kama air ticketing kuwasaidia watalii hata katika kubadili pesa za kigeni
Kuandaa itinerary yaani zile routes zote vituo vya kupumzikia Kwa watalii

Wanaofanya huduma za ndege ni kampuni binafsi hata serikali mfano fly Emirates

Njoo useme sasa huyo anayemiliki na kufanya huduma za ndege ni nani Wacha kuwa mjinga

Watu tunasikitika top 20 baada ya kufa mengi hakuna mwingine kwa sasa unaleta porojo eti ndege wakati waarabu TU wamejaa pale taja bongo Nan ana ndege binafsi kama sio udalali na uchuuzi TU shubamit

Ndio maana nikakuambia bado Uelewa wako upo chini.

Nenda kaangalie mmiliki wa Precious Airlines na Fastjet uje utoe majibu hapa.

TATIZO lako ni kuzungukwa na Masikini ndio maana unafikiri kimasikini

Utamjua mmiliki Fastjet alikuwa ni nani

Kasome hapa https://www.google.com/url?sa=t&sou...IoAXoECC0QAg&usg=AOvVaw0DT8YPCGd7cZZBcW9Tlljx
 
Ndio maana nikakuambia bado Uelewa wako upo chini.

Nenda kaangalie mmiliki wa Precious Airlines na Fastjet uje utoe majibu hapa.

TATIZO lako ni kuzungukwa na Masikini ndio maana unafikiri kimasikini

Utamjua mmiliki Fastjet alikuwa ni nani

Kasome hapa https://www.google.com/url?sa=t&sou...IoAXoECC0QAg&usg=AOvVaw0DT8YPCGd7cZZBcW9Tlljx
Nyuzi ya kuandikwa Hana izo ni kibaraka leta ushahidi hapa 🤣🤣🤣sio kampuni yake acha ujinga let sourc ya uwakika ukileta nafuta account yangu hakuna mchaga ana miliki ndege

Umaskini unakusumbua eti Kuna mtanzania ngozi nyeusi hapa bongo ana miliki ndege we fanya uchwa upate pesa ya kula leta source hapa
 
Haaah so wanamiliki Wana hisa 🤣🤣🤣

Ni Kwa sababu shule yako ni ndogo.
Hujui hata makampuni yanafanyaje shughuli zake.

Naamini huna hata biashara ya genge ndio maana hilo la makampuni linakushinda?

Unajua maana ya Hisa kwenye MAKAMPUNI au mashirika?
 
Ni Kwa sababu shule yako ni ndogo.
Hujui hata makampuni yanafanyaje shughuli zake.

Naamini huna hata biashara ya henge ndio maana hilo la makampuni linakushinda?

Unajua maana ya Hiss kwenye MAKAMPUNI au mashirika?
Sina shule ila huwezi kucompite na mm wewe elimu ya kuiba mitihani kucopt assignment Hadi research hata huna maajabu nope ugunduzi wako zaidi ya kutunga hadith sungura
 
Ni Kwa sababu shule yako ni ndogo.
Hujui hata makampuni yanafanyaje shughuli zake.

Naamini huna hata biashara ya genge ndio maana hilo la makampuni linakushinda?

Unajua maana ya Hisa kwenye MAKAMPUNI au mashirika?
Leta ushahidi hapa Wacha kuleta nyuzi za kutunga eti hisa
 
Sina shule ila huwezi kucompite na mm wewe elimu ya kuiba mitihani kucopt assignment Hadi research hata huna maajabu nope ugunduzi wako zaidi ya kutunga hadith sungura

Haya jibu maswali niliyokupa hapo,
Hisa inamaana gani kwenye MAKAMPUNI au mashirika?

Sipo hapa kukompiti na wewe
 
Acha kutudanganya mkuu.

Kuna viwanda vingapi vya maji vya wakinga.

Na tupe takwimu za utajiri kwa mkoa wa Iringa?? Ni ya ngapi kitaifa??

Kwenye orodha ya matajiri hapa Tanzania , wakinga ni wangapi?? Hakuna.

Stori za kuvuta muda tu hizi.
Katolea mfano sio lazma iwe ni maji, chochote kitu mkinga akifanya lazma atoboe kwa muda mfupi
 
Leta ushahidi hapa Wacha kuleta nyuzi za kutunga eti hisa

Mimi nimekuambia Wachaga wanamiliki Mpaka makampuni ya Ndege nikakutajia Precious airlines na Fastjet, wewe ndio umeleta mambo ya Hisa.

Sasa nikakuuliza unajua maana ya hisa kwenye Kampuni au shirika?
 
Haya jibu maswali niliyokupa hapo,
Hisa inamaana gani kwenye MAKAMPUNI au mashirika?

Sipo hapa kukompiti na wewe
Nan asiyejua hisa mm hata umlete professor Nampa logic wewe bado sana hats huko kwenu hakuna wakunidanganya hakuna mtanzania anamiliki ndege nimekuuliza pale top 20 yupo unaruka jibu swali

Hisa hata yule jamaa wa forex wa huko uchagni alisema ana hisa katika mabus Fulani kumbe hamna kitu hata gari Hana yeye

Hisa ni uwekezaji na umiliki wa asilimia Fulani katika biashara Fulani unakuwa unanunua Kwa thamani walizoweka Ili ikifika asilimia 100 wanakuwa washapata Ile capital ya uwekezeji the same na asilimia ya hisa uliyowekeza dividend kweny profits unagawiwa kutoka na asilimia ulizowekeza yaani Ile faida iliyopatika inategemea na makubaliano ya gawanyo labda kwa mwaka

Hisa zipo nyingi zinazouzwa katika initial stage na nyingine zinauzwa kutokana na watu kuuza au kujitoa katika biashara
 
Nan asiyejua hisa mm hata umlete professor Nampa logic wewe bado sana hats huko kwenu hakuna wakunidanganya hakuna mtanzania anamiliki ndege nimekuuliza pale top 20 yupo unaruka jibu swali

Hisa hata yule jamaa wa forex wa huko uchagni alisema ana hisa katika mabus Fulani kumbe hamna kitu hata gari Hana yeye

Hisa ni uwekezaji na umiliki wa asilimia Fulani katika biashara Fulani unakuwa unanunua Kwa thamani walizoweka Ili ikifika asilimia 100 wanakuwa washapata Ile capital ya uwekezeji the same na asilimia ya hisa uliyowekeza dividend kweny profits unagawiwa kutoka na asilimia ulizowekeza yaani Ile faida iliyopatika inategemea na makubaliano ya gawanyo labda kwa mwaka

Hisa zipo nyingi zinazouzwa katika initial stage na nyingine zinauzwa kutokana na watu kuuza au kujitoa katika biashara

😀😀😀

Tatizo lako ni umasikini. Alafu unataka upambane na watu wasio level yako, mara maprofesa mara Wachaga 😄😄

Wewe Kama hujui hisa ni nini sidhani Kama unauwezo wa kuchangia mambo ya uchumi na biashara hasa zile kubwa kubwa

Mtu akishamiliki biashara Kwa zaidi ya 60% hiyo Kampuni ni yake😀😀

Wewe unasoma Sisi wenzako tunafanya hicho unachosoma😄😄😄
 
Back
Top Bottom