"Mkishindwana achaneni kwa usalama" kauli ya kitoto na ya kinafiki sana hii

Sheria za ndoa zibadirike isiwe hizi zamkoloni ziaze ndoa za mikataba miaka miwili ikiisha tukiamua kurenew tunafanya tukiamua kuvunja tunavunja
Mkuu unapatikana wapi 2025 tukupigie kura
Ila ongeza hoja ziwe hata 10 hivi bungeni unaingia tu
 
Sheria za ndoa zibadirike isiwe hizi zamkoloni ziaze ndoa za mikataba miaka miwili ikiisha tukiamua kurenew tunafanya tukiamua kuvunja tunavunja
Mi naona kuwe na probation period isiyopungua miaka miwili kabla ya kuoa kabxaa....hii najua tu ndan ya huo muda lazma ataonesha rangi yake halisi...hii ya kubebana bebana ndo inasababisha risasi zinarindima nyumban kwa watu
 
Haya
 

Attachments

  • IMG-20220531-WA0036.jpg
    30.1 KB · Views: 10
Mi naona kuwe na probation period isiyopungua miaka miwili kabla ya kuoa kabxaa....hii najua tu ndan ya huo muda lazma ataonesha rangi yake halisi...hii ya kubebana bebana ndo inasababisha risasi zinarindima nyumban kwa watu
Hapana labda uikute bikra yake pia jitahidi sana kuelewa kwann wasimbe kwasasa wako kibao
 
Sa ikishatokea utafanyaje mkuu???cha nsingi haiwi mwisho wa dunia
 
Naam
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…