Mkitaka kujibizana na CHADEMA someni sana. CHADEMA ni weupe, wazushi na hawezi siasa za hoja na ukweli

Mkitaka kujibizana na CHADEMA someni sana. CHADEMA ni weupe, wazushi na hawezi siasa za hoja na ukweli

Mkuu siasa ni propaganda na MUONEKANO. Yaani hayo maelezo ya kwamba chanzo ni mvua sijui Nini yeye hayamhusu anachosema ni kwamba watoto wanasoma chini ya mti which is the reality. Hizo sababu hawajibiki kuzisema labda serikali ndio ijibu by then damage itakua imefanyika na point za kisiasa zimepanda.
Kwa Nini nyumba zao sijawahi kusikia zimebebwa na mvua au upepo lakini madarasa yanabebwa.
Mbona shule zilizojengwa enzi ya mkoloni hazibebwi?
Wakoloni waligawa ardhi kulingana na matumizi.
Baada ya uhuru Sehemu ya kupanda mpunga inajengwa shule. Sehemu ya kuweka Windmill inajengwa shule .
Nusura ya hii nchi ni kuiweka CCM pembeni ili tukae pamoja Kwa umoja na kuweka misingi imara ya Taifa hili Mungu alilotupa lenye kila utajiri ulioko chini ya mbingu. Wachache wanavimbiwa bila hata kutumia maarifa waliyopewa. Miaka ya Sabini Falme za Kiarabu ni maskini Leo ndio nchi Tajiri Duniani. Wameajiri wataalam Kibao Toka Tanzania. Tatizo ni watawala wasio na sifa ya kuongoza. Wamekalia viti kutawala na sio kuonyesha njia Bora ya kupita
 
Sio sawa kabisa serikali inakopa Kwa Kasi halafu wanaongeza matumizi makubwa sana .
Ni serikali ya Wachache . Wakurugenzi siku hizi wanatembelea magari ya Bei kubwa kuliko ma DC, maOCD ,maDSO na ma DMO na wengine wote wakati huo huo vikao haviishi. Utendaji umeshuka sana lakini matumizi na safari zimeongeteka sana.

Kosa la Magufuli lilikua Moja TU kuvuruga uchaguzi wa mwaka 2020.
Serikali ikikopa Rais na Waziri wa fedha wana asilimia zao ndio maana wanakopa sana kujilimbikizia fedha za uchaguzi.
 
Sio sawa kabisa serikali inakopa Kwa Kasi halafu wanaongeza matumizi makubwa sana .
Ni serikali ya Wachache . Wakurugenzi siku hizi wanatembelea magari ya Bei kubwa kuliko ma DC, maOCD ,maDSO na ma DMO na wengine wote wakati huo huo vikao haviishi. Utendaji umeshuka sana lakini matumizi na safari zimeongeteka sana.

Kosa la Magufuli lilikua Moja TU kuvuruga uchaguzi wa mwaka 2020.
Mkuu hata Yesu alipohitaji usafiri aliletewa mwana punda na wengine wote wakatembea wakimshangilia kwa matawiACHA WIVU, ROHO MBAYA, NA AKILI MBOVU
 
Aisee!Nikiikadiria vibaya CHADEMA.Kumbe wanaogopwa hivyo?Amewaasa wenzie..."vaeni vizuri na mkae kwa utulivu na adabu,CHADEMA wanakuja"...!
 
Mleta mada hata siku moja huwezi kuwa compere watu wa Chadema na CCM hata siku moja!
Hili hata watawala wanalijua sana kuwa hawa jamaa ni vyma ndio maana wanaishia kuwajeruhi, kuwafunga, kuwaua, na mambo yote ya maovu ili kuwazimisha kwani wanajua hawawezi kushindana nao!
 
Lakn CHADEMA si ilishakufa au mmeifufua tena?

CHADEMA ipo mioyoni mwetu mkuu
 
Mkuu hata Yesu alipohitaji usafiri aliletewa mwana punda na wengine wote wakatembea wakimshangilia kwa matawiACHA WIVU, ROHO MBAYA, NA AKILI MBOVU
Wewe ni mtu wa ajabu kumlinganisha Yesu na wezi wa Mali za umma na wabadhirifu. Punda alikua anatumiwa na watu maskini wakati huo kama ilivyo hakuna Tajiri anayepanda Punda au anayetumia punda badala ya Pick up . Kama hujui maandiko na theolojia acha kuhalalisha uovu Kwa kunukuu Biblia .Kwa muda mrefu mmetumia Biblia kujenga jamii na taasisi za watu waovu. Mnawajenga na kuwafariji wezi ,wahuni na waovu badala ya kuwaambia ukweli.

Yesu alikua ni mfalme wa wafalme na alikua Mwana wa Mungu na pia Masihi na Wayahudi walitegemea awe mfalme wao.
Wafalme enzi hizo walipanda Farasi wanyama wa Bei mbaya na waliotumiwa na wafalme na wakuu wa Jeshi kwenye Vita.
Hakuna maskini anayeweza kumiliki Farasi hata Leo. Farasi wanamilikiwa na matajiri mana mahitaji yao ni makubwa sana. Punda ni wanyama wa kimaskini.

Yesu Mwana wa Mungu aliye Hai na Masihi alionyesha mfano Kwa watawala wa Dunia. Alitumia Usafiri wa watu wa chini Kwa sababu walikua na maisha Duni kama ya kwake.

CCM mara nyingi mmekua mkitumia Biblia kinyume na kuwahadaa wananchi ili kuhalalisha ufisadi katika nchi hii.

Wewe kama sio mjukuu wa Shetani Ina maana unaona ni halali Mkurugenzi wa Halmashauri kutumia gari ya Milioni mia nne wakati Hospitali ya Wilaya Haina Ambulance ya kisasa .
Kama wewe sio mjukuu wa Shetani unawezaje kuunga mkono mtu anayechukua Milioni mia nne Kununua gari wakati watoto wake wanakaa chini shuleni.

Kuna mtu Gani kati ya uzao wenu wa nyoka ambaye akipewa Milioni mia nne wakati akiwa Hana pesa za Kununua chakula Cha watoto,nguo za watoto , nyumba inavuja na watoto wanalala chini hawana kitanda Wala godoro atazitumia Kununua Gari lakifahari la kutembelea ?Maskini mwanye akili na mwenye upendo na familia yake akipewa mil. 400 atazitumia kuondoa kwanza matatizo ya familia yake na kuanzisha miradi na Kisha Kununua safiri wa kawaida .

Nchi hii ni maskini Mikopo kila KUKICHA halafu unaweka bajeti ya Kununua magari ya kifahari?
Nakupa ukurugenzi na Gari isiyozidi Mili 120 kama ukitaka gari ya kifahari kanunue mwanyewe.
Huko Kuna wizi wa kimtandao ndio maana wananunua hayo magari. Enzi za Magufuli ukilinunua Leo kesho amekutumbua na unakaa benchi.

Raisi , Makamu wa Rais na Waziri Mkuu na Mawaziri na wale wakuu wa Idara kama Wakuu wa Majeshi tuu ndio wanaostahili Kwa hadhi yao kutembelea magari ya kiwango Cha Juu na yenye usalama wa kutosha lakini sio Wakurugenzi wa Halmashauri wanashinda Saiti kusimamia shughuli za Halmashauri.
Tena walitakiwa wasiwe na gari zaidi ya Gari ya Ofisi inayorumiwa na watu wengine. Ni mifumo TU mibaya lakini hao watu ni watumishi TU kama walivyo wahasibu na mastawi jamii wengine.

Subirini 2025 ndio Mtajua kuwa Mungu anakusudi Gani na Watu aliowaweka Kwenye ardhi hii inayoitwa Tanzania yenye utajiri mkubwa lakini Watawala wasiojali watu wao wamewafanya watu wengi waishi maisha ya kumlilia Mungu Kwa umaskini mkubwa walio nao.

Hivi unafikiri Magufuli angefufuka Kwa mfano Kisha agombee 2025 unafikiri nani angeweza kushindana naye ?
Je, ni Kwa Nini watu wanasema wazi kuwa ufisadi umerudi wakati mama anafanya Kazi kubwa ?
Jibu ni kwamba matumizi yameongezeka sana. Watu wanapishana TU kwenye safari na vikao na makongamano na michezo ya kuvuta kamba badala ya kufanya kazi .
Fedha zinakwisha kabla ya kufanya kazi iliyokusudiwa. Watu Mfano Tasaf wanakaa vikao mwezi mzima na kulipana mamilioni eti kujadili namna ya kumtambua maskini na kaya maskini . Mwishowe wakishamtambua wanampa Elfu 20. !! Tulitegemea kuona Chawa wa kumuunga mkono Dr. Samia kuwataja wezi na mafisadi ili fedha anazohangaika kukopa zifanye kazi .
 
Wewe ni mtu wa ajabu kumlinganisha Yesu na wezi wa Mali za umma na wabadhirifu. Punda alikua anatumiwa na watu maskini wakati huo kama ilivyo hakuna Tajiri anayepanda Punda au anayetumia punda badala ya Pick up . Kama hujui maandiko na theolojia acha kuhalalisha uovu Kwa kunukuu Biblia .Kwa muda mrefu mmetumia Biblia kujenga jamii na taasisi za watu waovu. Mnawajenga na kuwafariji wezi ,wahuni na waovu badala ya kuwaambia ukweli.

Yesu alikua ni mfalme wa wafalme na alikua Mwana wa Mungu na pia Masihi na Wayahudi walitegemea awe mfalme wao.
Wafalme enzi hizo walipanda Farasi wanyama wa Bei mbaya na waliotumiwa na wafalme na wakuu wa Jeshi kwenye Vita.
Hakuna maskini anayeweza kumiliki Farasi hata Leo. Farasi wanamilikiwa na matajiri mana mahitaji yao ni makubwa sana. Punda ni wanyama wa kimaskini.

Yesu Mwana wa Mungu aliye Hai na Masihi alionyesha mfano Kwa watawala wa Dunia. Alitumia Usafiri wa watu wa chini Kwa sababu walikua na maisha Duni kama ya kwake.

CCM mara nyingi mmekua mkitumia Biblia kinyume na kuwahadaa wananchi ili kuhalalisha ufisadi katika nchi hii.

Wewe kama sio mjukuu wa Shetani Ina maana unaona ni halali Mkurugenzi wa Halmashauri kutumia gari ya Milioni mia nne wakati Hospitali ya Wilaya Haina Ambulance ya kisasa .
Kama wewe sio mjukuu wa Shetani unawezaje kuunga mkono mtu anayechukua Milioni mia nne Kununua gari wakati watoto wake wanakaa chini shuleni.

Kuna mtu Gani kati ya uzao wenu wa nyoka ambaye akipewa Milioni mia nne wakati akiwa Hana pesa za Kununua chakula Cha watoto,nguo za watoto , nyumba inavuja na watoto wanalala chini hawana kitanda Wala godoro atazitumia Kununua Gari lakifahari la kutembelea ?Maskini mwanye akili na mwenye upendo na familia yake akipewa mil. 400 atazitumia kuondoa kwanza matatizo ya familia yake na kuanzisha miradi na Kisha Kununua safiri wa kawaida .

Nchi hii ni maskini Mikopo kila KUKICHA halafu unaweka bajeti ya Kununua magari ya kifahari?
Nakupa ukurugenzi na Gari isiyozidi Mili 120 kama ukitaka gari ya kifahari kanunue mwanyewe.
Huko Kuna wizi wa kimtandao ndio maana wananunua hayo magari. Enzi za Magufuli ukilinunua Leo kesho amekutumbua na unakaa benchi.

Raisi , Makamu wa Rais na Waziri Mkuu na Mawaziri na wale wakuu wa Idara kama Wakuu wa Majeshi tuu ndio wanaostahili Kwa hadhi yao kutembelea magari ya kiwango Cha Juu na yenye usalama wa kutosha lakini sio Wakurugenzi wa Halmashauri wanashinda Saiti kusimamia shughuli za Halmashauri.
Tena walitakiwa wasiwe na gari zaidi ya Gari ya Ofisi inayorumiwa na watu wengine. Ni mifumo TU mibaya lakini hao watu ni watumishi TU kama walivyo wahasibu na mastawi jamii wengine.

Subirini 2025 ndio Mtajua kuwa Mungu anakusudi Gani na Watu aliowaweka Kwenye ardhi hii inayoitwa Tanzania yenye utajiri mkubwa lakini Watawala wasiojali watu wao wamewafanya watu wengi waishi maisha ya kumlilia Mungu Kwa umaskini mkubwa walio nao.

Hivi unafikiri Magufuli angefufuka Kwa mfano Kisha agombee 2025 unafikiri nani angeweza kushindana naye ?
Je, ni Kwa Nini watu wanasema wazi kuwa ufisadi umerudi wakati mama anafanya Kazi kubwa ?
Jibu ni kwamba matumizi yameongezeka sana. Watu wanapishana TU kwenye safari na vikao na makongamano na michezo ya kuvuta kamba badala ya kufanya kazi .
Fedha zinakwisha kabla ya kufanya kazi iliyokusudiwa. Watu Mfano Tasaf wanakaa vikao mwezi mzima na kulipana mamilioni eti kujadili namna ya kumtambua maskini na kaya maskini . Mwishowe wakishamtambua wanampa Elfu 20. !! Tulitegemea kuona Chawa wa kumuunga mkono Dr. Samia kuwataja wezi na mafisadi ili fedha anazohangaika kukopa zifanye kazi .
Mkuu wewe mwenyewe una simu ya 15,000 na unalia huna mtaji wa kuanzia biashara wakati hizo zinatosha kuanzisha biashara ya kuuchuuza ndizi.
 
Back
Top Bottom