Mkoa gani hata ukipewa nyumba na gari hauwezi kuishi?

Mkoa gani hata ukipewa nyumba na gari hauwezi kuishi?

Ni kimoja kati ya hivi kinakusumbua Kiburi cha pesa ama kipato cha uhakika kwa sasa, ujana na kutopevuka kiakili naivety, kutokuwa na majukumu ya kifamilia ama wategemezi. Siku factor mojawapo kati hizo zikibadirika utajikuta unaenda kukaa sehemu ama eneo ambalo hata hujawahi hata kuwaza utakuja kukaa.
Hata Kondoa Irangi atakaa.
 
Wakuu habari za weekend. Bila shaka ni shwari kabisa,
Kuna kitu nimewaza kuhusiana na harakati za utafutaji maisha na utulivu wa familia..
Niende kwenye maada husika mi nimebahatika kuishi baadhi ya mikoa hapa TZ bara na visiwani Pemba na Unguja nimeishi zaidi ya miaka 6 huko ukija bara Dar, Tanga, Atown, Tabora, Dom, Moro, Pwani, Shinyanga, Mwanza, Kilimanjaro, Sgd, kwa kuna Mkoa ambao hata nikipewa nyumba na gari siwezi kuishi ni Dodoma yaani huo mkoa umekaa tofauti kabisa na sehemu nyingi nilizo ishi kuanzia kiuchumi, kijamii, kwa wale watumishi waliolenga kustaafia na kuishi huko hakika waishia kupauka na kunywa za pombe za kienyeji maana sioni future endelevu kabisa kwenye huo mjini na miongoni mwa miji yenye asili ya njaa uvivu na ukame kuna miji kama Tanga Moro au hata Mwanza unaweza ishi na familia bila tatizo tofauti huo mji wa Dodoma ambao wakazi wake wamekimbilia Dar na shughuli zao kwenye machinjio ya wanyama huko Vingunguti, Pugu na biashara ya Bucha, Ni wazi tunapambana na kwa ajili ya kujiandalia maisha bora ya sasa na baadae kwako na vizazi vyako hakikisha haukosei wewe pamoja na kukiweka kizazi chako jangwani kitateseka chagua sehemu sahihi ambayo itakufanya uishi kwa furaha. Kizazi chako ukikiweka jangwani kitashindwa kukusaidia hata wewe mzazi uzeeni.
Mawazo mfuu kuna watu wanaishi huko DODOMA na life lao ni nzuri wana mafanikio kukuzidi, wewe endelea kusifia mafanikio ya wanaume wengine hapo mjini
 
Sehemu ambayo niwahi kufika na kuona taabu kuishi ni Kasulu na Kibondo. Ilikuwa wakati wa mvua. Palikuwa pagumu sana kwangu.

Kasulu chakula kipo cha kutosha, bei chee...Sema mazingira yake mtihani sana, hasa kipindi cha mvua na ule udongo mwekundu ni mwendo kuteleza tu, gari linageuka lilikotoka bila hiyari, hakuna mzunguko mkubwa wa pesa. Uliokutana nao mtaa X ndio utakaokutana nao mtaa Y.
 
Wee acha tu. Huo udongo mwekundu huo... Wakati wa mvua ni bonge la tope lenye kunata. Linanatia kwenye sole ya viatu kama ulimbo. Kila ukitembea hatua 10 hivi, viatu vinakuwa kama tofali. Wakati wa kiangazi ni vumbi. Kwa kweli kuna sehemu ili uishi, inabidi uwe umezaliwa huko tu. Chakula kiko kila sehemu. Hakuna sehemu isiyokuwa na chakula. Mahitaji ya mwanadamu ni zaidi ya chakula.
Kasulu chakula kipo cha kutosha, bei chee...Sema mazingira yake mtihani sana, hasa kipindi cha mvua na ule udongo mwekundu ni mwendo kuteleza tu, gari linageuka lilikotoka bila hiyari, hakuna mzunguko mkubwa wa pesa. Uliokutana nao mtaa X ndio utakaokutana nao mtaa Y.
 
Wakuu habari za weekend. Bila shaka ni shwari kabisa,
Kuna kitu nimewaza kuhusiana na harakati za utafutaji maisha na utulivu wa familia..
Niende kwenye maada husika mi nimebahatika kuishi baadhi ya mikoa hapa TZ bara na visiwani Pemba na Unguja nimeishi zaidi ya miaka 6 huko ukija bara Dar, Tanga, Atown, Tabora, Dom, Moro, Pwani, Shinyanga, Mwanza, Kilimanjaro, Sgd, kwa kuna Mkoa ambao hata nikipewa nyumba na gari siwezi kuishi ni Dodoma yaani huo mkoa umekaa tofauti kabisa na sehemu nyingi nilizo ishi kuanzia kiuchumi, kijamii, kwa wale watumishi waliolenga kustaafia na kuishi huko hakika waishia kupauka na kunywa za pombe za kienyeji maana sioni future endelevu kabisa kwenye huo mjini na miongoni mwa miji yenye asili ya njaa uvivu na ukame kuna miji kama Tanga Moro au hata Mwanza unaweza ishi na familia bila tatizo tofauti huo mji wa Dodoma ambao wakazi wake wamekimbilia Dar na shughuli zao kwenye machinjio ya wanyama huko Vingunguti, Pugu na biashara ya Bucha, Ni wazi tunapambana na kwa ajili ya kujiandalia maisha bora ya sasa na baadae kwako na vizazi vyako hakikisha haukosei wewe pamoja na kukiweka kizazi chako jangwani kitateseka chagua sehemu sahihi ambayo itakufanya uishi kwa furaha. Kizazi chako ukikiweka jangwani kitashindwa kukusaidia hata wewe mzazi uzeeni.
Mkoa wowote nje ya Dsm hapana kwakweli, yaan kitakachonitoa Dsm ni njaa na fursa ila mchongo ukiisha au nikishiba kidogo narudi kwa base yangu uptown Dsm.
 
[emoji23][emoji23][emoji23] vijana wa kigogo wakishavuna Ubuyu wanahamia kwenye uzinzi
Huwa naona wivu nikipita dom na ruaha mbuyuni.Yani unatafuta ngazi, unapanda juu ya mbuyu inaangusha mabuyu,unapasua kisha unapeleka sokoni.
Wakati sehemu zingine wanalima ardhi, wananunua mbegu, wananunua mbolea, wanapalilia, bado mvua inazingua na wanaweza wasivune mazao yao ya msimu.
 
Ambao mnalishwa na kula bure, lazima mchague pakuishi. Na ambao mna akili fupi lazima mchague pakuish maana hamuwez kufikirisha ubongo...
 
Wenye akili nzuri huwa wanakimbia sehemu ambazo wanajua zinarudisha maendeleo yao nyuma. Tuachane na mambo ya Tanzania. Kuna watu nimesoma nao kwa sasa wako USA, UK, Australia... wanaishi maisha ya dunia ya kwanza, siyo Sumbawanga. Hata ufanye nini huko Sumbawanga, hauwezi kuwafikia. Usifikiri eti wewe una akili kwa vile unakaa Kibondo.
Ambao mnalishwa na kula bure, lazima mchague pakuishi. Na ambao mna akili fupi lazima mchague pakuish maana hamuwez kufikirisha ubongo...
 
Wenye akili nzuri huwa wanakimbia sehemu ambazo wanajua zinarudisha maendeleo yao nyuma. Tuachane na mambo ya Tanzania. Kuna watu nimesoma nao kwa sasa wako USA, UK, Australia... wanaishi maisha ya dunia ya kwanza, siyo Sumbawanga. Hata ufanye nini huko Sumbawanga, hauwezi kuwafikia. Usifikiri eti wewe una akili kwa vile unakaa Kibondo.
😂 Umesoma nao... Stupid mindset... sorry for nothing Mr idiot
 
Back
Top Bottom