Mkiwa mbele za watu anakua baby kweli kweli ila mkiwa chumbani hataki hata kugusana

Mkiwa mbele za watu anakua baby kweli kweli ila mkiwa chumbani hataki hata kugusana

Mbele za watu mnakua ni very close, very beneti kama mapacha wa kike na kiume, hadi watu wana watamani.

Mkifika nyumbani na mkiwa wawili sasa chumbani dah! Mambo yanabadilika, ile seriousness utafikiri mawakala wa vyama ya siasa kwenye chumba cha kupigia na kuhesabia kura.

Ile closeness inapotea, kule kuitana baby wala darling kama ilivyokua mbele za watu sijui huwa vinapoteleaga wapi ndugu zangu, na ndo kwanza watoto wawili tu? 🐒
Tunakuwa tumechoka hatutaki kunyanduana!
 
Kuna sehemu umemkwaza afu unajizima data omba msamaha mambo mengine yaendelee
 
Mnawezaje kuishi kinafki, mm siwezi kabisa kuigiza, kama mambo hayaendi ni mazingira yote hata km Kuna mipango tulipanga inafutika
 
Mbele za watu mnakua ni very close, very beneti kama mapacha wa kike na kiume, hadi watu wana watamani.

Mkifika nyumbani na mkiwa wawili sasa chumbani dah! Mambo yanabadilika, ile seriousness utafikiri mawakala wa vyama ya siasa kwenye chumba cha kupigia na kuhesabia kura.

Ile closeness inapotea, kule kuitana baby wala darling kama ilivyokua mbele za watu sijui huwa vinapoteleaga wapi ndugu zangu, na ndo kwanza watoto wawili tu? 🐒
Wenye tabia kama hizo wengi huwa wanaipenda CCM
 
Mbele za watu mnakua ni very close, very beneti kama mapacha wa kike na kiume, hadi watu wana watamani.

Mkifika nyumbani na mkiwa wawili sasa chumbani dah! Mambo yanabadilika, ile seriousness utafikiri mawakala wa vyama ya siasa kwenye chumba cha kupigia na kuhesabia kura.

Ile closeness inapotea, kule kuitana baby wala darling kama ilivyokua mbele za watu sijui huwa vinapoteleaga wapi ndugu zangu, na ndo kwanza watoto wawili tu? 🐒
Hahaha,
Ukute kuna mwamba fulani anakusaidia kimya kimya kutandika sana na kufikisha kileleni hiyo mbususu
 
Labda kakuchoka Ila anaona bado una potential kwake hasa kwa jamii kumuona kama mkeo.
 
Siku akikufanyia hayo maigizo mbele za watu mwambie "Unataka kumfurahisha Nani?"
 
Haha,
Nakazia ✍️ ✍️
Mambo ya kulamba soli za viatu vya watu aachie Lucas na wenzie.
Tlaatlaah
kuwa na heshima kidogo gentleman na viongozi makini wa wanainchi mihemko upeleke kwenye majukwaa yako ya ushirikina huko. Huku ni kwa watu wazima wenye heshima zao, sawa? Nisikuone tena huko! Kumbafu 🐒
 
Mbele za watu mnakua ni very close, very beneti kama mapacha wa kike na kiume, hadi watu wana watamani.

Mkifika nyumbani na mkiwa wawili sasa chumbani dah! Mambo yanabadilika, ile seriousness utafikiri mawakala wa vyama ya siasa kwenye chumba cha kupigia na kuhesabia kura.

Ile closeness inapotea, kule kuitana baby wala darling kama ilivyokua mbele za watu sijui huwa vinapoteleaga wapi ndugu zangu, na ndo kwanza watoto wawili tu? 🐒
Mkuu pole sana kwa hali hiyo unayopitia, ni hatua katika mahusiano au ndoa. Binafsi sikushauri kupokea ushauri wenye lengo la kupanda mbegu hasi moyoni mwako yakuwa mwenzio sio muanimifu kwako.

Mkuu ni dhahiri wewe umekuwa na mabadiliko substantially hasa ukiegemea kwenye ushabiki wa siasa na mahaba kwa wanasiasa, kiasi cha kukosa muda na mwenzio.

Nakukumbusha kuwa uchawa ni uraibu mbaya sana, kuliko hata Sembe mkuu!!! Nadhani kwa macho ya mwenzio anaona wewe sio yule Tlaahtlaah wa awali.

Rudi nyuma, reflect deeply, tafuta ulipo jikwaa sio ulipoangukia!!! Usiwekeze nguvu nyingi na muda mwingi kumbadilisha mwenzio maana siye aliyebadilika, wewe ndiye uliyebadilika, kwa hiyo jibadilishe wewe kwa ajili ya mustakabali wa Kaya yako.

Mkuu jipe likizo ya kujenga nyumba yako kwanza, usipoziba ufa huo utajenga ukuta. Siasa na mahaba kwa wanasiasa haviendi kokote, utavikuta mbele ya safari tena vimenoga zaidi!!!

Kumalizia jivunie kuwa na mwanamke anayekutunzia heshima mbele za watu. Wewe Tlaahtlaah unafahamu fika shida ilipo, Fanyia kazi kwa umakini sababu zinazo mfanya asikupe ushirikiano.

Mkuu nakutakia maelewano, usuluhishi, mapatano chanya na upendo kwenye mahusiano/ndoa yako.
 
Mkuu pole sana kwa hali unayopitia, ni hatua katika mahusiano au ndoa. Binafsi sikushauri kupokea ushauri wenye lengo la kupanda mbegu hasi moyoni mwako yakuwa mwenzio sio muanimifu kwako.

Mkuu ni dhahiri umekuwa na mabadiliko substantially hasa ukiegemea kwenye ushabiki wa siasa na mahaba kwa wanasiasa, kiasi cha kukosa muda na mwenzio.

Nakukumbusha kuwa uchawa ni uraibu mbaya sana, kuliko hata Sembe mkuu!!! Nadhani kwa macho ya mwenzio anaona wewe sio yule Tlaahtlaah wa awali.

Rudi nyuma, reflect back, tafuta ulipo jikwaa sio ulipoangukia!!! Usiwekeze nguvu nyingi na muda mwingi kumbadilisha mwenzio maana siye aliyebadilika, wewe ndiye uliyebadilika, kwa hiyo jibadilishe wewe kwa ajili ya mustakabali wa Kaya yako.

Mkuu jipe likizo ya kujenga nyumba yako kwanza, usipoziba ufa huo utajenga ukuta. Siasa na mahaba kwa wanasiasa haviendi kokote, utavikuta tena vimenoga zaidi!!!

Kumalizia jivunie kuwa na mwanamke anayekutunzia heshima mbele za watu. Wewe Tlaahtlaah unafahamu fika shida ilipo, Fanyia kazi kwa umakini sababu zinazo mfanya asikupe ushirikiano.

Mkuu nakutakia maelewano, usuluhishi, mapatano chanya na upendo kwenye mahusiano/ndoa yako.
Gentleman,
huku mambo ya siasa tena?🤣

sasa hivi kwenye Jumuiya na usharika mje mkiwa makundi makundi ndrugu zango. Moja moja wenye Tatizo la aina moja mnachosha. Next time mjulishane mkiwa kwenye VIKOBA huko mje pamoja,

usha nifahamu? 🐒
 
Gentleman,
huku mambo ya siasa tena?🤣

sasa hivi kwenye Jumuiya na usharika mje mkiwa makundi makundi ndrugu zango. Moja moja wenye Tatizo la aina moja mnachosha. Next time mjulishane mkiwa kwenye VIKOBA huko mje pamoja,

usha nifahamu? 🐒
🙏🆗
 
Mbele za watu mnakua ni very close, very beneti kama mapacha wa kike na kiume, hadi watu wana watamani.

Mkifika nyumbani na mkiwa wawili sasa chumbani dah! Mambo yanabadilika, ile seriousness utafikiri mawakala wa vyama ya siasa kwenye chumba cha kupigia na kuhesabia kura.

Ile closeness inapotea, kule kuitana baby wala darling kama ilivyokua mbele za watu sijui huwa vinapoteleaga wapi ndugu zangu, na ndo kwanza watoto wawili tu? 🐒
Humtombi vizuri
 
Mbele za watu mnakua ni very close, very beneti kama mapacha wa kike na kiume, hadi watu wana watamani.

Mkifika nyumbani na mkiwa wawili sasa chumbani dah! Mambo yanabadilika, ile seriousness utafikiri mawakala wa vyama ya siasa kwenye chumba cha kupigia na kuhesabia kura.

Ile closeness inapotea, kule kuitana baby wala darling kama ilivyokua mbele za watu sijui huwa vinapoteleaga wapi ndugu zangu, na ndo kwanza watoto wawili tu? 🐒
Wanaishi kinafki
 
Back
Top Bottom