Mkitaka kujibizana na CHADEMA someni sana. CHADEMA ni weupe, wazushi na hawezi siasa za hoja na ukweli

Mkitaka kujibizana na CHADEMA someni sana. CHADEMA ni weupe, wazushi na hawezi siasa za hoja na ukweli

comte

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2011
Posts
9,019
Reaction score
6,825
Mdude Chadema @mdudechadematz

Juu ni sehemu ya wanafunzi 484 wa shule ya msingi Butibu iliyopo Ushetu Kahama Shinyanga wakisoma chini ya mti kwa ukosefu wa madarasa. Chini ni moja ya magari yaliyonunuliwa kwa ajili ya wakuu wa mikoa nchi nzima.Gari moja thamani yake ni milion 500 sawa na idadi ya madarasa 25

Clouds Media

Wanafunzi 484 wa darasa la Pili katika shule ya Msingi Butibu iliyopo katika Halmashauri ya Ushetu wilayani Kahama mkoani Shinyanga wanalazimika kusomea chini ya miti baada ya madarasa manne ya shule hiyo kubomolewa mvua kubwa iliyoambatana na upepo Novemba 15 mwaka 2022.




 
hawa ndio CHADEMA wanaotaka maridhaiano-Mbowe anakazi kweli kweli
 
Mdude Chadema @mdudechadematz

Juu ni sehemu ya wanafunzi 484 wa shule ya msingi Butibu iliyopo Ushetu Kahama Shinyanga wakisoma chini ya mti kwa ukosefu wa madarasa. Chini ni moja ya magari yaliyonunuliwa kwa ajili ya wakuu wa mikoa nchi nzima.Gari moja thamani yake ni milion 500 sawa na idadi ya madarasa 25

Clouds Media

Wanafunzi 484 wa darasa la Pili katika shule ya Msingi Butibu iliyopo katika Halmashauri ya Ushetu wilayani Kahama mkoani Shinyanga wanalazimika kusomea chini ya miti baada ya madarasa manne ya shule hiyo kubomolewa mvua kubwa iliyoambatana na upepo Novemba 15 mwaka 2022.
Wewe ndio hujaelewa hoja yake ni PRIORITY.... Yaani wako radhi wanafunzi wasomee chini ya mti lakini wao hawawezi Kaa hata mwezi bila gari whether ni ajali au limeharibika. So hoja hapo ni PRIORITY na UHARAKA wa kusolve matatizo Yao binafsi na sio ya wananchi maskini.
 
Wewe ndio hujaelewa hoja yake ni PRIORITY.... Yaani wako radhi wanafunzi wasomee chini ya mti lakini wao hawawezi Kaa hata mwezi bila gari whether ni ajali au limeharibika. So hoja hapo ni PRIORITY na UHARAKA wa kusolve matatizo Yao binafsi na sio ya wananchi maskini.
Mbona ungemwandikia angesema na akaeleweka vizuri kuliko alivyosema. Pili madarasa husika yalibomolewa na upepo Novemba 2022, je wakati huo hizo V8 zilikuwa hazijanunuliwa, au kama unavyotaka tuamini zilinunuliwa mwishoni mwa Novemba 2022?
 
Kwa hiyo Magufuli na genge lake walikuwa hawajui kusoma mpaka wakaona bora kuwaua na kuwafunga wafuasi wengi wa CHADEMA ili wasiendelee kuikosoa serikali yake ?
Hata mimi nikipata nafasi ziwezi ruhusu ujinga kama huu wa Mdude Chadema
 
Mbona ungemwandikia angesema na akaeleweka vizuri kuliko alivyosema. Pili madarasa husika yalibomolewa na upepo Novemba 2022, je wakati huo hizo V8 zilikuwa hazijanunuliwa, au kama unavyotaka tuamini zilinunuliwa mwishoni mwa Novemba 2022?
Mkuu siasa ni propaganda na MUONEKANO. Yaani hayo maelezo ya kwamba chanzo ni mvua sijui Nini yeye hayamhusu anachosema ni kwamba watoto wanasoma chini ya mti which is the reality. Hizo sababu hawajibiki kuzisema labda serikali ndio ijibu by then damage itakua imefanyika na point za kisiasa zimepanda.
 
Mkuu siasa ni propaganda na MUONEKANO. Yaani hayo maelezo ya kwamba chanzo ni mvua sijui Nini yeye hayamhusu anachosema ni kwamba watoto wanasoma chini ya mti which is the reality. Hizo sababu hawajibiki kuzisema labda serikali ndio ijibu by then damage itakua imefanyika na point za kisiasa zimepanda.
OHHH KUMBE
 
Wewe ndio hujaelewa hoja yake ni PRIORITY.... Yaani wako radhi wanafunzi wasomee chini ya mti lakini wao hawawezi Kaa hata mwezi bila gari whether ni ajali au limeharibika. So hoja hapo ni PRIORITY na UHARAKA wa kusolve matatizo Yao binafsi na sio ya wananchi maskini.
Mkuu pole sana kwa kuelimisha mawe
 
Mkuu siasa ni propaganda na MUONEKANO. Yaani hayo maelezo ya kwamba chanzo ni mvua sijui Nini yeye hayamhusu anachosema ni kwamba watoto wanasoma chini ya mti which is the reality. Hizo sababu hawajibiki kuzisema labda serikali ndio ijibu by then damage itakua imefanyika na point za kisiasa zimepanda.
Una sababu gani za msingi kumuita huyu Mburula "Mkuu?"
 
Sio sawa kabisa serikali inakopa Kwa Kasi halafu wanaongeza matumizi makubwa sana .
Ni serikali ya Wachache . Wakurugenzi siku hizi wanatembelea magari ya Bei kubwa kuliko ma DC, maOCD ,maDSO na ma DMO na wengine wote wakati huo huo vikao haviishi. Utendaji umeshuka sana lakini matumizi na safari zimeongeteka sana.

Kosa la Magufuli lilikua Moja TU kuvuruga uchaguzi wa mwaka 2020.
 
Back
Top Bottom