Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
We inakuuma niniKuna binadamu ni wanafiki sana na wanapenda kufanya maigizo Kila kunapokua na issues za Wapenzi na mapenzi ambazo zimepelekea vifo.
Ninaamini waumini wa statement hii "mkichokana achaneni kwa Amani" ni wale ambao wako na Wapenzi ambao hawajawahi kuwapenda, kujitoa,
Karibu sanaAhsante kwa muongozo mkuu
Karibu gahawahaya mheshimiwa spika naunga mkono hoja
Tena huku anakutukanani wanaume dhaifu tuu na mapoyoyo ndio wanaweza kuacha aende kwa amani..
labda km atarudisha gharama zng nitamuacha.
Kuna mahali nimeandika kuwa "muue"? Hebu soma kwa utulivuKwa hiyo wewe unataka ushauriwe uue mkishashindwana? Hiyo asilimia moja mbona ameweza, sasa wewe kwa nini hutaki hiyo asilimia iongezeke kupitia kushauriwa?
Kinyume cha 'kuachana kwa usalama' ni nini ? Kama sio kuachana kwa Kujeruhi na kuua?Kuna mahali nimeandika kuwa "muue"? Hebu soma kwa utulivu
SAWAKinyume cha 'kuachana kwa usalama' ni nini ? Kama sio kuachana kwa Kujeruhi na kuua?
Kwenye klabu za mpira wachezaji wanafundishwa kutolipiza ukifanyiwa foul na mpinzani hata kama imekuuma kiasi gani. Sababu wanajua ukirudishia utaigharimu klabu kwa kupewa adhabu na refa.SAWA
Oyaaa huzuni kinoma mwanangu😂😂Mario tu ndio anaweza kuvumilia ujinga