Mkoa gani hata ukipewa nyumba na gari hauwezi kuishi?

Lindi ndo mkoa utakaonishinda ila mikoa mingine yote kwangu fresh
Bora ya Lindi unaweza kwenda DSM na kurudi.Mziki huu hapa Kigoma huko barabara ya vumbi,umasikini mwingi mpaka kero.
 
Karibu tena Sumbawanga,usafiri umeimarika sana,waweza kwenda Mbeya na kurudi,fursa nyingi sana sana
 
Wew nyumba na gari ndio umeona vitu vya thamani dunian?
Utakuwa unatoka familia ya kimasikini.Yaani gari na nyumba unaona dili sana eee.Wengine sisi vyote hivyo tumezaliwa tumevikuta tunachoangalia ni kuwekeza popote pale ukiwa na hela hata jangwani unaishi acha tabia za kimasikini.Naomba niambie kama Dodoma hakuna mchaga nipe ushahidi mimi nikupe gari.Hapa namanisha kule unakoona hakufai kuishi basi ndio pa kukimbilia wakiamka wewe uko mbali sana.Unaonekana maisha yako ni yale ya kuamka asubuhi huna plani ya siku au mwaka ujao utakuwa nani.
 
Bora ya Lindi unaweza kwenda DSM na kurudi.Mziki huu hapa Kigoma huko barabara ya vumbi,umasikini mwingi mpaka kero.
Kigoma ukiwa na pesa kuzuri sana nimekaa kigoma 2010/2011. shida ilikuapale tu unapotaka kusafiri lakini ukiwa huko poa sana. Nilikua naishi uzunguni mjimwema huko toto kali za kinywranda ushindwe wewe tu. viwanja vya starehe nakumbuka kizota ilikua kila jumatano ni taarabu mpaka asbh hapo unakuta totoz za mwanga, ujiji bangwe. Alhamisi club ukumbi wa stanley, ijumaa live band pale lake tanganyika hotel, jumamosi unashinda bangwe beach jumapili upo kibo kwa mtei
 
Hivi huyo unaemkaripia umeelewa alichokiandika kweli?au una hangover ya k vant?
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] jioni ukazurure huku umevaa soksi na malapa meupe [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Dodoma kuzur, watu wanasagia kisa makao makuu, serikali ndo hipo kule, likizo zangu zote naenda Dom, sehemu yangu ya kutembea royal, karibu kwa wazir mkuu, au dodoma hotel karibu na steshen.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…