Mkoa gani hata ukipewa nyumba na gari hauwezi kuishi?

Umekaa hapo kwa shemej mguu juu unasubir ule chakula cha mchana alaf undelee kuangalia Tv jion ukazurure huku umevaa soks na malapa meupe ukirud uoge usubir chakula cha jion alaf uangalie sultan ya azam tv ndo maana unapata ujasiri wa kuandika huu upuzi
Maisha hajakupiga spana bado
 
Yaani kweli tumetofautina
Mimi kazi na kujenga natamani hii Kanda
Singida Dom dar
Yaani hio mikoa mitatu huniambii kitu Napa feel kinyama


Ila kwa kuwa makazi yangu ya kudumu kikazi imebidi iwe kusini basi inabid nipazoee mtwara,masasi,mnazi mmoja,Lindi,mitwelu,..ndo hasa pa kujenga
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] viduku bhaba
 
Dar
 
We boya umenichekesha sana kwamba jioni navaa soks na malapa meupe [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mi mlume ndago mtafutaji nafuga raia kadhaa kula na shopping zao
 
Unafananisha mzunguko wa Pesa za Petrol Arabuni na mzunguko wa pesa za Ubuyu Dodoma mkuu haupo serious
Mkuu amin kuwa kila sehemu au mkoa huwezi kosa fursa, hata kama pawe kame kiasi gani fursa zipo tu,.tena nyingi ,ni watu tu hawataki kuamka na kuzifanyia kazi,dodoma ni walaji wazuri sana wa mdudu hii iko in my plan nitakuja dom kuhamia rasmi..
 
[emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…